Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Washa taahata lowasa simuoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washa taahata lowasa simuoni
waliokwapua mali za wananchi ni CCM na wanazimiliki kimabavu hadi leo .Hivi chadema huwa Wana Mali?
Ufike wakati muache kuwaza kwa kutumia ubongo wa nyumbu..kwani aliuza kama zake au serikali?? Je pesa alitia mfukoni au ziliingia serikalini?? Huyo demu wake unamjua au umeklemishwa?? Nyie si ndio mliwaambiwa kwa miaka takribani nane kuwa lowasa fisadi kisha ndani ya wiki mkaambiwa sio fisadi mkadhihirisha mlivyo wepesi..muwe mnatumia ubongo wa binadamu kufikiri saa zingine
......Hii ina onesha wazi ccm ni majambazi.
Mwekezaji lazima agawe share kwa ccm !
Huu ni ufisadi mkubwa unao fanywa na ccm dhidi ya wawejezaji kwani hizo share hawa zilipii bali ni wizi tu
Utasubiri sana! EL alikuwa scapegoat tu. CCM wezi kweli kweli!Tusubiri kwenye kesi ya mali za chama labda watamshtakia hapo
Acha ujinga Nani ataruhusu CCM ikae miaka 100Mh Rais anaitengeneza njia njia ambayo itakuwa msingi wa ustawi wa chama na taifa kwa miaka 100 ikiwa tu tutamuelewa nakumpa ushirikiano