Tetesi: Haya hapa majina mengine katika Ripoti ya Mali za CCM (Makinikia ya CCM)

Tetesi: Haya hapa majina mengine katika Ripoti ya Mali za CCM (Makinikia ya CCM)

ccm ni kama kizazi cha panya
Babu-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Bibi-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mama-Mwiziiiiiiiiiiii
Baba-Mwiziiiiiiiiiiiiii
Watoto-Weziiiiiiiiiiiiiiiiii
Wajukuu-Weziiiiiiiiiiiiiiii
Vitukuu-Weziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mjomba-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Shangazi-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mkwe-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Shemeji-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mkazamjomba-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mchepuko-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Bekitatu-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Vitukuuu-Weziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mtoto wa kuasili-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mama wa kambo-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Baba wa kambo-Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
kaka-Mwziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
dada-mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mdogo mtu-mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mwali-mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

SASA WHAT DO U EXPECT
tuko kwenye right truck wakuuuuu
 
Chama cha Majizi na Mafisadi kuanzia Mkapa na wengi wengineo.
 
1. Bulembo: Kauza shule 6 za Jumuiya ya wazazi

2. Waziri Mkuu Majaliwa: Aliuziwa moja ya shule ya wazazi na Bulembo kwa bei ya kutupwa. Kisha alipoenda kuhojiwa na kamati ya Dr. Bashiru wasaidizi wake waliwakufukuza kama mbwa

3. Lowassa: Alikwapua share za CCM katika miliki ya jumla ya Channel Ten

4. January Makamba: Alishiriki kuuza share za Halotel zilizokuwa zinamilikiwa na CCM

5. Nape Nauye: Baada ya uchaguzi Mkuu alichukua magari 3 VX mapya ya CCM

6. Shaka H Shaka: Alifoji hati ya maeneo ya UVCCM kwa kushirikiana na mwekezaji kisha kuchukua mkopo bank zaidi ya dola laki 200,000

7. Mbunge Sixtus Mapunda: Wizi wa mamilioni katika mashamba ya Igumbiro, pamoja na kufoji muhtasari ya baraza la wadhamini. Hii ni pamoja na kufoji saini za wajumbe wa baraza hilo na aliyekuwa Mwenyekiti Dr. Nchimbi

8. Jumuiya ilioongoza kwa ubadhirifu ni ya Wazazi ikifuatiwa na jumuiya ya Vijana (UVCCM)

9. Baadhi ya wahusika kupandishwa kizimbani kuanzia wiki ijayo June, 2018 akiwemo Shaka na Sixtus Mapunda

10. Makatibu wa mikoa zaidi ya 10 wa Chama wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

11. Makatibu wa mikoa 8 wa UVCCM wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

NB: Dr. Bashiru ameapa kuwawajibisha kila mmoja aliyeonekana hata katika page moja ya karatasi.

Ripoti mali za CCM; Mwakyembe, Bulembo, Shaka (UVCCM), Sixtus Mapunda, Makatibu 11 wa Mikoa hawachomoki

=====

UPDATE:

Juni 05, 2018

View attachment 794406
sawa mbona hawapelekwi mahakama ya mafisadi?
 
Hakuna atakayechukuliwa hata mmoja maana hicho chama Hakuna mtu asiye fisadi hata mmoja wote ni mafisadi wa kutupa.
 
1. Bulembo: Kauza shule 6 za Jumuiya ya wazazi

2. Waziri Mkuu Majaliwa: Aliuziwa moja ya shule ya wazazi na Bulembo kwa bei ya kutupwa. Kisha alipoenda kuhojiwa na kamati ya Dr. Bashiru wasaidizi wake waliwakufukuza kama mbwa

3. Lowassa: Alikwapua share za CCM katika miliki ya jumla ya Channel Ten

4. January Makamba: Alishiriki kuuza share za Halotel zilizokuwa zinamilikiwa na CCM

5. Nape Nauye: Baada ya uchaguzi Mkuu alichukua magari 3 VX mapya ya CCM

6. Shaka H Shaka: Alifoji hati ya maeneo ya UVCCM kwa kushirikiana na mwekezaji kisha kuchukua mkopo bank zaidi ya dola laki 200,000

7. Mbunge Sixtus Mapunda: Wizi wa mamilioni katika mashamba ya Igumbiro, pamoja na kufoji muhtasari ya baraza la wadhamini. Hii ni pamoja na kufoji saini za wajumbe wa baraza hilo na aliyekuwa Mwenyekiti Dr. Nchimbi

8. Jumuiya ilioongoza kwa ubadhirifu ni ya Wazazi ikifuatiwa na jumuiya ya Vijana (UVCCM)

9. Baadhi ya wahusika kupandishwa kizimbani kuanzia wiki ijayo June, 2018 akiwemo Shaka na Sixtus Mapunda

10. Makatibu wa mikoa zaidi ya 10 wa Chama wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

11. Makatibu wa mikoa 8 wa UVCCM wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

NB: Dr. Bashiru ameapa kuwawajibisha kila mmoja aliyeonekana hata katika page moja ya karatasi.

Ripoti mali za CCM; Mwakyembe, Bulembo, Shaka (UVCCM), Sixtus Mapunda, Makatibu 11 wa Mikoa hawachomoki

=====

UPDATE:

Juni 05, 2018

View attachment 794406


Pumba tupu mgogoro ni sasa unafikiria watu watajali vitu vya miaka 10 iliyopita
 
1. Bulembo: Kauza shule 6 za Jumuiya ya wazazi

2. Waziri Mkuu Majaliwa: Aliuziwa moja ya shule ya wazazi na Bulembo kwa bei ya kutupwa. Kisha alipoenda kuhojiwa na kamati ya Dr. Bashiru wasaidizi wake waliwakufukuza kama mbwa

3. Lowassa: Alikwapua share za CCM katika miliki ya jumla ya Channel Ten

4. January Makamba: Alishiriki kuuza share za Halotel zilizokuwa zinamilikiwa na CCM

5. Nape Nauye: Baada ya uchaguzi Mkuu alichukua magari 3 VX mapya ya CCM

6. Shaka H Shaka: Alifoji hati ya maeneo ya UVCCM kwa kushirikiana na mwekezaji kisha kuchukua mkopo bank zaidi ya dola laki 200,000

7. Mbunge Sixtus Mapunda: Wizi wa mamilioni katika mashamba ya Igumbiro, pamoja na kufoji muhtasari ya baraza la wadhamini. Hii ni pamoja na kufoji saini za wajumbe wa baraza hilo na aliyekuwa Mwenyekiti Dr. Nchimbi

8. Jumuiya ilioongoza kwa ubadhirifu ni ya Wazazi ikifuatiwa na jumuiya ya Vijana (UVCCM)

9. Baadhi ya wahusika kupandishwa kizimbani kuanzia wiki ijayo June, 2018 akiwemo Shaka na Sixtus Mapunda

10. Makatibu wa mikoa zaidi ya 10 wa Chama wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

11. Makatibu wa mikoa 8 wa UVCCM wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

NB: Dr. Bashiru ameapa kuwawajibisha kila mmoja aliyeonekana hata katika page moja ya karatasi.

Ripoti mali za CCM; Mwakyembe, Bulembo, Shaka (UVCCM), Sixtus Mapunda, Makatibu 11 wa Mikoa hawachomoki

=====

UPDATE:

Juni 05, 2018

View attachment 794406
Nadhani Rais wangu utafanya kweli this time.JPM haki ya mama ukifunika kombe,hata kama ni mwana CCM mwenzangu kura yangu hupati.Najua hatuko pamoja.
 
CCM ni Kikundi cha Wajanja wachache wanaojipanga kula Pato la nchi na rasilimali yake kupitia Fursa ya utawala.
Chama Kushika hatam ndiyo sera iliyotufikisha hapa.
Ndio maana UVCCM ,Jumuiya ya Wazazi , na kila idara wanaweka makada wao na ndio walioharibu kila sehemu.

Hatuwezi kuendelea kama tutakua na Chama chenye nguvu na uchumi mkubwa kama serikali lakini hakina Wajibu wa kujenga nchi kupitia miradi yake.
Sasa kazi ya miradi yake mikubwa kabisa ni nini kama sio fursa ya watu kula na kutumika kuwapa wajanja madaraka.
Ndio mana kila mjanja anajipendekeza kwenye Chama kikubwa ili apate kula na si vinginevyo.
CCM ndicho Chama chenye Madiwani wasiojua kusoma na kuandika.
Diwani asiyeweza kuandika milioni mia NNE kwa tarakimu halafu utegemee kuwa ataweza kusimamia maendeleo ya Halmashauri kama sio kutegemea huruma ya Watawala.

Wajumbe wengi wa CCM ndani ya vikao vyao ni wale wasio na Elimu. Hawa wanatumiwa na wasomi na matajiri wachache kupata madaraka na kula nchi

Wanachama walikua wapi mpaka Miradi ya Chama ikataifishwa na wajanja wa Chache?
Kwa nini Wanachama na uongozi wa CCM hawakupendekeza miradi hiyo ikataifishwa na serikali yao wanayoiongoza kama wana nia ya dhati ya kuwaletea wananchi maendeleo?
 
Back
Top Bottom