Haya! huu hapa mchezo alioucheza Uhuru kwa Wachina, PPP kibao kwa mliokua mnasubiri

Haya! huu hapa mchezo alioucheza Uhuru kwa Wachina, PPP kibao kwa mliokua mnasubiri

Wamepata dili ya kuvua samaki, bora imefuta aibu ya kutoka kapa.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
kilimo na uvuvi
na hii ni moja ya mafanikio ya kilimo tanzania.najua kwa sasa mmesahau ila acha niwakumbushe ili muwe mnaitumia kama reference ile miezi ambayo sembe huwa inaadimika hapo kenya.
[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_2018-09-05-14-51-55-395_com.android.chrome.jpg
 
Hivi wewe Nairobi umewahi kuifika au unaiskiaga kaka, unafikiria kuchimba expressway 30km ndani ya huo mji kutokea JKIA mpaka kati ni kama unayechimba mikoani. Kwanza hapo itabidi barabara ya juu, gharama ambayo ni 500KM za TZ
Inabidi kitu kama hiki hapa chini, sio dili kama lenu hilo la kusubiri Mchina awasaidie kuvua dagaa

Uhuru-Highway-double-decker.jpg
mbona unatumia nguvu kubwa sana kutu convince?....[emoji23] [emoji23]
 
na hii ni moja ya mafanikio ya kilimo tanzania.najua kwa sasa mmesahau ila acha niwakumbushe ili muwe mnaitumia kama reference ile miezi ambayo sembe huwa inaadimika hapo kenya.
[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 857849
hakuna chochote cha maana hapo...uvuvi na kilimo duh!!
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ndio maana rais hakushugulika kuoanda ndege aisee
 
Ni kawaida yenu,hata SGR mlianza.tukajifuna ktk makosa yenu.
sawa kaka...ila mi nakwambia uvuvi hata somalia wameshapiga mara mingi
tumepiga na seychelles, somali, japan, china , UK, india na kadhalika...narudia hakuna chochote cha maana hapo
 
Wabongo tuache kelele za kujifariji baada ya kutoka empty hiyo ishu ya bagamoyo toka enzi ya Jk hakuna kinachofanyika si bora wakenya wana cha kuonyesha

Kujifariji kivipi ukimaanisha!!!kwani kukopa ni sifa ya kujipiga kifua mzee!!!!.

Kama unaona tumekuja kukufariji humu sawa.
 
Kujifariji kivipi ukimaanisha!!!kwani kukopa ni sifa ya kujipiga kifua mzee!!!!.

Kama unaona tumekuja kukufariji humu sawa.
Tzn sio kwamba hawataki kukopa ni vile haikopesheki mara kadhaa Mpango anazurura huko kwa wazungu lakini wapi,bila kukopa hakuna miundombinu yeyote ya maana itajengwa kujifariji kutatuumbua tu
 
Tzn sio kwamba hawataki kukopa ni vile haikopesheki mara kadhaa Mpango anazurura huko kwa wazungu lakini wapi,bila kukopa hakuna miundombinu yeyote ya maana itajengwa kujifariji kutatuumbua tu

Nani alikwambia kuna nchi isiyokopesheka duniani!!!!
 
Enough to build a 500km road in your LDC.

Ahaaa haaa haaa
You are known for inflating and over stating the project costs.

Teh teh teh tihiii
You are happy coz you know that the money will start to come in your pockets.
 
Back
Top Bottom