Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

ongezea n.a. majanga ya kimataifa yalianzia huko mfano juliana aka ukimwi,tetemeko la ardhi n.k
 
*HAYA: THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA (EASTWARD) FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA*

*Nimepata sehemu TAFITI (RESEARCH) inayoonesha yafuatayo:*
*SHULENI*
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa *WAHAYA* top three mmoja lazima awe Muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu .
*FACTS*
.Best student UDSM 2005 - Benson Kagashe
. Best student 2009 Mr Denice Byarushengo
. Best student UDSM 2014. Mr William Pascal
. Best student COET-UDSM 2015 Mr Almachius Kahwa.
Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita Chuo Kikuu kikubwa UDSM kimepata Best student kabila la *WAHAYA 12 ,***
International Organization
1. Texas Power Chief Operations - Wellington Kamala
2. IMF africa representative - Delphine Rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard University for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced Jakaya Kikwete and Lipumba to be economic scholars
4. James Kateka from Bukoba, general chairman of Lawyers in the World, Scholar Harvard University,
5. James Rugemalila General Manager of VIP Engineering, Academician,
6. Florian Rugambwa the first Bishop and Cardinal in Africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya Mutegeki , member of Board of Nuclear , USA
9. *SIR GEORGE KAHAMA*, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa Malikia akampa u SIR.

*NDANI YA NCHI KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,*
*maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu:*
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
mfano:
A. Harvard University- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga Baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard University,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof Kaijage , University of Birmingham
E. Mark Rweyemamu director of GALV
Pia *General Education Forum* imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
maprofesa 172 walitambulika kutoka Kagera,Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya Kiziba,
Kwa hiyo sehemu nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki
kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa KAGERA ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katika wilaya ya Bukoba Mjini, halikuitwa bunge direct ila ilikuwa ni vikao vya WAKAMA kila mwezi vinaendeshwa sehemu inahitwa ACHEMBA RWAMISHENYE, watu wa kule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 NYERERE akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakoloni walishangaa kuona shughuli za Bajeti, Sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa Wahaya na wa Kikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

*TAASISI ZA SASA*
-Katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya:
TPB- Leticy Rutashobya Mkurugenzi mkuu
TPA - Mwanasheria Mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize Malinzi
TIC- Madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel Kamuzora
UDSM- Prof Mukandara
CRD- Consolatha Ngimbwa General Manager
NBC : Pius Tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha Kazaula
UHAMIAJI: MR Mikinga
Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?
Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha *HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA*
Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 Mwalimu NYERERE akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda Secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,
Wakati watu wengine kama *DODOMA* mwenye Marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza:
-Ndyamukama
-Tibalemwa
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa
sasa inakuwaje Kagera unakuwa ni mmoja wa mikoa masikini nchini pamoja na "vichwa" vyote hivi (kama ni kweli)??
 
muda ulioutumia kutengeneza hii research yako umeupoteza bure na hautorudi, bora ungekaa ukameditate labda akili ingekukaa na ukapata mawazo mapya ya kuinua maisha yako. nasikitika kupoteza muda wangu kusoma thread la hovyo
Wataje kwa majina kama kama unawafahamu sio kuleta nadharia hapa
Wahaya wana akili sana hilo halina ubishi, ila umalaya sasa hapo ndiyo heshima yao inaposhuka
 
Nimeifahamu bukoba kwanza kupitia danguro zao daresalama na pili kupitia tetemeko maana nyumba zao na hali zao za maisha ni ya chini sana. Nyumba za udongo, watu hawana afya...maskini...
Utaifahamu vp Bukoba kwa kuudhulia madangulo ya Dar watu bana
 
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125], mimi ni Mhaya!!
 
Utofauti wa wahaya na makabila mengine hasa wachaga ni kwamba, wachaga wanathamini sana kwao. Mtu anaishi dsm au mwanza ila atajenga kwao kilimanjaro. Wahaya wao wanapenda maisha fulani ya kibepari, akiwa dsm anajenga dsm, akiwa dodoma anajenga dodoma. Wengi wenye mafanikio wameamisha wazazi wao na kuishi nao kwenye maeneo yao mapya ya kikazi na si bukoba.
KIUCHUMI KUJENGA NYUMBA YA 50M KIJIJINI WAKATI UNAISHI 90% YA MAISHA YAKO MJINI NI MATUMIZI MABAYA YA RASILIMALI
 
sasa inakuwaje Kagera unakuwa ni mmoja wa mikoa masikini nchini pamoja na "vichwa" vyote hivi (kama ni kweli)??
Hiyo ni sawa na kusema kwa nn Tz pamoja na lasirimali zote tulizonazo mbona bado ni masikini hivi unajua sababu
 
Nimeifahamu bukoba kwanza kupitia danguro zao daresalama na pili kupitia tetemeko maana nyumba zao na hali zao za maisha ni ya chini sana. Nyumba za udongo, watu hawana afya...maskini...

Bukoba hipi unayo zungumzia mkuu, kwanza unaonekana unasumbuliwa na inferiority complex, ndiyo maana umekazania kuzungumzia vitu -ve tuu unafikiri hilo tu lita wa cut Wahaya to size - pole sana.
 
Bukoba hipi unayo zungumzia mkuu, kwanza unaonekana unasumbuliwa na inferiority complex, ndiyo maana umekazania kuzungumzia vitu -ve tuu unafikiri hilo tu lita wa cut Wahaya to size - pole sana.
Dada zenu ni watamu sana😛😛😛😛
 
Utofauti wa wahaya na makabila mengine hasa wachaga ni kwamba, wachaga wanathamini sana kwao. Mtu anaishi dsm au mwanza ila atajenga kwao kilimanjaro. Wahaya wao wanapenda maisha fulani ya kibepari, akiwa dsm anajenga dsm, akiwa dodoma anajenga dodoma. Wengi wenye mafanikio wameamisha wazazi wao na kuishi nao kwenye maeneo yao mapya ya kikazi na si bukoba.
KIUCHUMI KUJENGA NYUMBA YA 50M KIJIJINI WAKATI UNAISHI 90% YA MAISHA YAKO MJINI NI MATUMIZI MABAYA YA RASILIMALI
Safi sana hapo umezungumza tafiti nyeti haswa. Hongera MMkuu.
 
Utofauti wa wahaya na makabila mengine hasa wachaga ni kwamba, wachaga wanathamini sana kwao. Mtu anaishi dsm au mwanza ila atajenga kwao kilimanjaro. Wahaya wao wanapenda maisha fulani ya kibepari, akiwa dsm anajenga dsm, akiwa dodoma anajenga dodoma. Wengi wenye mafanikio wameamisha wazazi wao na kuishi nao kwenye maeneo yao mapya ya kikazi na si bukoba.
KIUCHUMI KUJENGA NYUMBA YA 50M KIJIJINI WAKATI UNAISHI 90% YA MAISHA YAKO MJINI NI MATUMIZI MABAYA YA RASILIMALI

Umewahi kwenda vijijini ukaona nyumba watu wanazo ishi zinafananaje? Mnajisemea tu!! Kwanza toka zamani Wahaya walikuwa na utamaduni wa kujenga kijijini kwanza kabla hajajenga mjini - nambo mengi unayo zungumza humu ni ya kubuni tu - mtasena loloye tu kutaka kufurahisha Baraza.

Kitu kingine ambacho mnasahau ni kwamba Mkoa wa Kagera una Makabila zaidi ya moja siyo kila Mzaliwa wa Kagera ni Mhaya.
 
Dada zenu ni watamu sana😛😛😛😛

Akili za kitoto, soma kwanza ulicho andika mwanzoni,uneleta habari za kutunga tu, umebanwa hapa kwa hoja unakimbilia kuzungumza vitu ambavyo havina mantiki - mtu mwenye akili za kuchambanua mambo utamjua tu, I am afraid kusema wewe si mmoja wao.
 
Back
Top Bottom