Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Alikuwa kawachonganisha Iran na Saudia ili wapigane apate kuuza silaha zake, China kafanya juhudi kawapatanisha America kabaki na aibu kubwa na kahuzunika sana kukosa hilo soko kwa silaha zake, sasa hivi anaelekea Ukraine na kishaanza kuimarisha soko kupitia rafiki yake Shoga-Zelensky. Wala hajali ni watu kiasi gani watakufa kwa vita ambayo yawezekana asipatikane mshindi.

Ikumbukwe, na Zelensky anajua hilo fika, kwamba Russia hata piga magoti kwake na kwa NATO/US, never will it happen, kinachokuja kutokea, kwa uingizwaji wa silaha huko Ukraine kutoka Ulaya na Amerika na uingiaji wa wanajeshi mamluki kutoka Ulaya, huo ni mwanzo wa vita kuu ya lll ya dunia, Russia kisha peleka makombora ya Nuclear huko Belarus na anatarajia kumpa Kiduku makombora iwapo Korea kaskazini itapeleka silaha huko Ukraine, hapo ndipo utakapoona jinsi vita inavyotaka kusambaa.

Inatakiwa viongozi wenye busara (prominent leaders) kutoka Ulaya, Afrika, Marekani ya kusini, Asia waungane waunde majopo mawili yatakayokaa kuandaa mpango wa amani waombe kusimamisha mapigano halafu jopo moja liende Ukraine na jingine lienda Russia kupeleka mapendekezo ya amani, njia hii ndio iliyosalia kwani UN ni umoja wa kishenzi na umeshindwa kazi.

Vita vya dunia vitakuwa na athari mbaya sana kwetu sisi Wa africa ambao mahitaji yetu muhimu [mikopo, misaada, madawa, mafuta, malighafi nk] hutegemea huko nje.

Huyo MK254 kakaa kishabiki zaidi kuliko kuangalia tatizo hilo katika picha hii.
ww ndie umekaa kishabiki! Ona ulicho andika!
Awachonganishe kwa Maana wana akili za kushikiwa na kuvukia barabarani...
Au waohawana ubavu wa kuchonganisa??
 
Napata taarifa kutoka sehemu zote...nafanya analysis ..siishii kwa Russia au West tu...nafuatilia habari za China, Asia, Latin America, Japan na kadhalika...umwamba wa West, USA unatoweka taratibu....Kama ilivyodondoka Roman Empire na empire nyingine zote zilizopita Marekani nayo inadondoka.ndiyo maana inapambana kufa na kupona lakini haiwezii kupona katika wimbi hili la Sasa...
USA ikifa si dunia nzima itabaki hivyohivyo make hakuna nchi inayoonesha Dalili ya kuchukuq sehemu ya USA...Unless unachakata hizo data kwa macho ya kishabiki tofauti na hapo Hakuna dalili zinazoonesha kuwa USA inapambana kufa...ni ushabiki tu ndo inakusumbua.

Kama siyo ushabiki ni nguvu gani inataka kuiua USA.
 
USA ikifa si dunia nzima itabaki hivyohivyo make hakuna nchi inayoonesha Dalili ya kuchukuq sehemu ya USA...Unless unachakata hizo data kwa macho ya kishabiki tofauti na hapo Hakuna dalili zinazoonesha kuwa USA inapambana kufa...ni ushabiki tu ndo inakusumbua.

Kama siyo ushabiki ni nguvu gani inataka kuiua USA.
Wamarekani wenyewe...the American elites wanasema hivyo Sasa wewe ni Nani ukatae Hilo?!?!
 
Alianzisha nani
.
Screenshot_20230320-175502.jpg
 
Nashangaa kwa nini nyie hamjaenda huko mkajilipue ili mkapate wale mabikra 72 walio katika nchi ya kusadikika, unapiga kelele humu tu kila siku sasa wewe ni jihadist gani sasa. Bure kabisa.
Nashangaa kwa nini nyie hamjaenda huko mkajilipue ili mkapate wale mabikra 72 walio katika nchi ya kusadikika, unapiga kelele humu tu kila siku sasa wewe ni jihadist gani sasa. Bure kabisa.


Kwani umeambiwa Ukraine vs Russia ni vita vya kidini??

Zelensky Shoga mwenzako anapigwa mbona huendi kumsaidia??, hopeless.
 
Urusi ilibugi sana kwa kushindwa kutekeleza malengo ya kuiteka Kyev pale mwanzo, sasa kinachofata ni aibu tupu maana tayari wamekwama Bakhmut, wameshindwa kuteka hako kamji licha ya kupoteza wanajeshi kama senene humo, sasa Ukraine wapo kwenye maandalizi ya kuirejesha ardhi yao....

The Patriot system is considered to be extremely advanced
The Patriot system is considered to be extremely advanced© Axel Heimken/dpa/picture alliance

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles. Meanwhile, Ukraine says an overnight Russian drone attack hit the southern port city of Odesa. DW has the latest.
Ukraine has received its first Patriot defense system, delivered by Germany, Ukrainian Defense Minister Oleksiy Reznikov said on Wednesday.

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles and its considered one of the most advanced defense systems developed by the US.

"Today, our beautiful Ukrainian sky becomes more secure because Patriot air defence systems have arrived in Ukraine," Reznikov wrote on Twitter, adding that Germany, the US and the Netherlands "kept their word."

The US and Germany each agreed to provide Kyiv with one of the systems. The Netherlands has also pledged to provide missiles and parts.

German press agency dpa cited a German military source as saying that Ukrainian soldiers received training by Germany and the US in a NATO country where joint drills were held.

Russian President Vladimir Putin has vowed to find an "antidote" to the air defense system.

Here are some of the other notable developments concerning Russia's war in Ukraine on Wednesday, April 19:

Yericko Nyerere atakuwa anatamani akawaongezee nguvu warusi hata kwa manati.
 
ww ndie umekaa kishabiki! Ona ulicho andika!
Awachonganishe kwa Maana wana akili za kushikiwa na kuvukia barabarani...


Hivi wewe unaishi dunia ipi au una umri gani??-- nisiwe naongea na mtoto wa primary asiyejua history!!.

Huoni Sudani wanapigana??, Unamjua Kwame Nkrumah ilikuaje akapinduliwa??, Patrice Lumumba naye kilimtokea nini na kwa nini??, Mobutu aliingizwa madarakani na nani??, aliongoza Zaire ,(DRC) hadi anapinduliwa unajua historia ya utawala wake na kwanini alidumu muda wote huo??, vipi Jonas Savimbi Muasi wa Angola aliyejenga himaya huko Kabinda ndani ya Angola kwa miaka kadhaa huku akiwa na vifaa vya kisasa vya kivita kuliko serikali ya Angola, vifaa alivyopewa na Marekani kupitia Zaire kwa Mobutu. Ni maisha ya watu wangapi waliangamizwa na huyo Savimbi achilia mbali vilema nk.

America ndiye shetani mkubwa mwenye mikono iliyojaa damu na mwenye kiu ya damu za watu (The world most bloods thirstiest monster).
 
MDA wa kuharibu soko la hayo mapipa uchwara ya Patriot[emoji1]
Makombora ya himars yamekuwa intercepted na RU air defense kwa urahisi ndio maana saiz kelele za himars hazipo tena ,na nimeiona leo news kuwa zile leopards za mjeruman zina perform chini ya kiwango kilichotarajiwa (hazileti unafuu kama ilivyotegemewa ).

Ngoja tuone na haya labda yatawaletea hafuweni
 
Alikuwa kawachonganisha Iran na Saudia ili wapigane apate kuuza silaha zake, China kafanya juhudi kawapatanisha America kabaki na aibu kubwa na kahuzunika sana kukosa hilo soko kwa silaha zake, sasa hivi anaelekea Ukraine na kishaanza kuimarisha soko kupitia rafiki yake Shoga-Zelensky. Wala hajali ni watu kiasi gani watakufa kwa vita ambayo yawezekana asipatikane mshindi.

Ikumbukwe, na Zelensky anajua hilo fika, kwamba Russia hata piga magoti kwake na kwa NATO/US, never will it happen, kinachokuja kutokea, kwa uingizwaji wa silaha huko Ukraine kutoka Ulaya na Amerika na uingiaji wa wanajeshi mamluki kutoka Ulaya, huo ni mwanzo wa vita kuu ya lll ya dunia, Russia kisha peleka makombora ya Nuclear huko Belarus na anatarajia kumpa Kiduku makombora iwapo Korea kaskazini itapeleka silaha huko Ukraine, hapo ndipo utakapoona jinsi vita inavyotaka kusambaa.

Inatakiwa viongozi wenye busara (prominent leaders) kutoka Ulaya, Afrika, Marekani ya kusini, Asia waungane waunde majopo mawili yatakayokaa kuandaa mpango wa amani waombe kusimamisha mapigano halafu jopo moja liende Ukraine na jingine lienda Russia kupeleka mapendekezo ya amani, njia hii ndio iliyosalia kwani UN ni umoja wa kishenzi na umeshindwa kazi.

Vita vya dunia vitakuwa na athari mbaya sana kwetu sisi Wa africa ambao mahitaji yetu muhimu [mikopo, misaada, madawa, mafuta, malighafi nk] hutegemea huko nje.

Huyo MK254 kakaa kishabiki zaidi kuliko kuangalia tatizo hilo katika picha hii.

Liinsha lote hili umeandika hehehe mnateseka sana nyie watu ila ndio hivyo mliyemtegemea analiwaaa...
 
Propaganda ya kitoto Sana na kutoka kwa mtu ambaye ni ziro kichwani...Objectives za SMO hazijajikita katika kuteka Kiev peke yake...Objectives ni nyingi Kama to create multipolar world, to destroy the economy of the west, to cause social and political disharmony in the west, to destroy Ukraine army and Nazis in Ukraine, to discredit the west in the eyes of the world, etc.

Hehehe ona unavyoteseka kumzidi Putin, Kyev ilishindikana mtabadilisha lugha mpaka mchoke, na kamji ka Bakhmut kameshindikana na sasa operesheni ya kurejesha ardhi ya watu inaanza.
 
Back
Top Bottom