Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Vp gavoo ishalipa mishahara ya watumishi wa umma hapo kwenu

 
Napata taarifa kutoka sehemu zote...nafanya analysis ..siishii kwa Russia au West tu...nafuatilia habari za China, Asia, Latin America, Japan na kadhalika...umwamba wa West, USA unatoweka taratibu....Kama ilivyodondoka Roman Empire na empire nyingine zote zilizopita Marekani nayo inadondoka.ndiyo maana inapambana kufa na kupona lakini haiwezii kupona katika wimbi hili la Sasa...
Jibu swali acha siamba nyingi.
 
Propaganda ya kitoto Sana na kutoka kwa mtu ambaye ni ziro kichwani...Objectives za SMO hazijajikita katika kuteka Kiev peke yake...Objectives ni nyingi Kama to create multipolar world, to destroy the economy of the west, to cause social and political disharmony in the west, to destroy Ukraine army and Nazis in Ukraine, to discredit the west in the eyes of the world, etc.
Naona unakumbukia point zako za poor government support,forced labour na kadhalika.
 
Mkuu kwa akili ya kawaida unaamini kuwa Russia anaweza kuaribu uchumi wa Ulaya lakini uchumi wa Russia ikabaki salama?

Kwa vile unapata taarifa kutoka ulaya ila upati taarifa kutoka Russia unaweza dhani kuwa Ulaya inayumba ki uchumi kuliko Russia.
Unaangaika kumjibu mtu kama huyo ndugu? Yaani Russia ana ubavu wa kuharibu uchumi wa Ulaya? Kivipi kwanza?
 
Makombora ya himars yamekuwa intercepted na RU air defense kwa urahisi ndio maana saiz kelele za himars hazipo tena ,na nimeiona leo news kuwa zile leopards za mjeruman zina perform chini ya kiwango kilichotarajiwa (hazileti unafuu kama ilivyotegemewa ).

Ngoja tuone na haya labda yatawaletea hafuweni
Kwa hiyo unataka kutuambia vita vimeisha na Russia wameshinda.
 
kwa kidogo walichokua nacho wameweza kumlemaza supapawa tegemeo la waarabu wenu, sasa wanaendelea kupata vitu vya kweli...
Mrusi na warabu wapi na wapi,,, kubwa jinga waarabu itakuwa walikula kiboga wewe mana unavyowachukia utadhani labda hiyo Ukraine unayoishabikia inadundwa na waarabu
 
Kwani umeambiwa Ukraine vs Russia ni vita vya kidini??

Zelensky Shoga mwenzako anapigwa mbona huendi kumsaidia??, hopeless.
Mhaithia mvua imemnyeshea!
 
Urusi ilibugi sana kwa kushindwa kutekeleza malengo ya kuiteka Kyev pale mwanzo, sasa kinachofata ni aibu tupu maana tayari wamekwama Bakhmut, wameshindwa kuteka hako kamji licha ya kupoteza wanajeshi kama senene humo, sasa Ukraine wapo kwenye maandalizi ya kuirejesha ardhi yao....

The Patriot system is considered to be extremely advanced
The Patriot system is considered to be extremely advanced[emoji2398] Axel Heimken/dpa/picture alliance

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles. Meanwhile, Ukraine says an overnight Russian drone attack hit the southern port city of Odesa. DW has the latest.
Ukraine has received its first Patriot defense system, delivered by Germany, Ukrainian Defense Minister Oleksiy Reznikov said on Wednesday.

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles and its considered one of the most advanced defense systems developed by the US.

"Today, our beautiful Ukrainian sky becomes more secure because Patriot air defence systems have arrived in Ukraine," Reznikov wrote on Twitter, adding that Germany, the US and the Netherlands "kept their word."

The US and Germany each agreed to provide Kyiv with one of the systems. The Netherlands has also pledged to provide missiles and parts.

German press agency dpa cited a German military source as saying that Ukrainian soldiers received training by Germany and the US in a NATO country where joint drills were held.

Russian President Vladimir Putin has vowed to find an "antidote" to the air defense system.

Here are some of the other notable developments concerning Russia's war in Ukraine on Wednesday, April 19:
Bakiza akiba ya maneno
 
Jina lako Jacob hadhi yake haiendani na unachoandika.
Hilo unalolishabakia haliendi kuleta amani Bali ni uharibifu wa binadama na Mali zao na pia simetumwa Kila aina za silaha na kelele nyingi lakini hakijabadilika Kila kitu Cha msingi kuwaombea amani na si kushangilia watu wanapouana
 
Propaganda ya kitoto Sana na kutoka kwa mtu ambaye ni ziro kichwani...Objectives za SMO hazijajikita katika kuteka Kiev peke yake...Objectives ni nyingi Kama to create multipolar world, to destroy the economy of the west, to cause social and political disharmony in the west, to destroy Ukraine army and Nazis in Ukraine, to discredit the west in the eyes of the world, etc.
wanaoishabikia Urusi wengi wao ni hamnazo , eti unavamia Ukraine ili upate multipolar world dah afrika tuna vichwa vya ajab kabisa , kwamba West wangeiacha Ukraine , ingekuwaje ?
 
Ukiwa mtu free uwezi kukubaliana na alichofanya Russia dhidi ya Ukraine kisa tu Amerika aliwahi kuifanya sehemu.
Ukijadili au kuangalia suala la Ukraine na Russia siyo sahihii kwa Russia kukalia ardhi ya Ukraine kisa tu Ukraine inataka kuside na maadui wake.
kwa sasa dunia ina watu wa ajab sana
 
Hiyo sio misaada bali ni haki yetu, tunaiita misaada kwakuwa sisi ni Waungwana.

Jinsi walivyonyonya mali asili zetu zama za ukoloni, jinsi walivyotumikisha babu zetu, jinsi leo wanavyochota mali zetu, we huoni ??!, utajiti wao wote umetegemea mambo hayo.
achen uomba omba , 95% ya mataifa dunian yaliwai tawaliwa , nyiny mmetawaliwa haizid miaka 100 ila mnalia kuzid USA alitawaliwa zaid ya miaka 300 , WAAFRIKA KUNA NATI IMELEGEA SIO BURE , MPK KESHO MKIULIZWA KWANN HAMUENDELEI MNADAI NI UKOLONI NDO SABABU , HLF HAMUION MIJIBABA INAPITA NA 41B NA 10% YA KILA MRADI WA UMMA , HLF UNATEGEMEA MAENDELEO HAPO ?
 
Napata taarifa kutoka sehemu zote...nafanya analysis ..siishii kwa Russia au West tu...nafuatilia habari za China, Asia, Latin America, Japan na kadhalika...umwamba wa West, USA unatoweka taratibu....Kama ilivyodondoka Roman Empire na empire nyingine zote zilizopita Marekani nayo inadondoka.ndiyo maana inapambana kufa na kupona lakini haiwezii kupona katika wimbi hili la Sasa...
West wamezoea mikiki mikiki tangu zama na zama sio kama Urusi na Uchina , mifumo ya west inawafanya wawe imara muda wote tofauti na China , Iran, Saudi Arabia na Urusi , akifa kiongoz mkuu ndo mwisho wa mwelekeo mzuri wa nchi nzima , west mifumo ndo inaongoza nchi zao
 
Ukichunguza sana wanao ishabikia urusi ni walio ishia darasa la.4 au wale ashki majunun hata akiona kuku wawili wanapigana bila sababu anashabikia mmoja....
kabisa mkuu angalia hoja zao humu , ukiizungumzia Urusi yeye analeta story za USA bila kumtetea kwanza anaemshabikia , NI KITUKO KARNE YA 21 KUNA WATU WANASHABIKIA UDHALIM WA TAIFA KUBWA KAMA URUSI DHID YA NCHI CHANGA KAMA UKRAINE
 
ww ndie umekaa kishabiki! Ona ulicho andika!
Awachonganishe kwa Maana wana akili za kushikiwa na kuvukia barabarani...
Au waohawana ubavu wa kuchonganisa??
hao teamPutin wao wanahisi marekan ana dawa ya kuamua nan apigane ila hawaamin kuwa watu wanaeza pigana kwa sabab zao tu
 
kwa kidogo walichokua nacho wameweza kumlemaza supapawa tegemeo la waarabu wenu, sasa wanaendelea kupata vitu vya kweli...
Endeleeni kumpnza tu huyo shoga mwenzenu, kunakitu anakitafuta na atakipata soon.
 
Back
Top Bottom