Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka nikwambie ujue kuanzia leo wasukuma wasingewekewa kizingiti wangelikuwa weengi mnoo kwe mfumo wa serikali japo hawakuwa na mwamko wa elimu kivile.......Kwa wasukuma sio kweli. Wasukuma wenye akili hawakuwa wengi sana
[emoji2] [emoji2] atakuwa amekaa na wazaramo wamemharibuNilisoma na kokubanza alikua hapendi shule huyo mtoro hatari cjui muhaya wa wapi yule asiependa kusoma
Shule kuwa kwe 10 bora hata ikiwa Kagera haimaanishi kwamba ni ya Wahaya tu kuna makabila mengi sana yamechanganyika kila sehemu.......unachotakiwa kujua ni kwamba watu wenye akili wapo kila makabila si kwa wahaya tuLakini hata sasa ambapo serikali imewekeza kila eneo bado wanazidi kupeta mkoa wa kagera haukosagi ten best kwenye mitiahani ya form four,la saba,form two,la NNE fuatilia tangia 2010 ukikuta mkoa wa kagera haupo ten best kwenye mtihani hiyo unitag mfano mwaka matokeo ya darasa la saba shule 4 bora kitaifa zimetoka kagera na mabest students watatu wametoka kagera na mkoa wenyewe umefaulisha na kuwa wa tatu.form four 2016 bukoba ndio iliongoza kitaifa huku halmAshauri nyingine kama muleba,biharamulo, misenyi zikiwa teni best .je na sa hivi kuna wakoloni?
Mbona mkoa wa kagera haukosagi ten best kwenye matokeo[/QUOT
mkoa wa katavi miaka 5 haukosi kumi bora, hivyo wafipa ni majiniazi baada ya wahaya.
kuna mchanganyiko wa watu wengi mkoa wa kagera pia uwekezaji mkubwa umefanywa ivo kuwavutia wengi kwenye shule za binafsi.
Kizuri hakikosi kasoro!! ila sisi nao tumoo na hatupungui bado tuko wengi sana! Lingekuwa kabila lingine lingeshapotea kabisa mkuu![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wahaya wanasifika sio kwa kusoma tu bali hata kwa umalaya na ukimwi uliwaangamiza sana miaka ya 80
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa kila mahali wapo mkuu![emoji2] [emoji2] atakuwa amekaa na wazaramo wamemharibu
Haaaa unaeza kwenda sehemu unaona migomba kibaooo kitu kijaniii kama ka Pori hivi weeeee Kuna mijengo yaukwee noma nomaMkuu ila siku hizi wameanza kurudi ingawa wengine bado walio bukoba ni mashahidi hivi karibuni uwekezaji umeanza kuonekana na wanajenga sana vijijini kuliko mjini lakini siku hizi hata Bk imeanza kuamuka kwa kasi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] karibu tena na senene pembeni utashushia na juice ya ndizi, lazima kitambi cha muda kiote [emoji39] [emoji39]!!!!!!Napenda sana vyakula vyao traditional michemsho freshhhh ndizi samaki ntongo plus maharage wanamix humohumo asee siku ya kwanza kula hiko chakula nilijilamba mpaka kisogonii. Na parachichi lako aaaaaaaaaaaaaaaaaaa burudaaaaani [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Cc Smart911
Walipoonekana wanajenga kwao walianza kuitwa makabila hata siku hizi ambapo wameanza kujenga tena bado wanaendelea kuitwa hivyo na kuzuiwa mfano uwanja wa kisasa wa kaitaba na airport wengi wameanza kusema kwa nini bukoba hata siku hizi meli ilivyoanza kujengwa kubwa wengi wameanza chokochoko za kwa nini iwe bukoba hata ujenzi wa shopping mall na ujio wa rais Bukoba na kukaa siku NNE watu wanasema kwa nini bukoba hilo ndo lilikwamisha wahaya kujenga kwao ila sasa wameshawaelewa watz ndo maana wanarudi kwa kasi kuijenga kgr hasa bukoba mjini
Mkuu hapo sidhani kama ni kweli kwa sababu hadi leo hii wasukuma bado wanakimbilia porini kusiko na shule ili wachunge, sasa sipati picha miaka ya nyuma ilikuwajeKaka nikwambie ujue kuanzia leo wasukuma wasingewekewa kizingiti wangelikuwa weengi mnoo kwe mfumo wa serikali japo hawakuwa na mwamko wa elimu kivile.......
Napenda sana vyakula vyao traditional michemsho freshhhh ndizi samaki ntongo plus maharage wanamix humohumo asee siku ya kwanza kula hiko chakula nilijilamba mpaka kisogonii. Na parachichi lako aaaaaaaaaaaaaaaaaaa burudaaaaani [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Cc Smart911
Walishangaa kwa sababu walifika huko kwa Wahaya huenda hata kwa makabila mengine yalikuwepo sema kwa sababu hawakufika hayakuweza kubinishwaWakoloni waliwapenda wahaya kwa sababu walikuta baadhi ya mambo na kuyashangaa mfano bunge kuu la wahaya la chemba rwamishenye ambalo halikutofautiana na ya ulaya.na pia kustaarabika na makao ya kudumu ya wahaya ambao nao walijenga urafiki nao.