Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Tuombe Mungu hii vita imalizike salama maana imeleta madhara makubwa sana kwa binadamu. Shida ni kwamba Mrusi siku zote hawezi kukubali kushindwa. Kumbuka kuwa anatawala ki dictator na watu wake kufa kwake siyo shida,
Wewe Lin ulitawalwa kidemokrasia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…