Haya hapa makundi ya watanzania waliozarauliwa mitandaoni 2023

Haya hapa makundi ya watanzania waliozarauliwa mitandaoni 2023

Acha wadharauliwe
Vijana wengi hawajitambui na waliopewa nafasi wanazichezea unadhani nini kinafuata.

Waalimu nao wale wale imagine mtu anampiga mtoto kama mbwa alafu kuna mjinga mwenzake anarekodi video na hakemei wala nn nao lazima waonekane wajinga.

Wahitimubwa vyuo vikuu kundi kubwa ni vijana na basi wamehitimu lakini ukimwambia hebu jielezee ww kama ww hawezi je ndio ataweza kutetea elimu yake nao ni wapimbavu ndio maana wanasubiri ajira wanapigwa bao na waliowaacha mtaani.

Singo maza, hili kundi wengi wao wameingia kwa kufuata mkumbo na mambo ya haki sawa wasizoweza kujitimizia Wengi wamekua singo kwasababu ya ufinyu wa akili zao nao ni wajinga tu kama wajinga wengine
 
Haileti shida sana maana wanaotudharau nao ni binadamu tu mwisho wa siku hatudumu daima🙏
Dah umeisema kinyonge ila ndio ukweli hakuna anaeoshi milele ila kuna makundi wamezidi hasa waalimu na vijana kuna shida sehemu
 
Vijana hawajazarauliwa ,ni ccm wanatuchezea game tu ili tujione wodogo, ili wazidi kutawala wao na watoto wao.
1697456999563.jpg
😀 Vijana tumekosea wapi tuwaombe msamaha?
 
Back
Top Bottom