Haya! huu hapa mchezo alioucheza Uhuru kwa Wachina, PPP kibao kwa mliokua mnasubiri

Nimecheka eti "that road stretch will cost more than any road you have ever built in the whole of bongolala" How much will it cost?
 
Hivi vibaraka vifuta m.a.v.i ya watu weupe kwa kukurupuka wanasikitsha walahi!
 
Probably bongo kutokana na kwamba ipo kwenye HIPC coz kama inakopesheka mbona Magu alikuwa anaombeleza tumikopo kwa kila mgeni na sijui kama reli itafika Dom mwakani au vipande vilivyosalia vitapata pesa

Imekuwa probably tena!!!!

Wewe hujui unachokiongea,kinachotafutwa sio mkopo ilimradi mkopo,bali ule wenye masharti nafuu.angalia majirani kilichotokea kwenye sgr yao,baada ya ujenzi wachina wanaendesha wao sgr.

So haya mambo sio unajiendea tu,watu wanaweka pesa zaowakitegemea zirudi,masharti yakiwa magumu sana na ukakubali tu,utauza nchi.
 
We buy..but we donate to LDCs

njaa huwa haina siri, tutajua tu hata kama utajaribu kujificha... chezeya njaa wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Ok makinikia imeishia wapi
 
Ina maana sisi hatujapata hata kijiko?
 
Mkuu hapa walioinama mkulu wa nchi yenu ni yupi akiucheza mchezo na wachina?
 
Acha porojo. Hata safari ya kwanza kabisa treni liliendeshwa na mkenya, tena vijana wa kike very young.
Sio porojo, ni ukweli zinaendeshwa na wachina, zipo clips kibao za sgr yenyu youtube.
 
Sio porojo, ni ukweli zinaendeshwa na wachina, zipo clips kibao za sgr yenyu youtube.
Mkenya alipewa auzie sura tu badae wachina wakashikilia chombo chao hawa jamaa wanatia huruma saana yani ka sgr kao wanatengwa kama vile mayatima kwenye nchi yao wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…