Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako bwana.....sasa 45000 plus siku mbili za njiani....au Luxury Yutong zina vitanda?160, 000 kama siwahi sanaa nitapanda Yutong Tu Luxury ... Haya mapanga boy hata Raha hutoona kwa hela hiyo yoteee bora upande ya 45000 na TV unaona
hapo tumia tu ungo si unakata tu maji shaapMwanza to Bukoba?
Go and return za ndege haziko hivyo mkuu, ikiwa one way ni 160,000, kwenda na kurudi inaweza kuwa 270,000
Umewekewa nauli.Basi mororooo, mapanga shaaaaaaa!
160,000 one way, two way 320,000/-. Au kuna punguzo? Watabaki kupanda wale wale. Na ATCL ina madeni ya Nyuma. Kila senti itaenda kulipa deni. Mpaka 2025 madeni yatakuwa bado hayajaisha. Atakuja Rais mwingine atapuyanga na yake.
Na huyo mtu ambaye atategemea mitandao ya jamiiMleta mada ni kile kikundi cha "wanapropaganda" wa Lumumba mitandaoni,wakiongozwa na Chriss Lukosi kule Fb.
Hii wamekaa tu watu na kuitengeneza,haina ukweli wowote.Mpaka sasa bado ndege mpya hazijanyanyuka...Hata system mpya ya booking online ipo off...Lazima wezi wa tiketi waliwe vichwa kwanza.
Sasa hizi Propaganda za Wakudadavuwa zinaweza ama kulipaisha shirika au kuliuwa.Maana mtu akiona bei hii hapa,akienda akakuta ipo juu zaidi atasema ATCL ni wahuni,mitandaoni bei hii,uhalisia ni bei hii.Matokeo yake manapoteza abiria kijinga jinga sbb ya Propaganda za Lumumba.
Mmeshaleta ndege,nyie kaeni pembeni na siasa zenu.Tuachieni ndege zifanye kazi.Kama kutekeleza ahadi mshatekeleza,haina haja ya "siasa" huku kwingine.Bei zitaendana na soko,sio siasa za kufurahisha watu halafu ATCL irudi ilikotokea.Mshindwe na mlegeee!!Mnataka tena kuliuwa shirika letu na siasa zenu za kibwege.