Haya kwa wale wanaume ambao mnataka kujua kama watoto mlionao ni wenu au mmebambikiwa kuleni chuma hiki cha DNA ya bure na ya asili

Haya kwa wale wanaume ambao mnataka kujua kama watoto mlionao ni wenu au mmebambikiwa kuleni chuma hiki cha DNA ya bure na ya asili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Leo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.

Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.

Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.

Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
 
Ni mwanaume mjinga tu ndiye anayeweza kuchukua na kufanyia kazi huu ushauri wako wa kizwazwa.
Naona tayari umeshamtuma Mwanao mdogo aende Kukojoa na wala Hajageuka hivyo una Hasira na unataka kuzimalizia Kwangu. Pole sana Mkuu na Vumilia kwani Kuchapiwa ni jambo la Kawaida sana hasa kwa Wanaume Mabwegemabwege kama Wewe na Wenzako wengine watakaokuja Kupinga hiki kilichosemwa.
 
Leo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.

Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.

Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.

Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
LBL
 
Leo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.

Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.

Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.

Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
Taratibu Genta, utasababisha mauaji ya wanandoa (homicide)
 
Leo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.

Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.

Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.

Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
Shida yote ya nini kwani ukimlea kama umelea mtoto yatima au adopted child utapungukiwa nini..kama piddy na utajiri wake wote analea mtoto sio wake itakua wewe
 
Ukwl ni kwamba ukitaka kujuwa mtoto ni wako au sio wako unapaswa kufanya hivi.
-subiri mtoto akiwa anacheza halafu jaribu kumfokea au kumkataza Kwa kile anachokifanya.

Kama mtoto ni wako ,yule mtoto ataacha anachofanya au atalia na kunyamaza .

Lakini kama sio wako utashangaa anakupiga na chochote alichoshika mkononi kama ni fagio au kiatu anakupiga usoni au popote,
Juwa hyo sio wako mkuu..
Hyo ni 💯
 
Back
Top Bottom