Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Vijana
Walimu
Wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira
Single maza
Walimu
Wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira
Single maza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haileti shida sana maana wanaotudharau nao ni binadamu tu mwisho wa siku hatudumu daima🙏Vijana
Walimu
Wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira
Single maza
Dah umeisema kinyonge ila ndio ukweli hakuna anaeoshi milele ila kuna makundi wamezidi hasa waalimu na vijana kuna shida sehemuHaileti shida sana maana wanaotudharau nao ni binadamu tu mwisho wa siku hatudumu daima🙏
Hapo hamna tit for tat.Kuna tit for further north!Haina shida; wacha tu watudharau lakini wakae wakijua ipo siku nao watadharauliwa.....tit for tat!
Doh usiwajali bhanaHaileti shida sana maana wanaotudharau nao ni binadamu tu mwisho wa siku hatudumu daima🙏
Mbona kinyonge sanaHaileti shida sana maana wanaotudharau nao ni binadamu tu mwisho wa siku hatudumu daima[emoji120]
Vijana hawajazarauliwa ,ni ccm wanatuchezea game tu ili tujione wodogo, ili wazidi kutawala wao na watoto wao.
single mama?Haileti shida sana maana wanaotudharau nao ni binadamu tu mwisho wa siku hatudumu daima🙏
We uko kundi gani mkuu? Wala usiumie, kuna mmoja kaangukia kwenye makundi tote manne; ni kijana, ni mwalimu, muhitimu asiye na ajira na single mother,Haileti shida sana maana wanaotudharau nao ni binadamu tu mwisho wa siku hatudumu daima🙏
Walimu wametia foraVijana
Walimu
Wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira
Single maza
Ndiyo maisha...na hatuwez fanana mkuuWe uko kundi gani mkuu? Wala usiumie, kuna mmoja kaangukia kwenye makundi tote manne; ni kijana, ni mwalimu, muhitimu asiye na ajira na single mother,
Yeah afu mwalimu😂😂😂single mama?
Kukumbushana tu😂Mbona kinyonge sana
Hata,nawakumbusha tuDoh usiwajali bhana
Kila pahala hapakosi mapungufu...na ukiona kwako kumetulia ya nini usumbuke na kusiko kuhusu mkuu?Dah umeisema kinyonge ila ndio ukweli hakuna anaeoshi milele ila kuna makundi wamezidi hasa waalimu na vijana kuna shida sehemu