Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Wamarekani wenyewe...the American elites wanasema hivyo Sasa wewe ni Nani ukatae Hilo?!?!
Marekan kuna uhuru wa kuongea sio kama Danganyikq yako hii na Urusi , hapa tz Ndugai ulimuona kww kuonesha haung mikono swala la mikopo bila mipango
 
Hivi wewe unaishi dunia ipi au una umri gani??-- nisiwe naongea na mtoto wa primary asiyejua history!!.

Huoni Sudani wanapigana??, Unamjua Kwame Nkrumah ilikuaje akapinduliwa??, Patrice Lumumba naye kilimtokea nini na kwa nini??, Mobutu aliingizwa madarakani na nani??, aliongoza Zaire ,(DRC) hadi anapinduliwa unajua historia ya utawala wake na kwanini alidumu muda wote huo??, vipi Jonas Savimbi Muasi wa Angola aliyejenga himaya huko Kabinda ndani ya Angola kwa miaka kadhaa huku akiwa na vifaa vya kisasa vya kivita kuliko serikali ya Angola, vifaa alivyopewa na Marekani kupitia Zaire kwa Mobutu. Ni maisha ya watu wangapi waliangamizwa na huyo Savimbi achilia mbali vilema nk.

America ndiye shetani mkubwa mwenye mikono iliyojaa damu na mwenye kiu ya damu za watu (The world most bloods thirstiest monster).
Wewe una utoto mwing halaf upo bize kutetea utoto wako , inamaana kila mgogoro ni USA ndo kachonganisha ? tumiaga hata akili ya chekechekea , kila mgogoro una sababu zake na sio kuihusisha marekan kila mgogoro , Urusi kaanza ivamia Ukraine tangu zama na zma hata kipindi wakiwa ndan ya USSR warusi wa moscow hawakuwa friendly na wakraine , the same maeneo meng ya USSR yalinyakuliwa kwa kuporwa kwa majiran mf east Poland na East Finland poa Japan hata uchina na N.Korea , sasa hapo ukisikia siku china vs Russia usichanganyikiwe hii migogori ipo tang zaman kama ilivyo china na india au china na hong kong au china na taiwan au china na japan
 
Tuombe Mungu hii vita imalizike salama maana imeleta madhara makubwa sana kwa binadamu. Shida ni kwamba Mrusi siku zote hawezi kukubali kushindwa. Kumbuka kuwa anatawala ki dictator na watu wake kufa kwake siyo shida,
Wanaoathirika sio uzao wa Putin bali wa wengine wasio na hatia
 
Propaganda ya kitoto Sana na kutoka kwa mtu ambaye ni ziro kichwani...Objectives za SMO hazijajikita katika kuteka Kiev peke yake...Objectives ni nyingi Kama to create multipolar world, to destroy the economy of the west, to cause social and political disharmony in the west, to destroy Ukraine army and Nazis in Ukraine, to discredit the west in the eyes of the world, etc.
Kichwani kuna shida.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Urusi ilibugi sana kwa kushindwa kutekeleza malengo ya kuiteka Kyev pale mwanzo, sasa kinachofata ni aibu tupu maana tayari wamekwama Bakhmut, wameshindwa kuteka hako kamji licha ya kupoteza wanajeshi kama senene humo, sasa Ukraine wapo kwenye maandalizi ya kuirejesha ardhi yao....

The Patriot system is considered to be extremely advanced
The Patriot system is considered to be extremely advanced© Axel Heimken/dpa/picture alliance

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles. Meanwhile, Ukraine says an overnight Russian drone attack hit the southern port city of Odesa. DW has the latest.
Ukraine has received its first Patriot defense system, delivered by Germany, Ukrainian Defense Minister Oleksiy Reznikov said on Wednesday.

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles and its considered one of the most advanced defense systems developed by the US.

"Today, our beautiful Ukrainian sky becomes more secure because Patriot air defence systems have arrived in Ukraine," Reznikov wrote on Twitter, adding that Germany, the US and the Netherlands "kept their word."

The US and Germany each agreed to provide Kyiv with one of the systems. The Netherlands has also pledged to provide missiles and parts.

German press agency dpa cited a German military source as saying that Ukrainian soldiers received training by Germany and the US in a NATO country where joint drills were held.

Russian President Vladimir Putin has vowed to find an "antidote" to the air defense system.

Here are some of the other notable developments concerning Russia's war in Ukraine on Wednesday, April 19:
Unapendaga sana kujitekenya na viblog vyako 😂😂😂😂
 
kabisa mkuu angalia hoja zao humu , ukiizungumzia Urusi yeye analeta story za USA bila kumtetea kwanza anaemshabikia , NI KITUKO KARNE YA 21 KUNA WATU WANASHABIKIA UDHALIM WA TAIFA KUBWA KAMA URUSI DHID YA NCHI CHANGA KAMA UKRAINE
Hata Torati IMEANDIKWA!
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 27:17
[17]Na alaaniwe aondoaye mpaka wa jirani yake. Na watu wote waseme, Amina.


Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Hilo unalolishabakia haliendi kuleta amani Bali ni uharibifu wa binadama na Mali zao na pia simetumwa Kila aina za silaha na kelele nyingi lakini hakijabadilika Kila kitu Cha msingi kuwaombea amani na si kushangilia watu wanapouana

Hakijabadilika kitu kivipi? Wewe jiulize huyo sipapawa wenu mpaka leo amekwama hapo Bakhmut, isingekua jitihada za hao vijana wazalendo angefumua Ukraine yote.
Ameliwa sana.
 
Dah....
Hivi Marekani umefika au unasikia kwenye media tu?!?!!?! Uhuru gani wanao Marekani?! ...Yuko wapi Snowden?! Soma kutabu Cha The Political Economy of the Mass media: The manufacturing consent of the Mass media...waandishi ni Prof. Noam Chomsky na Edward Herman...hapo ndioo utajua Kama Marekani Kuna Uhuru au la..
 
Kwa kauli hii bila Shaka unachoelewa ni siasa za uchaguzi za udiwani na wenyeviti wa vijiji na mitaa hapo TZ
 
Wewe una utoto mwing halaf upo bize kutetea utoto wako , inamaana kila mgogoro ni USA ndo kachonganisha ? tumiaga hata akili ya chekechekea , kila mgogoro una sababu zake na sio kuihusisha marekan kila mgogoro , Urusi kaanza ivamia Ukraine tangu zama na zma hata kipindi wakiwa ndan ya USSR warusi wa moscow hawakuwa friendly na wakraine , the same maeneo meng ya USSR yalinyakuliwa kwa kuporwa kwa majiran mf east Poland na East Finland poa Japan hata uchina na N.Korea , sasa hapo ukisikia siku china vs Russia usichanganyikiwe hii migogori ipo tang zaman kama ilivyo china na india au china na hong kong au china na taiwan au china na japan


Mimi ningekuona wa maana sana kama ungekanusha hicho nilichoandika kuhusu America kinyume chake unaleta historia ambayo haihusiani kabisa na kile nilichosndika, sasa ni nani mwenye akili za kitoto kati yangu na wewe??

Kwani mimi nimekuuliza juu ya hiyo migogoro uliyoisimulia au unataka tujue kwamba wewe ni mjuzi wa history??---- childish.
 
Tuombe Mungu hii vita imalizike salama maana imeleta madhara makubwa sana kwa binadamu. Shida ni kwamba Mrusi siku zote hawezi kukubali kushindwa. Kumbuka kuwa anatawala ki dictator na watu wake kufa kwake siyo shida,
Uliona wapi vita active ikamalizika salama?
 
Tuombe Mungu hii vita imalizike salama maana imeleta madhara makubwa sana kwa binadamu. Shida ni kwamba Mrusi siku zote hawezi kukubali kushindwa. Kumbuka kuwa anatawala ki dictator na watu wake kufa kwake siyo shida,
Uliona wapi vita active ikamalizika salama?
 
Back
Top Bottom