Haya Chukueni hii kuhusu 'Derby' ya Kesho ( Leo ) tarehe 5 Novemba, 2023 Mkapa Stadium

Haya Chukueni hii kuhusu 'Derby' ya Kesho ( Leo ) tarehe 5 Novemba, 2023 Mkapa Stadium

Refa akiwa Mwanamke yule Dada wa Singida ( ambaye ni mwana Simba SC lia lia ) kwa 100% Simba SC anashinda.

Refa akiwa Mwanaume ( hasa Aragija ) ambaye pia Kiuhalisia ni mwana Yanga SC lia lia kwa 100% Yanga SC inashinda.

Refa akiwa ni Mwanaume ( hasa Eli Sasi ) Mechi itaisha Sare kwakuwa huyu huchukua Mlungula kote kote na hupenda Kubalansi Derby kwa kuona Aibu japo kiuhalisia ni mwana Simba SC ila ni muoga muoga.

Refa akiwa ni tofauti na hawa Watatu niliowataja hapa kwa Majina ila Fourth Official akawa ni Mwanamke basi kwa 100% Simba SC itashinda.

Hata hivyo pamoja na GENTAMYCINE kuwaletea yote haya ila wana Simba SC Wenzangu mtanisamehe na msichukie ila ukweli ni kwamba Kindumba ( Kiuchawi ) kuna mahala Yanga SC wametukamata na hadi muda huu naandika huu Uzi matokeo niliyonayo ni kwamba Simba SC itafungwa Goli 1 kwa 0 au Magoli 2 kwa 1.

Hata hivyo Juhudi za Kiutamaduni ( Kindumba ) zinaendelea ili kubadili matokeo ila tatizo Kubwa ni muda wa Saa 11 Jioni ambapo Jini la Yanga SC ndiyo huwa Hatari na Kali na la Simba SC huanza kuwa Imara kuanzia Saa 12 Jioni na hasa Saa 1 Usiku.

Na kwa Yanga SC wana Wataalam ( Waganga ) wengi ila kwa Mechi zote za Simba SC humtumia Mganga wao Hatari ambaye ni Mjomba wake na Kiongozi wa Simba SC Murtaza Mangungu ambaye pia ndiyo Mganga Mkuu wa Kiongozi Mmoja mkubwa, Mawaziri Watatu na Wabunge Tisa.

Kwa Simba SC Kesho Mzigo ( Ndumba ) ataibeba John Boko au Kibu Denis na kwa Yanga SC Ndumba ( Mzigo ) atabeba Mudathir Yahya au Bakari Mwamnyeto.

Jamiiforums Captain GENTAMYCINE I'm back. Na Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Ya kiwa kweli nitaanza kukuogopa
 
Refa akiwa Mwanamke yule Dada wa Singida ( ambaye ni mwana Simba SC lia lia ) kwa 100% Simba SC anashinda.

Refa akiwa Mwanaume ( hasa Aragija ) ambaye pia Kiuhalisia ni mwana Yanga SC lia lia kwa 100% Yanga SC inashinda.

Refa akiwa ni Mwanaume ( hasa Eli Sasi ) Mechi itaisha Sare kwakuwa huyu huchukua Mlungula kote kote na hupenda Kubalansi Derby kwa kuona Aibu japo kiuhalisia ni mwana Simba SC ila ni muoga muoga.

Refa akiwa ni tofauti na hawa Watatu niliowataja hapa kwa Majina ila Fourth Official akawa ni Mwanamke basi kwa 100% Simba SC itashinda.

Hata hivyo pamoja na GENTAMYCINE kuwaletea yote haya ila wana Simba SC Wenzangu mtanisamehe na msichukie ila ukweli ni kwamba Kindumba ( Kiuchawi ) kuna mahala Yanga SC wametukamata na hadi muda huu naandika huu Uzi matokeo niliyonayo ni kwamba Simba SC itafungwa Goli 1 kwa 0 au Magoli 2 kwa 1.

Hata hivyo Juhudi za Kiutamaduni ( Kindumba ) zinaendelea ili kubadili matokeo ila tatizo Kubwa ni muda wa Saa 11 Jioni ambapo Jini la Yanga SC ndiyo huwa Hatari na Kali na la Simba SC huanza kuwa Imara kuanzia Saa 12 Jioni na hasa Saa 1 Usiku.

Na kwa Yanga SC wana Wataalam ( Waganga ) wengi ila kwa Mechi zote za Simba SC humtumia Mganga wao Hatari ambaye ni Mjomba wake na Kiongozi wa Simba SC Murtaza Mangungu ambaye pia ndiyo Mganga Mkuu wa Kiongozi Mmoja mkubwa, Mawaziri Watatu na Wabunge Tisa.

Kwa Simba SC Kesho Mzigo ( Ndumba ) ataibeba John Boko au Kibu Denis na kwa Yanga SC Ndumba ( Mzigo ) atabeba Mudathir Yahya au Bakari Mwamnyeto.

Jamiiforums Captain GENTAMYCINE I'm back. Na Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Sorry for this, but as a matter of fact you are now turning out to be a DISGRACE!! Wakati watanzania na Afrika yote kwa ujumla wanatarajia kuona burudani ya soka safi la kiushindani, wewe unataka kuturudisha kwenye ujima wa kiuchawi. Nani ana hamu na kushuhudia mambo ya kishirikina?!! Uzuri ni kwamba watu wenye mawazo kama ya kwako kwa sasa ni wa kutafuta kwa tochi!!
 
Wakuu nimenunua tiketi ya mzunguko wa N-card wamenipa mpaka namba ya siti!
Hofu yangu nikwamba inazingatiwaje kujua mimi ni Yanga au Kolo maana mule watu hukaa kila timu na upande wake!!
 
Refa akiwa Mwanamke yule Dada wa Singida ( ambaye ni mwana Simba SC lia lia ) kwa 100% Simba SC anashinda.

Refa akiwa Mwanaume ( hasa Aragija ) ambaye pia Kiuhalisia ni mwana Yanga SC lia lia kwa 100% Yanga SC inashinda.

Refa akiwa ni Mwanaume ( hasa Eli Sasi ) Mechi itaisha Sare kwakuwa huyu huchukua Mlungula kote kote na hupenda Kubalansi Derby kwa kuona Aibu japo kiuhalisia ni mwana Simba SC ila ni muoga muoga.

Refa akiwa ni tofauti na hawa Watatu niliowataja hapa kwa Majina ila Fourth Official akawa ni Mwanamke basi kwa 100% Simba SC itashinda.

Hata hivyo pamoja na GENTAMYCINE kuwaletea yote haya ila wana Simba SC Wenzangu mtanisamehe na msichukie ila ukweli ni kwamba Kindumba ( Kiuchawi ) kuna mahala Yanga SC wametukamata na hadi muda huu naandika huu Uzi matokeo niliyonayo ni kwamba Simba SC itafungwa Goli 1 kwa 0 au Magoli 2 kwa 1.

Hata hivyo Juhudi za Kiutamaduni ( Kindumba ) zinaendelea ili kubadili matokeo ila tatizo Kubwa ni muda wa Saa 11 Jioni ambapo Jini la Yanga SC ndiyo huwa Hatari na Kali na la Simba SC huanza kuwa Imara kuanzia Saa 12 Jioni na hasa Saa 1 Usiku.

Na kwa Yanga SC wana Wataalam ( Waganga ) wengi ila kwa Mechi zote za Simba SC humtumia Mganga wao Hatari ambaye ni Mjomba wake na Kiongozi wa Simba SC Murtaza Mangungu ambaye pia ndiyo Mganga Mkuu wa Kiongozi Mmoja mkubwa, Mawaziri Watatu na Wabunge Tisa.

Kwa Simba SC Kesho Mzigo ( Ndumba ) ataibeba John Boko au Kibu Denis na kwa Yanga SC Ndumba ( Mzigo ) atabeba Mudathir Yahya au Bakari Mwamnyeto.

Jamiiforums Captain GENTAMYCINE I'm back. Na Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Mbona Nigeria awajawai kubeba kombe la Dunia na ndiyo nchi inayoongoza kwa ushirikina duniani? Ifike wakati tuondoke kwenye habari za ulozi na fikra potofu, dawa ya kufika hatua kubwa kimafanikio ya soka ni kuwekeza kwenye usajili Bora, benchi Bora la ufundi, menejiment Bora na uwezo madhubuti wa kiuchumi kwa vilabu vyetu utakaowezesha kulipa mishahara ya uhakika kwa watumishi wake hasa hasa wachezaji pia miundombinu Bora ikiwemo viwanja nk!
 
Kama Bodi ya ligi wanataka mtu afie uwanjani basi hiyo mechi kesho achezeshe TATU MALOGO... Walah mm nitampga mitama ya kila rangi!.
 
Refa akiwa Mwanamke yule Dada wa Singida ( ambaye ni mwana Simba SC lia lia ) kwa 100% Simba SC anashinda.

Refa akiwa Mwanaume ( hasa Aragija ) ambaye pia Kiuhalisia ni mwana Yanga SC lia lia kwa 100% Yanga SC inashinda.

Refa akiwa ni Mwanaume ( hasa Eli Sasi ) Mechi itaisha Sare kwakuwa huyu huchukua Mlungula kote kote na hupenda Kubalansi Derby kwa kuona Aibu japo kiuhalisia ni mwana Simba SC ila ni muoga muoga.

Refa akiwa ni tofauti na hawa Watatu niliowataja hapa kwa Majina ila Fourth Official akawa ni Mwanamke basi kwa 100% Simba SC itashinda.

Hata hivyo pamoja na GENTAMYCINE kuwaletea yote haya ila wana Simba SC Wenzangu mtanisamehe na msichukie ila ukweli ni kwamba Kindumba ( Kiuchawi ) kuna mahala Yanga SC wametukamata na hadi muda huu naandika huu Uzi matokeo niliyonayo ni kwamba Simba SC itafungwa Goli 1 kwa 0 au Magoli 2 kwa 1.

Hata hivyo Juhudi za Kiutamaduni ( Kindumba ) zinaendelea ili kubadili matokeo ila tatizo Kubwa ni muda wa Saa 11 Jioni ambapo Jini la Yanga SC ndiyo huwa Hatari na Kali na la Simba SC huanza kuwa Imara kuanzia Saa 12 Jioni na hasa Saa 1 Usiku.

Na kwa Yanga SC wana Wataalam ( Waganga ) wengi ila kwa Mechi zote za Simba SC humtumia Mganga wao Hatari ambaye ni Mjomba wake na Kiongozi wa Simba SC Murtaza Mangungu ambaye pia ndiyo Mganga Mkuu wa Kiongozi Mmoja mkubwa, Mawaziri Watatu na Wabunge Tisa.

Kwa Simba SC Kesho Mzigo ( Ndumba ) ataibeba John Boko au Kibu Denis na kwa Yanga SC Ndumba ( Mzigo ) atabeba Mudathir Yahya au Bakari Mwamnyeto.

Jamiiforums Captain GENTAMYCINE I'm back. Na Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Welcome back
 
Refa akiwa Mwanamke yule Dada wa Singida ( ambaye ni mwana Simba SC lia lia ) kwa 100% Simba SC anashinda.

Refa akiwa Mwanaume ( hasa Aragija ) ambaye pia Kiuhalisia ni mwana Yanga SC lia lia kwa 100% Yanga SC inashinda.

Refa akiwa ni Mwanaume ( hasa Eli Sasi ) Mechi itaisha Sare kwakuwa huyu huchukua Mlungula kote kote na hupenda Kubalansi Derby kwa kuona Aibu japo kiuhalisia ni mwana Simba SC ila ni muoga muoga.

Refa akiwa ni tofauti na hawa Watatu niliowataja hapa kwa Majina ila Fourth Official akawa ni Mwanamke basi kwa 100% Simba SC itashinda.

Hata hivyo pamoja na GENTAMYCINE kuwaletea yote haya ila wana Simba SC Wenzangu mtanisamehe na msichukie ila ukweli ni kwamba Kindumba ( Kiuchawi ) kuna mahala Yanga SC wametukamata na hadi muda huu naandika huu Uzi matokeo niliyonayo ni kwamba Simba SC itafungwa Goli 1 kwa 0 au Magoli 2 kwa 1.

Hata hivyo Juhudi za Kiutamaduni ( Kindumba ) zinaendelea ili kubadili matokeo ila tatizo Kubwa ni muda wa Saa 11 Jioni ambapo Jini la Yanga SC ndiyo huwa Hatari na Kali na la Simba SC huanza kuwa Imara kuanzia Saa 12 Jioni na hasa Saa 1 Usiku.

Na kwa Yanga SC wana Wataalam ( Waganga ) wengi ila kwa Mechi zote za Simba SC humtumia Mganga wao Hatari ambaye ni Mjomba wake na Kiongozi wa Simba SC Murtaza Mangungu ambaye pia ndiyo Mganga Mkuu wa Kiongozi Mmoja mkubwa, Mawaziri Watatu na Wabunge Tisa.

Kwa Simba SC Kesho Mzigo ( Ndumba ) ataibeba John Boko au Kibu Denis na kwa Yanga SC Ndumba ( Mzigo ) atabeba Mudathir Yahya au Bakari Mwamnyeto.

Jamiiforums Captain GENTAMYCINE I'm back. Na Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom