Haya kwa wale wanaume ambao mnataka kujua kama watoto mlionao ni wenu au mmebambikiwa kuleni chuma hiki cha DNA ya bure na ya asili

Haya kwa wale wanaume ambao mnataka kujua kama watoto mlionao ni wenu au mmebambikiwa kuleni chuma hiki cha DNA ya bure na ya asili

Mimi nachojua mtoto kama ni wako hakuna haja ya kupima DNA vipo vingi vya kuthibitisha kua ni wako kwa kuangalia mwili wake kuanzia unyayo hadi utosini( physical traits) kama hio haitoshi kuna ishu ya uzito pia inamata sana.
 
Leo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.

Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.

Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.

Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
"Oya, wewe kaka, unasema DNA ni ya bure na ya asili, lakini ukweli ni nini? Unadhani kitoto kile unachokipenda na kumudu chakula chake kila siku kinaweza kuwa sio chako kwa sababu tu ulikula 'chuma' cha asili? Hoja yako inaleta picha ya wanaume wengi wanaishi kwa hofu ya kubambikiwa, lakini swali langu ni hili: Je, unategemea tu DNA ya asili au unakagua maisha yako na uhakika wa mkeo kabla ya kuleta maigizo ya Hollywood hapa? Chuma cha DNA ni kizuri, lakini akili na uaminifu vina nguvu zaidi, si unadhani?"
 
x.jpg
 
Leo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.

Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.

Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.

Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
jumapili ijayo ntakuwa na hiyo kiliniki pale nyumbani bila ya wao kujua
 
Naona tayari umeshamtuma Mwanao mdogo aende Kukojoa na wala Hajageuka hivyo una Hasira na unataka kuzimalizia Kwangu. Pole sana Mkuu na Vumilia kwani Kuchapiwa ni jambo la Kawaida sana hasa kwa Wanaume Mabwegemabwege kama Wewe na Wenzako wengine watakaokuja Kupinga hiki kilichosemwa.
jamaa inaonekana kamtuma wa kwanza holah! wa pili holah! akaona asiendelee na huo ujinga
 
Wazee wanasema nyie mliobambikiwa watoto na wake zenu wachepukaji muwalee tu maana wamezaliwa ndani ya ndoa zenu hamna ujanja wa kuwakataa. Tena wanasema kitanda hakizai haramu
 
Kuna mama mmoja ndani ya basi alianzisha mada ya kuchepuka na kudai ni kuzuri kuleta mbegu nyingine genius kama mume dunya na anazaa madunya mke achepuke ili kuleta mbegu bora kwenye familia ya madunya
 
Kimsingi unatakiwa uwe mpole na utulie usilete fujo unapochapiwa utapata mtoto mwenye akili zaidi kuliko matoto yako yenye akili mbovu wewe uliyoyazaa. Kule kaskazini mbugni hufurahia kupata mbengu tofauti ndani ya boma na huona ni ushindi
 
Sasa kama we na mke wako mna sura mbaya akijitokeza jamaa handsome boy akakachomekea goli lake huko hamuoni kuwa mtapata pisi kali za kuja kupata mahari kubwa na nono?
 
Back
Top Bottom