GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Leo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.
Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.
Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.
Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.
Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.
Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!