kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
mnatumia nguvu sana... kicheko.Kilomita 30 kati kati mwa jiji.
Hii inakuja na multiple interchanges kama hio yenu ya Ubungo ambayo mmesifia hadi mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnatumia nguvu sana... kicheko.Kilomita 30 kati kati mwa jiji.
Hii inakuja na multiple interchanges kama hio yenu ya Ubungo ambayo mmesifia hadi mwisho.
Mafunzo ya reli!!! [emoji2] Yani ule mkataba wa SGR mlio nyooshwa hamkua ainisha mambo ya msingi kama haya! Mpaka muende China kulia lia, Ndiyo maana so far no Kenyan knows how to ride hizo gari moshi. Sasa hivi kuna vijana kutoka Tz wapo China, Ethiopia, Turkey, Morroco na Korea wana jifunza kuhusu SGR.Jamaa wabishi sana hawa. Hiyo ni hapa Nairobi tu. Highway mbili kule kaskazini mashariki. Ushirikiano kwenye mafunzo ya masuala ya usafiri wa reli kati ya chuo kikuu cha Nairobi na serikali ya China. Special economic zone ya viwanda Dongo Kundu MSA. U.K hakuenda kuuza sura bana.
China Had insisted to Give Tz a loan similar to KE SGR, JPM fought them off and almost suspended the whole project..Thats when they coiled their tails between their legs and offered a $10bn PPP.Bagamoyo nimeisikia tangu 2015 but hadi sasa ni sakata tu...usilete hekaya hapa
Tanzania we are building the same project with six lanes and flyover on top 🔝, KIMARA to KIBAHA, sum of 2050 houses 🏘 have been demolished to paving for the project tena ni kwa pesa zetu wenyewe no loans but we're quite like nothing happeningYou think this is a road in the middle of nowhere.
That 30km stretch will cost more than any road you've ever built in the whole of bongolala.
It is right in the middle of the capital city, with a likelihood of many buildings or skyscrapers being demolished.
Nini kipya hapo ndugu yangu vijana wa Kenya walienda kujifunza hayo yote kabla hata ya SGR kuanza kujengwa.Mafunzo ya reli!!! [emoji2] Yani ule mkataba wa SGR mlio nyooshwa hamkua ainisha mambo ya msingi kama haya! Mpaka muende China kulia lia, Ndiyo maana so far no Kenyan knows how to ride hizo gari moshi. Sasa hivi kuna vijana kutoka Tz wapo China, Ethiopia, Turkey, Morroco na Korea wana jifunza kuhusu SGR.
Magu achieves so much more akiwa ofisini kwake than Uhuru and his team of con artist ambao wako kwenye world tour.View attachment 857545View attachment 857546
Wacheni mchezo, ati mnasaini deal ya uvuvi, wakati Kenya tunasaini deal ya reli na mabarabara. Mtawacha kulala lini?
👏👏👏👏🙌 anafikiri ni fishing business kama ile inayoendelea kule kijijini kwao siaya, hajui kama Tanzania tayari imenunua Meli kubwa 🛳 tano kubwa za uvuvi wa bahari kuu, these Chinese are coming to build massive factory 🏭 ambayo itakuwa inaprocess minofu ya Samaki na kuuza domestic and international markets
Baada ya kujifunza wamerudi wamepewa mifagio wasafishe vyoo, waki waachia wachina kazi. Jipya ni hilo la Uhuru kwenda China ku sign deal la kusaidiwa ushirikiano wa mafunzo ya SGR na Uni ya Nairobi wakati Magu ana sign ofisini kwake tena ni last year.Nini kipya hapo ndugu yangu vijana wa Kenya walienda kujifunza hayo yote kabla hata ya SGR kuanza kujengwa.
Tanzania we are building the same project with six lanes and flyover on top 🔝, KIMARA to KIBAHA, sum of 2050 houses 🏘 have been demolished to paving for the project tena ni kwa pesa zetu wenyewe no loans but we're quite like nothing happening
Kenya imports Fish From China. Hawa majuha hawawezi elewa
porojo...No loans my foot.
At any one time Kenya is building 5 times the km of roads you are.
This 30km stretch will have like 3 of your 'Ubungo' interchanges.
usiwavue nguo comrade....wafichie aibu. [emoji23]Kenya imports Fish From China. Hawa majuha hawawezi elewa
Fish from China here to stay as Kenya's catch dwindles
Stop talking to me about tarmac roads please, are you mad 😡?No loans my foot.
At any one time Kenya is building 5 times the km of roads you are.
This 30km stretch will have like 3 of your 'Ubungo' interchanges.
Wacheni mchezo, ati mnasaini deal ya uvuvi, wakati Kenya tunasaini deal ya reli na mabarabara. Mtawacha kulala lini?
Uwe unasoma taarifa kwanza. Ushirikiano ni kati ya Jiangtong University, University of Nairobi na Kenya Railways ku'train' engineers sio kujenga chuo kikuu kipya.Baada ya kujifunza wamerudi wamepewa mifagio wasafishe vyoo, waki waachia wachina kazi. Jipya ni hilo la Uhuru kwenda China ku sign deal la kusaidiwa ushirikiano wa mafunzo ya SGR na Uni ya Nairobi wakati Magu ana sign ofisini kwake tena ni last year.
Very petty!! Inshort Uhuru anawa cost na safari zake nyinyi endeleeni kukenua huku mna madeni yana wasubiri.Uwe unasoma taarifa kwanza. Ushirikiano ni kati ya Jiangtong University, University of Nairobi na Kenya Railways ku'train' engineers sio kujenga chuo kikuu kipya.
China Had insisted to Give Tz a loan similar to KE SGR, JPM fought them off and almost suspended the whole project..Thats when they coiled their tails between their legs and offered a $10bn PPP.
Very petty eeh? Marais wa S.A, Zim na nchi zingine nyingi walikuwa China. Nyinyi ambao hamna madeni ndio mlimtuma sijui nani akaje na dili la uvuvi? Endelea kuponda.Very petty!! Inshort Uhuru anawa cost na safari zake nyinyi endeleeni kukenua huku mna madeni yana wasubiri.
Uhuru amezidi.. tofauti na hao wengine. Ngoja akirudi Nai haito pita week utasikia anaenda Malaysia akionganisha na Jamaica. Hilo deal la uvuvi ni kubwa sana na mpango wake ni wamuda sana. Magu alisha liongelea hili mara kibao, huu mwaka hauto isha utaona matunda yake.Very petty eeh? Marais wa S.A, Zim na nchi zingine nyingi walikuwa China. Nyinyi ambao hamna madeni ndio mlimtuma sijui nani akaje na dili la uvuvi? Endelea kuponda.