Haya! huu hapa mchezo alioucheza Uhuru kwa Wachina, PPP kibao kwa mliokua mnasubiri

Are you serious!!? All the way from kenya to china for only 30km!? Ni umbali kutoka Dar kwenda kibaha. Hili ni tusi kubwa sana. Nchi yenye uchumi wa kati inashindwa only 30km!?
 
Mod One JF system needs some checking, kept on returning failure message when positing, only to realize it was actually posting and I ended up with multiple duplicated threads.
I had same problem yesterday night.
 
Hahahaa na hapo sisi kaenda waziri mkuu tu

Nani mwengine angeenda, kidogo huyo PM wenu huwa afueni kwenye kujieleza maana dah, at least mumefaulu kupata dili ya kuvua samaki.
 
Nani mwengine angeenda, kidogo huyo PM wenu huwa afueni kwenye kujieleza maana dah, at least mumefaulu kupata dili ya kuvua samaki.
JPM big boss anafatwa hapahapa sio wakudanga kama huyo raisi wenu kila siku kiguu na njia
 
Hehehe uvuvi....watu wanatia saini makubwa nyie mnahangaika na uvuvi.....oyaaaa
umejibiwa hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23]
kwanza hatuwezi kufanana kwenye priorities.
 
Sie bado tunafuatilia trilioni 600 za makinikia, tukilipwa tutafungua viwanda vya kutengeneza helikopta na dreamliner
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] hatoweza kureact sababu ni msumari wa moto

Uhuru amekuwa ni Rais wa kudanga kwenye vijicent vya kipumbavu mpaka anakua hana tofauti na sonko
uhuru anadanga kama makahaba wa nairobi. [emoji23]
 
Are you serious!!? All the way from kenya to china for only 30km!? Ni umbali kutoka Dar kwenda kibaha. Hili ni tusi kubwa sana. Nchi yenye uchumi wa kati inashindwa only 30km!?
mi mwenyewe nimejikuta nacheka...[emoji23] [emoji23]
 

Ha aaaaaaaah,si vyema kumpinga mtu anayeongea ukweli wa mambo.

Ameongea ukweli wa kile uhuru ameenda kufanya huko.kuomba msaada wa ujenzi wa barabara 30km🀭🀭[emoji848][emoji36],hawa watu tuko tunabishana masaa 24 humu kweli.yafaa tuwaonee huruma.
 
Na nyinyi mtawapa nini mkuu? Maana ukitaka kula vya watu lazima na wewe uliwe.
 
Are you serious!!? All the way from kenya to china for only 30km!? Ni umbali kutoka Dar kwenda kibaha. Hili ni tusi kubwa sana. Nchi yenye uchumi wa kati inashindwa only 30km!?
Express way!!!
Tanzania mzima kuna kitu ka hiyo?
 
sas mlitaka majaliwa asaini nini? zaidi ya uvuvi na simu fake za huawei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…