Uko sahihi 100% Mkuu ila subiria kuambiwa una Pepo au Wivu na Wapumbavu anaowadanganya na kuwachuna Pesa zao.
Haueleweki, ulitaka kusema nini labda, fungukaNgoja kinuke ndo utajua hujui.
Kwan kwa kiboko ya wachawi ilikuwaje, c mpaka watu wakawa wanailaumu serikali kwann wamemfukuza hy n kabla hajajipost kusherehekea laki tano zenu wapuuzi
Huo ujinga unanufaisha watu hakuna jipya zaidi ya maneno maneno."Hivi sasa yameibuka mafundisho ya baadhi ya viongozi wa dini yanayowaaminisha wafuasi wao, kutegemea miujiza Zaidi, ili kupata maendeleo badala ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa, viongozi hao wanawaelekeza waumini wao kwenda kwenye nyumba zao za ibada, ili wakaombewe wapate mali, ikiwemo magari, nyumba, pesa wanazo zitamani, lakini pia wanaomba kutatuliwa shida zao, tunashuhudia kuongezeka kwa wahubiri wanaojilimbikizia fedha na mali binafsi kutokana na sadaka na mauzo ya vitu mbalimbali vya hao watu wanyonge"Dkt.Philip Mpango - Makamu wa Rais wa Tanzania.
Chanzo: itvtz
Ni muda tu ila muda si mrefu mtazuiliwa na huu Utapeli wenu wa muda mrefu
Dini na Mpira ni Mtaji mzuri sana kwa Hawa Watawala wetu."Hivi sasa yameibuka mafundisho ya baadhi ya viongozi wa dini yanayowaaminisha wafuasi wao, kutegemea miujiza Zaidi, ili kupata maendeleo badala ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa, viongozi hao wanawaelekeza waumini wao kwenda kwenye nyumba zao za ibada, ili wakaombewe wapate mali, ikiwemo magari, nyumba, pesa wanazo zitamani, lakini pia wanaomba kutatuliwa shida zao, tunashuhudia kuongezeka kwa wahubiri wanaojilimbikizia fedha na mali binafsi kutokana na sadaka na mauzo ya vitu mbalimbali vya hao watu wanyonge"Dkt.Philip Mpango - Makamu wa Rais wa Tanzania.
Chanzo: itvtz
Ni muda tu ila muda si mrefu mtazuiliwa na huu Utapeli wenu wa muda mrefu
Unajua kuwa waumini wa mwamposa wanakushangaa wewe unaekwenda RC ukaacha miujiza yao? Kwa kifupi wote mnashangaana tu.Taja Madhehebu yote ila siyo langu Takatifu la Mitume la Katoliki sawa? Na iwe mwanzo na mwisho. Hakuna kama Katoliki duniani.
Kakobe yuko Marekani anakula sadaka baada ya kuwapukutisha waumini"Hivi sasa yameibuka mafundisho ya baadhi ya viongozi wa dini yanayowaaminisha wafuasi wao, kutegemea miujiza Zaidi, ili kupata maendeleo badala ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa, viongozi hao wanawaelekeza waumini wao kwenda kwenye nyumba zao za ibada, ili wakaombewe wapate mali, ikiwemo magari, nyumba, pesa wanazo zitamani, lakini pia wanaomba kutatuliwa shida zao, tunashuhudia kuongezeka kwa wahubiri wanaojilimbikizia fedha na mali binafsi kutokana na sadaka na mauzo ya vitu mbalimbali vya hao watu wanyonge"Dkt.Philip Mpango - Makamu wa Rais wa Tanzania.
Chanzo: itvtz
Ni muda tu ila muda si mrefu mtazuiliwa na huu Utapeli wenu wa muda mrefu
Mpumbavu huwa anafunguka? Tokea lini?Haueleweki, ulitaka kusema nini labda, funguka
Ukiwa mfuasi wa hao watu huwez kunielewaHaueleweki, ulitaka kusema nini labda, funguka
Na nyie ndio mnaoliwa taratiiibu bila kelele na huko kuna mabingwa wa kutatua marinda ya watoto wenu uwe makini ndugu muumini usikute mkeo anabanduliwa na kitoto cha kiume nacho kinabanduliwa nawewe ukiendelea kuhenyeka na sadaka za kumtegemeza m'banduajiTaja Madhehebu yote ila siyo langu Takatifu la Mitume la Katoliki sawa? Na iwe mwanzo na mwisho. Hakuna kama Katoliki duniani.