Haya bei hizo kwa wale wasafiri wa ATCL

Unatafuta kiki?....usijali sisi tuta ku kick kwa nyuma usogee mbele.
 
160, 000 kama siwahi sanaa nitapanda Yutong Tu Luxury ... Haya mapanga boy hata Raha hutoona kwa hela hiyo yoteee bora upande ya 45000 na TV unaona
Akili yako bwana.....sasa 45000 plus siku mbili za njiani....au Luxury Yutong zina vitanda?
 
Go and return za ndege haziko hivyo mkuu, ikiwa one way ni 160,000, kwenda na kurudi inaweza kuwa 270,000

bado ATCL wako juu. mfano hii ni ya fastjet. na hapo hapo mnasema ndege za fastjet zinatumia mafuta mengi zaidi. sasa iweje mwenye kutumia mafuta mengi awe na bei ya chini


Direct 154,000 TZS
10:10

11:40
Fri 21 Oct
FN0143
Direct 176,000 TZS
15:20
Fri 21 Oct
16:50
Fri 21 Oct
FN0145
Direct 176,000 TZS
19:45
Fri 21 Oct
21:15
Fri 21 Oct

06:00
Sat 22 Oct
07:30
Sat 22 Oct
FN0141
Direct 154,000 TZS
 
Hawa watanimalizia perdiem! Bado Kilimanjaro inanihusu.
 
Umewekewa nauli.
Hujaulizwa pesa ifanye nini.
 
Na huyo mtu ambaye atategemea mitandao ya jamii
Kujua nauli apimwe.
Huu uzi ni maalum kwa malumbano siku ipite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…