Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Wewe uliyesema kunanyumba za udongo!acha kusema kitu ambacho huna uchunguzi nacho,mkoa wa kagera wajitahidi sana katika ujenzi.Vyombo vya habari wameonyesha sehemu chache zenye mapungufu.Mara dada zetu wanjiuza yote hayo yamekujaje?tuseme Tanzania nzima wahaya ndo wanajiuza tu?acha hizo kama hakuna la kusema pita tu.
 
Hivi hao wote wameufanyia nini mkoa wao wa Bukoba? zaidi ya kujaa majigambo na ukabila?

Angalieni wenzenu Watu wa kilimanjaro licha ya kwamba hawajasoma sana angalia mkoa wao ulivyo.

Ni heri chizi mwenye faida kuliko Mwerevu asiye na faida.
Ndio maana wana akili kubwa...maana wao wanafikiria waifanyie nini nchi na dunia....nyie mnafikiria mtaifanyia nini Kilimanjaro. Hata huo utofauti huuoni?
 
Nimeifahamu bukoba kwanza kupitia danguro zao daresalama na pili kupitia tetemeko maana nyumba zao na hali zao za maisha ni ya chini sana. Nyumba za udongo, watu hawana afya...maskini...
Hujui kuwa nyumba ya udongo kiafya ni salama zaidi kuliko ya matofali?
 
sasa inakuwaje Kagera unakuwa ni mmoja wa mikoa masikini nchini pamoja na "vichwa" vyote hivi (kama ni kweli)??
Majanga ya asili yakikupiga hata uwe na akili kiasi gani lazima utarudi nyuma tu kimaendeleo. Umesahau MV Bukoba...Mnyauko...kushuka bei zao la kahawa...tetemeko la ardhi...HIV AIDS from Uganda...vita ya Kagera n.k

Hapo Mkoa lazima urudi nyuma kiuchumi. Tuwaombee wahaya ili warudi ktk maisha yao ya kawaida tuendelee kunufaika kama taifa kupitia vichwa vyao...
 
Acha kupigia kampeni kabila lako.Nadhani ukweli unaufahamu.Ulizia tu kutoka vyuo mbalimbali,kuna kabila ambalo hata kozi ya watu 5 utalikuta.Lina wawakilishi almost kila kozi kila chuo.By the way UKABILA!!!!!!
 
Mimi huwa nashangaa sana,mkoa umejaaliwa maprof,ziwa victoria,mito yenye kutiririsha maji mda wote,aridhi yenye rutuba,mvua mda wote, mipaka 3 yenye kuingiza fedha za kigeni,watu wenye akili nyingi.Lakini hausongi mbele.Angalia nyumba zilizo angushwa na tetemeko zote zimejengwa kwa udongo.Hivi nyinyi wahaya mngekosa mvua kama watu wa mvumi pale mngeishi kweli?Mi nadhani watu wenye akili zaidi ni wagogo maana mvua inakata hawavuni na bado wanajenga na kula kama kawaida.
 
Mfano wa TFF umeharibu kila kitu. The worst FAT/TFF ever.
 
ELIMU BORA √
UBINAFSI ULITUKUKA √
SHOW OFF √
UTAPELI WA KALAMU √
WAKIKUSANYIKA 2,3 KILUGHA √
KUTOKUJALI NYUMBANI √
MAJIDAHI √
UKIOA MHAYA,KUCHAPIWA NA WA KUNYUMBA √
 
Wahaya wana akili sana hilo halina ubishi, ila umalaya sasa hapo ndiyo heshima yao inaposhuka

Kwangu Hata mtu awe genius ... Akishakuwa na Sifa za kijinga tu huwa namuona sifuri. Mwenye akili hajitangazi, hufanya mambo makubwa na kutangazwa na wale wanaoona mchango wake.

Tatizo Hawa watu wanafikiria makaratasi ndio kuwa na akili ... Kwa taarifa yako Mtoa mada wengi wenu mnalazimisha Shule kutokana na Sifa za kijinga; mnajitutumua kwa kukariri na si kwamba mna IQ kubwa wala nini.

Mwerevu ni Yule Mwenye kukamata knowledge fasta na kuitumia katika kuboresha maisha yake na ya Jamii yake. Sasa wewe unakusanya mavyeti meeengi, na tukiangalia mchango wako ni sifuri, hiyo akili au matope???? JITAFAKARINI MMEKOSEA WAPI NA MJIRUDI, OVER!!!
 
Hivi hao wote wameufanyia nini mkoa wao wa Kagera zaidi ya kujaa majigambo na ukabila?

Angalieni wenzenu Watu wa kilimanjaro licha ya kwamba hawajasoma sana angalia mkoa wao ulivyo.

Ni heri chizi mwenye faida kuliko Mwerevu asiye na faida.
Ndivyo unavyojidanganya wachagga hawajasoma?

Kachunguze mji wenye shule nyingi na vyuo Tanzania ni upi?
 
Mbona mi nimesoma na wahaya tangu form one hadi form four nikaona wako kawaida tu. Hakuna mhaya aliyechukua nafasi bora zaidi yangu kwa miaka yote minne!
Kusema kweli hawa watu wanasumbuliwa na roho ya ukabila tu, wanajiona kuwa ni bora kuliko makabila mengine wakati uhalisia sivyo.
Utakuta ktk ofisi ndo wasumbufu kuliko kawaida utadhani wao ndo wenye Bachelor, Masters au PhD peke yao wakati kuna wenye elimu zaidi yao na hawajitangazi na kujigamba kama wao.

Tanzania ya sasa sio ya ukabila, ukiona mtu anashabikia ukabila huyo ni mjinga kweli kweli na hajaelimika bado hata kama kasoma chuo bora kuliko vyote Duniani!
 
Back
Top Bottom