Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,844
CCM na wizi ni kama mapacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema mmejipangaje kuanza kuwakaribisha hawa na kuwatetea??Hakuna mtu wa kuwajibishwa hapo. Kuna watu walitajwa kwenye ripot ya makinikia lakini hadi leo wanakula bata 2
Alitafutwa??? au amejitafuta mwenyewe..Pole January Makamba naona umetafutwa sana..now umepatikana.. wachache watalijua hili. Ulikuwaga mbunge mzuri tu..
Tatzo lenu mnajua kila anaekosoa serikali na ccm ni chademaChadema mmejipangaje kuanza kuwakaribisha hawa na kuwatetea??
Mwanachadema hajifichi ndugu..utajua tu upeo wa akili zao kupitia maneno yao..kubeza, kupayuka, matusi na kashfaTatzo lenu mnajua kila anaekosoa serikali na ccm ni chadema
Akili zako ndogo kwel yaan mtu akipinga anakuwa chadema? Kuna mtu anapayuka kwenye kuandika? Siwezi kubishana na ww ambae Kazi yako ni kusifia serikali na ccm na unalipwa hyo buku 7 kutokana na hilo ila elewa kuna vijana tunauchungu na taifa letu na ile inshu ya makinikia ndo iliniuma zaid maana ilikuwa inshu ya kitaifa na sio kisiasa wala kichama sasa kama ile ilikuwa vile na hakuna aliyeshtakiwa vipi hii unadhani itawezekana? Tulichokipoteza kwenye makinikia kinafanana na hizi mali za chama zilizopotea? Tena mali zenyewe zinawahusu wana ccm tu na sio watanzania woteMwanachadema hajifichi ndugu..utajua tu upeo wa akili zao kupitia maneno yao..kubeza, kupayuka, matusi na kashfa
mkuu mm pia nimevunjika mbavu kbsNimecheka hiyo ya Wazi Mkuu kuwatimua wajumbe wa kamati ya uchunguzi.
Ama kweli kila mtanzania mwizi.!
Nadhani hiyo No.3 imewekwa ili ku nyutrolaizi/kubalance equation.Hakuna mtu wa kuwajibishwa hapo. Kuna watu walitajwa kwenye ripot ya makinikia lakini hadi leo wanakula bata 2
kama ni hivyo itabidi tuwakaribishe ccm wote maana wote ni wezi nashangaa kwanini yule aliyeuza nyumba za siriikalii na nyingine kumpa demu wake hajatajwa?Chadema mmejipangaje kuanza kuwakaribisha hawa na kuwatetea??