Tetesi: Haya hapa majina mengine katika Ripoti ya Mali za CCM (Makinikia ya CCM)

Tetesi: Haya hapa majina mengine katika Ripoti ya Mali za CCM (Makinikia ya CCM)

Wote ni wezi ila wanatofautiana mda tu na wakati niwe muwazi tu hakuna mwanasiasa ambaye sio mwizi Tanzania hii
 
Huyo Majaliwa hiyo shule anailinda sasa kwa sababu ni waziri mkuu. Siku akitoka tu, wanaichukua. atafanywa kama Sumaye.
 
Hii imedhihirisha akina mama wanastahili kupewa uongozi wa nchi! Au tuseme UWCCM hawana mali za kufisadi? Mungu fanya hima mama Samia akabidhiwe nchi!
Kesha fanya, mbona ndiyo kwanza yanatokota!
 
1. Bulembo: Kauza shule 6 za Jumuiya ya wazazi

2. Waziri Mkuu Majaliwa: Aliuziwa moja ya shule ya wazazi na Bulembo kwa bei ya kutupwa. Kisha alipoenda kuhojiwa na kamati ya Dr. Bashiru wasaidizi wake waliwakufukuza kama mbwa

3. Lowassa: Alikwapua share za CCM katika miliki ya jumla ya Channel Ten

4. January Makamba: Alishiriki kuuza share za Halotel zilizokuwa zinamilikiwa na CCM

5. Nape Nauye: Baada ya uchaguzi Mkuu alichukua magari 3 VX mapya ya CCM

6. Shaka H Shaka: Alifoji hati ya maeneo ya UVCCM kwa kushirikiana na mwekezaji kisha kuchukua mkopo bank zaidi ya dola laki 200,000

7. Mbunge Sixtus Mapunda: Wizi wa mamilioni katika mashamba ya Igumbiro, pamoja na kufoji muhtasari ya baraza la wadhamini. Hii ni pamoja na kufoji saini za wajumbe wa baraza hilo na aliyekuwa Mwenyekiti Dr. Nchimbi

8. Jumuiya ilioongoza kwa ubadhirifu ni ya Wazazi ikifuatiwa na jumuiya ya Vijana (UVCCM)

9. Baadhi ya wahusika kupandishwa kizimbani kuanzia wiki ijayo June, 2018 akiwemo Shaka na Sixtus Mapunda

10. Makatibu wa mikoa zaidi ya 10 wa Chama wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

11. Makatibu wa mikoa 8 wa UVCCM wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

NB: Dr. Bashiru ameapa kuwawajibisha kila mmoja aliyeonekana hata katika page moja ya karatasi.

Ripoti mali za CCM; Mwakyembe, Bulembo, Shaka (UVCCM), Sixtus Mapunda, Makatibu 11 wa Mikoa hawachomoki

=====

UPDATE:

Juni 05, 2018

View attachment 794406


Inashangaza hawa ndio tunawapa uongozi. Wezi, wala rushwa, wahuni. Maji, umeme, viwewashinda.


Wanachojua ni kuiba, wengine kufiran,a , ushoga. tumewapa nchi.
 
1. Bulembo: Kauza shule 6 za Jumuiya ya wazazi

2. Waziri Mkuu Majaliwa: Aliuziwa moja ya shule ya wazazi na Bulembo kwa bei ya kutupwa. Kisha alipoenda kuhojiwa na kamati ya Dr. Bashiru wasaidizi wake waliwakufukuza kama mbwa

3. Lowassa: Alikwapua share za CCM katika miliki ya jumla ya Channel Ten

4. January Makamba: Alishiriki kuuza share za Halotel zilizokuwa zinamilikiwa na CCM

5. Nape Nauye: Baada ya uchaguzi Mkuu alichukua magari 3 VX mapya ya CCM

6. Shaka H Shaka: Alifoji hati ya maeneo ya UVCCM kwa kushirikiana na mwekezaji kisha kuchukua mkopo bank zaidi ya dola laki 200,000

7. Mbunge Sixtus Mapunda: Wizi wa mamilioni katika mashamba ya Igumbiro, pamoja na kufoji muhtasari ya baraza la wadhamini. Hii ni pamoja na kufoji saini za wajumbe wa baraza hilo na aliyekuwa Mwenyekiti Dr. Nchimbi

8. Jumuiya ilioongoza kwa ubadhirifu ni ya Wazazi ikifuatiwa na jumuiya ya Vijana (UVCCM)

9. Baadhi ya wahusika kupandishwa kizimbani kuanzia wiki ijayo June, 2018 akiwemo Shaka na Sixtus Mapunda

10. Makatibu wa mikoa zaidi ya 10 wa Chama wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

11. Makatibu wa mikoa 8 wa UVCCM wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu

NB: Dr. Bashiru ameapa kuwawajibisha kila mmoja aliyeonekana hata katika page moja ya karatasi.

Ripoti mali za CCM; Mwakyembe, Bulembo, Shaka (UVCCM), Sixtus Mapunda, Makatibu 11 wa Mikoa hawachomoki

=====

UPDATE:

Juni 05, 2018

View attachment 794406
majizi matupu
 
Back
Top Bottom