Mswahili msawahili na utakuwa mtu wa pwani. Wa bara haya hayako kwenye vichwa vyao. Ni msongamano wa watu, mabasi kidogo na watu mawazo hayaendi huko maana hapo mtu anachunga mifuko, kuangalia kituo atelemke....wewe unawaza hilo!. Wewe akili zako unazipeleka kwenye utamaduni wako, nisamehe kama umekwazika kwa jibu langu