Aiba JF-Expert Member Joined Oct 4, 2018 Posts 2,047 Reaction score 3,912 Apr 23, 2023 #121 MERCYCITY said: Tuombe Mungu hii vita imalizike salama maana imeleta madhara makubwa sana kwa binadamu. Shida ni kwamba Mrusi siku zote hawezi kukubali kushindwa. Kumbuka kuwa anatawala ki dictator na watu wake kufa kwake siyo shida, Click to expand... Wewe Lin ulitawalwa kidemokrasia
MERCYCITY said: Tuombe Mungu hii vita imalizike salama maana imeleta madhara makubwa sana kwa binadamu. Shida ni kwamba Mrusi siku zote hawezi kukubali kushindwa. Kumbuka kuwa anatawala ki dictator na watu wake kufa kwake siyo shida, Click to expand... Wewe Lin ulitawalwa kidemokrasia
K Kingdom Finder JF-Expert Member Joined Jan 25, 2012 Posts 1,119 Reaction score 1,391 Apr 24, 2023 #122 Get Rich said: Uliona wapi vita active ikamalizika salama? Click to expand... Sawa mkuu kwa kunisahihisha. nilikuwa na maana isije ikasambaa ulimwenguni na kuwa vita vya tatu vya dunia.
Get Rich said: Uliona wapi vita active ikamalizika salama? Click to expand... Sawa mkuu kwa kunisahihisha. nilikuwa na maana isije ikasambaa ulimwenguni na kuwa vita vya tatu vya dunia.
much know JF-Expert Member Joined Oct 22, 2017 Posts 11,461 Reaction score 17,183 Apr 24, 2023 #123 Rock art said: Waarabu wanakubali Sera za BRICS Click to expand... Lini waarabu wakishakubali sera za brics? Sent using Jamii Forums mobile app
Rock art said: Waarabu wanakubali Sera za BRICS Click to expand... Lini waarabu wakishakubali sera za brics? Sent using Jamii Forums mobile app