Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Utofauti wa wahaya na makabila mengine hasa wachaga ni kwamba, wachaga wanathamini sana kwao. Mtu anaishi dsm au mwanza ila atajenga kwao kilimanjaro. Wahaya wao wanapenda maisha fulani ya kibepari, akiwa dsm anajenga dsm, akiwa dodoma anajenga dodoma. Wengi wenye mafanikio wameamisha wazazi wao na kuishi nao kwenye maeneo yao mapya ya kikazi na si bukoba.
KIUCHUMI KUJENGA NYUMBA YA 50M KIJIJINI WAKATI UNAISHI 90% YA MAISHA YAKO MJINI NI MATUMIZI MABAYA YA RASILIMALI
Wakuu nikweli tulipasahau nyumban ila kama umeweza kupita vjjn miaka miwili iliyopita tofautii kwa kasii inaonekana sasa,, tulijua kuhamisha familia zetu ni sehemu ya maendeleo kumbe sivyo,, nyumba zlizobomoka si kagera nzima bali ni sehemu ndogoo sana na vyombo vya habari vinamulika penye shidaaaa tuuu,,,, mungu atuzidishie hii kasii iendelee,,, tunaitaman klomanjaro iwe picha ya kagera,, ahasante
 
Bora Wagogo kuliko Wahaya wanavyosifika.

-Kaveli-
 
Hili jamaa linatuaibisha kuweka post za ki-nshomile wakati sasa hivi kila kabila limesoma. Mkiendelea hivi mtajikuta ni maskini wa kutupwa maana watu wanatukimbiza kimyakimya kama wachaga wanavyokimbizwa kwenye kutafuta pesa huku wao wakiendelea kuamini kwamba wao ndo wanajua kutafuta hela.
 
Hili jamaa linatuaibisha kuweka post za ki-nshomile wakati sasa hivi kila kabila limesoma. Mkiendelea hivi mtajikuta ni maskini wa kutupwa maana watu wanatukimbiza kimyakimya kama wachaga wanavyokimbizwa kwenye kutafuta pesa huku wao wakiendelea kuamini kwamba wao ndo wanajua kutafuta hela.
Wachagga wachache sana wanajisifia wanajua kutafuta. Na wanaojisifia wote maskini. Chunguza.
 
Hongereni, ila nna swali(kwangu mimi ni la msingi), katika maendeleo na kiuchumi mkoa wa kagera ni wa ngapi Tanzania?
 
Boss Wang nae kumbe haya, ila sijajua lengo lako mkuu, siku hizi tuna wasomi wasioelimika
 
Wahaya wana akili sana hilo halina ubishi, ila umalaya sasa hapo ndiyo heshima yao inaposhuka
Sasa ulitaka wale tu kwa akili zao bila kuliwa?!!! Haiwezekani bwana, hata kidogo.
Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu, eeeh ndio tundu bovu.
 
Wachagga wachache sana wanajisifia wanajua kutafuta. Na wanaojisifia wote maskini. Chunguza.
Uko sahihi mkuu. Nilikuwa nawasaidia vijana wasilemae na kukaa vijiweni wanadanganyana eti Kabila fulani lina akili, kabila lile lina wanawake/wanaume wakorofi n.k mambo haya utayakuta kila kabila ni juhudi binafsi na kujijenga kitabia na kiuelewa.
 
hivi kuna sehemu tamu kuishi hapa tz kama kilimanjaro?
Yes ipo mbeya
Mchele usangu bwelele
Ndizi, na mapalachichi..rungwe
Mchele tena.kyelaa
Mahindi.maharage,ulezi nk..mbozi
Viazi vitamu na.mviringo..mbeya mjinj na mbeya vijini ( hapa unapata na viungo kwa bei rahisi km karot,vitungu nk

Hapo utengule wasiko jua kiangaz,umalira,ileje

Ukifa kwa.njaa mbeya ,we punguwani
 
Hivi hao wote wameufanyia nini mkoa wao wa Bukoba? zaidi ya kujaa majigambo na ukabila?

Angalieni wenzenu Watu wa kilimanjaro licha ya kwamba hawajasoma sana angalia mkoa wao ulivyo.

Ni heri chizi mwenye faida kuliko Mwerevu asiye na faida.

Wewe ndiye unayesababisha watu wachukie kuitwa wapumbavu.
 
Mods siku hizi mnaongwa ili kuweka post kama hizi nini?
 
Back
Top Bottom