Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Endelea kujinadi bwabwa.Mimi kuwa Shoga na Mpumbavu linajulikana kila mtaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kujinadi bwabwa.Mimi kuwa Shoga na Mpumbavu linajulikana kila mtaa.
"Oya, wewe kaka, unasema DNA ni ya bure na ya asili, lakini ukweli ni nini? Unadhani kitoto kile unachokipenda na kumudu chakula chake kila siku kinaweza kuwa sio chako kwa sababu tu ulikula 'chuma' cha asili? Hoja yako inaleta picha ya wanaume wengi wanaishi kwa hofu ya kubambikiwa, lakini swali langu ni hili: Je, unategemea tu DNA ya asili au unakagua maisha yako na uhakika wa mkeo kabla ya kuleta maigizo ya Hollywood hapa? Chuma cha DNA ni kizuri, lakini akili na uaminifu vina nguvu zaidi, si unadhani?"Leo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.
Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.
Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.
Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
Sawa Bwabwa Mwandamizi Wewe. Mbona sasa hivi hubadilishi Posts zangu ili zisomeke kama Nimejitukana mwenyewe kama ulivyokuwa ukifanya awali? Pumbavu Wahed.Endelea kujinadi bwabwa.
Tulia bwabwa 😂😂Sawa mimi ni Bwabwa Mwandamizi tena mtamu sana. Mbona sasa hivi huitongozi kupitia Posts zangu ili zisomeke kama Ninajinadi mwenyewe kama ulivyokuwa ukifanya awali? Pumbavu Wahed.
Sawa Bwabwa Mwandamizi jamvini kote!!!!Tulia bwabwa 😂😂
😬😬I'm a Bwabwa Mwandamizi jamvini kote!!!!
jumapili ijayo ntakuwa na hiyo kiliniki pale nyumbani bila ya wao kujuaLeo wala sitaki kupoteza muda ni kwamba kama Wewe ni Mwanaume (Baba) unataka kujua Mtoto uliyenae ni Wako au siyo Wako fanya hivi tafadhali kwani hii ni DNA ya Asili na ya bure ambayo imetumika sana huko nyuma na Wazee wetu na bado Kwingineko Afrika inatumika.
Haya kama Mtoto wako ana ule Umri mfano wa yule Mtoto mdogo wa Dotto Magari (kuanzia miaka miwili au minne na hata mitano) hakikisha Asubuhi ya mapema (hasa akitoka Kuamka) mwambie aende Kukojoa Haja Ndogo kisha Wewe simama ukimtizama na ukiona huyo Mtoto anaelekea / anaenda Kukojoa na akageuka Kukuangalia jua huyo kwa 100% ni wako na ukiona anaenda /anaelekea halafu wala hajishughulishi kuangalia nyuma / au kukuangalia jua kwa 100% huyo Mtoto siyo wako.
Ukitaka kujua ni wapi nimeutoa huu Ukweli tembelea huu Mtandao wa zandaaanikabisa ambapo Mtaalam amefafanua.
Sasa GENTAMYCINE ninaanza kujiandaa kwenda Kuwapanga hawa kadhaa nilionao nijue ni wangu au mrangi kanipigia!!
jamaa inaonekana kamtuma wa kwanza holah! wa pili holah! akaona asiendelee na huo ujingaNaona tayari umeshamtuma Mwanao mdogo aende Kukojoa na wala Hajageuka hivyo una Hasira na unataka kuzimalizia Kwangu. Pole sana Mkuu na Vumilia kwani Kuchapiwa ni jambo la Kawaida sana hasa kwa Wanaume Mabwegemabwege kama Wewe na Wenzako wengine watakaokuja Kupinga hiki kilichosemwa.
usibishe, huenda ulichapwa nje ukamletea mumeo chapa nyingineNi mwanaume mjinga tu ndiye anayeweza kuchukua na kufanyia kazi huu ushauri wako wa kizwazwa.
Kabisaa yaanNi mwanaume mjinga tu ndiye anayeweza kuchukua na kufanyia kazi huu ushauri wako wa kizwazwa.
Usije ukaua Mtu tu tafadhali Mkuu sawa?jumapili ijayo ntakuwa na hiyo kiliniki pale nyumbani bila ya wao kujua
Uko sahihi kabisa Mkuu.jamaa inaonekana kamtuma wa kwanza holah! wa pili holah! akaona asiendelee na huo ujinga