Haya kwa wale wanaume ambao mnataka kujua kama watoto mlionao ni wenu au mmebambikiwa kuleni chuma hiki cha DNA ya bure na ya asili

Haya kwa wale wanaume ambao mnataka kujua kama watoto mlionao ni wenu au mmebambikiwa kuleni chuma hiki cha DNA ya bure na ya asili

Kuna vijana hawajapevuka..mnataka Dada zetu waachike asubuhi na mfungo huu double double
 
Watu wanaliaaa tu sahv humu kimya kimya

Ova
Nimeliona hilo Mkuu hasa huyu Kasiano Muyenzi ambaye kaja (kule Mafichoni) na kusema kuwa ana Watoto Saba na wote kafanya hilo Zoezi ni Mmoja tu ndiyo Kageuka nyuma wengine wote Saba ni Mabao ya Wanaume wengine kayalea na anayalea na kuchukia kwanini nimeleta hii DNA ya Kiutamaduni iliyomuumbua?
 
Nimeliona hilo Mkuu hasa huyu Kasiano Muyenzi ambaye kaja (kule Mafichoni) na kusema kuwa ana Watoto Saba na wote kafanya hilo Zoezi ni Mmoja tu ndiyo Kageuka nyuma wengine wote Saba ni Mabao ya Wanaume wengine kayalea na anayalea na kuchukia kwanini nimeleta hii DNA ya Kiutamaduni iliyomuumbua?
Alfu Lela Ulela zimenoga hapa mamaeeh...

Usikimbie kule tunapopeana makuvu, endelea ku QUOTE comments zangu nikupe makavu we popoma.
 
Nimeliona hilo Mkuu hasa huyu Kasiano Muyenzi ambaye kaja (kule Mafichoni) na kusema kuwa ana Watoto Saba na wote kafanya hilo Zoezi ni Mmoja tu ndiyo Kageuka nyuma wengine wote Saba ni Mabao ya Wanaume wengine kayalea na anayalea na kuchukia kwanini nimeleta hii DNA ya Kiutamaduni iliyomuumbua?
Aiseee

Ova
 
Leo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.

Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.

Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.

Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
Si bora ungeniuliza mimi ...jinsi ya kujua mtoto asiye wako ? Njia sahihi na nafuu na nyepesi inayoweza kukupa majibu ya uhakika kama mtoto siyo wako kwa asilimia 100% hila hii njia aiwezi kukupa majibu ya uhakika kama mtoto ni wako ...someni nilicho andika kwa makini kabla amjakurupuka ...ni kuangalia group ya damu kama mtoto wako group yake ya damu si sawa na yako huyo mtoto siyo wako kwa asilimia 100% ila kama group ni kama yako basi hapo tunabaki atujui kama mtoto ni wako au la ila tayari utakuwa umejiakikishia kwa asilimia kubwa kuwa anaweza kuwa wako...kuna kiji hesabu kidogo cha kuzingatia hapa maana mtoto uchukua group ya damu pande zote mbili za mzazi hivyo inapo kosekana group yako katika damu ya mtoto basi huyo mtoto siyo wako.
 
Alfu Lela Ulela zimenoga hapa mamaeeh...

Usikimbie kule tunapopeana makuvu, endelea ku QUOTE comments zangu nikupe makavu we popoma.
Umeshaona Mzanaki au Myahudi au Mtutsi anaogopa / hapendi Vita? Katika Vita vya maneno sina Mpinzani hapa JF Ok?
 
Si bora ungeniuliza mimi ...jinsi ya kujua mtoto asiye wako ? Njia sahihi na nafuu na nyepesi inayoweza kukupa majibu ya uhakika kama mtoto siyo wako kwa asilimia 100% hila hii njia aiwezi kukupa majibu ya uhakika kama mtoto ni wako ...someni nilicho andika kwa makini kabla amjakurupuka ...ni kuangalia group ya damu kama mtoto wako group yake ya damu si sawa na yako huyo mtoto siyo wako kwa asilimia 100% ila kama group ni kama yako basi hapo tunabaki atujui kama mtoto ni wako au la ila tayari utakuwa umejiakikishia kwa asilimia kubwa kuwa anaweza kuwa wako...kuna kiji hesabu kidogo cha kuzingatia hapa maana mtoto uchukua group ya damu pande zote mbili za mzazi hivyo inapo kosekana group yako katika damu ya mtoto basi huyo mtoto siyo wako.
Rubbish.
 
Umeshaona Mzanaki au Myahudi au Mtutsi anaogopa / hapendi Vita? Katika Vita vya maneno sina Mpinzani hapa JF Ok?
We mzaramo umekuwa mzanaki lini?

Kutwa kujivika sifa za wanaume wa sura za kazi ilhali unashinda kwenye kijiwe cha kahawa 😂😂
 
We mzaramo umekuwa mzanaki lini?

Kutwa kujivika sifa za wanaume wa sura za kazi ilhali unashinda kwenye kijiwe cha kahawa 😂😂
Hujui kuwa hata Basha wako nae huwa tunashinda nae katika Vijiwe vyetu vya Kahawa?
 
Aisee 😂
Uzuri ni kwamba posts zangu zote nilizondika mwenyewe zipo na zimeshaonekana hivyo kubadili Kwako hayo Maelezo yangu yaonekane kuwa nimeandika mwenyewe kwakuwa tu Wewe nje ya hii ID yako pia una ID yako kama Mmoja wa Watendaji wa huu Mtandao kutokana na kwamba ni Wao pekee ndiyo wana access ya posts zote za Members hapa na wanaweza Kubadili au Kuhakiki Kichwa cha Habari au Post. Endelea kisha nikuumbue na ID yako ya Kiutendaji wa huu Mtandao ili Uumbuke Pumbavu Wahed Wewe.

Nimemaliza.
 
Njia ya kwanza kabisa ya kujua mtoto ni wako ( wenu kwenye ukoo) ni kwa kuangalia alama ya mchoro wa kiganjani kama hajachukua yako au ya mama yake basi moja kwa moja huyo mtoto sio wako.

Ila kama kachukua alama ya mchoro wa kiganja mkono vya mama yake fanya hivi angalia haraka vidole vya miguuni, kucha na mikunjo yake , au mikunjo ya masikio na macho lazima atakua na vya kwako kama hana hata kimoja sio wako

Ipo hivi katika maeneo 15 ya baba na mama mtoto anachukua 15 mfanano wa baba na 15 mfanano wa mama. Ila asilimia 100% kwa haraka kama mchoro wa kiganja cha mkono unafanana wako na mtoto hakuna haja ya kuangaika kwa chochote huyo moja kwa moja ni wako (wa ukoo wenu)
Kwani viganja haviwezi kufanana?
 
Untitled.jpg

kwani wanawake wa iyo bendera wana maoni gani?
 
Back
Top Bottom