Haya huyo wenu wa CIA mnayemuami kwamba ni mkweli, aletwe sakata la Tundu Lisu!

Haya huyo wenu wa CIA mnayemuami kwamba ni mkweli, aletwe sakata la Tundu Lisu!

Chadema na wengineo wanataka CIA waletwe nchini kuchunguza waliomshambulia Tundu Lisu, wanasema Muzungu hadaganyi na kuita eti uchunguzi huru na hawana imani na watu wetu wa Tanzania, sasa huyo ni aliyekuwa Top Boss wa CIA Mike Pompeo akitupa mbili tatu zake kuhusu wanavyofanya kazi kama CIA, ...

I was the CIA director, we lied, we cheated, we stole, ... Mike Pompeo.





International politics kama hujui vizuri usije ongelea. RT unaijua vizuri?
 
Mkuu Barbarosa, utaambulia kutukanwa tuu ! Wanapenda kusikia wayatakayo wao tuu !
Kuanza na mkuu sio formula, unapojibu hoja ya mtu ni heshima itokanayo na hoja alizowasilisha. Kwa pumba alizoandika huna haja ya kumwita Mkuu unaweza kumwita jinga!
 
system mzima inaendeshwa hivyo....

wasipokutaka watakusingizia ama kukutengenezea scandal

Madam unakosea wapi!? Hayo ni matamshi yake binafsi si taarifa rasmi ya taasisi. Huwezi ondoa imani mfanobkwa jeshi letu la polisi kwa tukio la askali mmoja ama wachache kufanya makosa. Muhimu kujua wapo wanadamu ndani ya taasisi na wana madhaifu yao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tafsiri yako ya kilokole...[emoji16][emoji16]

Kina Patrice Lumumba walikuwa watakatifu ila CIA iliwatoa roho...

Wanaiba madini Africa viongozi wa kiafrika wakiwakosoa CIA wanakutengenezea upinzani na kashfa...

Worldwide assassinations za wanyonge na wapenda haki.. Zinaendeshwa na hao..

Hiyo sio taasisi ya kikanisa ila maslahi ya nchi yao...

They can do anything kwa faida ya nchi yao ikiwamo wizi uwongo na dhulma..

Elewa acha kuamini..

Hapo ni sawa na IGP wa Tanzania aseme, sisi askari tunadanganya, tunaongopea na tunaiba. Lakini hamaanishi kuwa yeye ndio ametenda au anatenda hayo, bali anamaanisha hata ukienda magerezani utakuta askari waliohukumiwa adhabu mbalimbali kwamakosa kama hayo au zaidi ya hayo.
Hii haimaniishi ukisikia mtu ni mwana usalama ukafikiri ni mtakatifu sana. Nope!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata dhulma kwa mataifa mengine..
hata kuwaua viongozu wazalendo wa nchi zao
kupandikiza propaganda ma upinzani kwa wasiowataka
Regardless.

They lied what? They cheated what? They stole what? Specifically?

If it was something of substantial concern and security of the USA , then what he proclaimed makes great deal of sense.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom