To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Watajiju,mbona wanauana wao wenyewe na tamaa zaoVijana hawajazarauliwa ,ni ccm wanatuchezea game tu ili tujione wodogo, ili wazidi kutawala wao na watoto wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watajiju,mbona wanauana wao wenyewe na tamaa zaoVijana hawajazarauliwa ,ni ccm wanatuchezea game tu ili tujione wodogo, ili wazidi kutawala wao na watoto wao.
DuhView attachment 2818434[emoji3] Vijana tumekosea wapi tuwaombe msamaha?
Kati ya jambo ambalo Mwanadamu anapaswa kutokulifanya ni kumdharau Mwanadamu mwenzake wakati bado yupo hai hilo ni kosa kubwa sana. Mungu siku zote huvitumia vitu vinyonge ili kuiviaibisha vile vyenye nguvu.Vijana
Walimu
Wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira
Single maza
Mnakosea kitu kimoja kupenda kurekodi matukio na kupost, baada ya kukemea tukio, tabia za kinafik na kuchongeana, baada ya kusolve na hiishe, mnageuka waandishi wa habari huru.Binafsi ni mwl na huwa naziona hizo kashfa zikitolewa ila huwa hazinipi shida sana maana huwa zinatolewa na sadists ambao kwa namna flani wanachangamoto wanapitia ambazo sehem pekee ya kutolea hasira ni mtandaoni
[emoji23][emoji23][emoji23]Walimu wametia fora
Aliyewadharau vijana ni Chadema kuwasema wanafanya kazi ya laana (bdbd).Vijana hawajazarauliwa ,ni ccm wanatuchezea game tu ili tujione wodogo, ili wazidi kutawala wao na watoto wao.
Chedema nao ni ccm b tuAliyewadharau vijana ni Chadema kuwasema wanafanya kazi ya laana (bdbd).