Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Kweli mnapenda sifa aisee, duuuh yaani umeumiza kichwa nakutumia kuda wako kudadavua tu wako wa kabila lako bila hata kuona kwamba huko ulipo dadavua wapo watu wa makabila mengine, kweli mnapenda sifa aisee
hahahaha sina hata chembe ya uhaya
 
Kweli mnapenda sifa aisee, duuuh yaani umeumiza kichwa nakutumia kuda wako kudadavua tu wako wa kabila lako bila hata kuona kwamba huko ulipo dadavua wapo watu wa makabila mengine, kweli mnapenda sifa aisee
hahahaha sina hata chembe ya uhaya
 
Wahaya wako vizuri kichwani,sababu kubwa ni lishe bora,bukoba ni eneo lenye vyakula vingi!!hivyo watoto wakienda shule huwa tayari wameshiba!!na ili usikilize vizuri lazima Tumbo liwe vizuri...pia samaki na matunda hasa parachichi(bukoba vnapatkana)hujenga akili !!!sasa mfano dom,hakuna jingine ni ugali tu through out of the year!!!akili itakujaje???
 
kuanzia monsnyori gozbeti.......hapa wacha uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…