Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Alikuwa kawachonganisha Iran na Saudia ili wapigane apate kuuza silaha zake, China kafanya juhudi kawapatanisha America kabaki na aibu kubwa na kahuzunika sana kukosa hilo soko kwa silaha zake, sasa hivi anaelekea Ukraine na kishaanza kuimarisha soko kupitia rafiki yake Shoga-Zelensky. Wala hajali ni watu kiasi gani watakufa kwa vita ambayo yawezekana asipatikane mshindi.

Ikumbukwe, na Zelensky anajua hilo fika, kwamba Russia hata piga magoti kwake na kwa NATO/US, never will it happen, kinachokuja kutokea, kwa uingizwaji wa silaha huko Ukraine kutoka Ulaya na Amerika na uingiaji wa wanajeshi mamluki kutoka Ulaya, huo ni mwanzo wa vita kuu ya lll ya dunia, Russia kisha peleka makombora ya Nuclear huko Belarus na anatarajia kumpa Kiduku makombora iwapo Korea kaskazini itapeleka silaha huko Ukraine, hapo ndipo utakapoona jinsi vita inavyotaka kusambaa.

Inatakiwa viongozi wenye busara (prominent leaders) kutoka Ulaya, Afrika, Marekani ya kusini, Asia waungane waunde majopo mawili yatakayokaa kuandaa mpango wa amani waombe kusimamisha mapigano halafu jopo moja liende Ukraine na jingine lienda Russia kupeleka mapendekezo ya amani, njia hii ndio iliyosalia kwani UN ni umoja wa kishenzi na umeshindwa kazi.

Vita vya dunia vitakuwa na athari mbaya sana kwetu sisi Wa africa ambao mahitaji yetu muhimu [mikopo, misaada, madawa, mafuta, malighafi nk] hutegemea huko nje.

Huyo MK254 kakaa kishabiki zaidi kuliko kuangalia tatizo hilo katika picha hii.
Na nyinyi muwe na aibu basi khaaaa, yaani misaada mmeshaona kama ni haki yenu.

Kwani nyinyi ni walemavu wa ubongo, hamuwazi kujitegemea, muda wote mnawaza jinsia ya kupewa msaada na mzungu.
 
Urusi ilibugi sana kwa kushindwa kutekeleza malengo ya kuiteka Kyev pale mwanzo, sasa kinachofata ni aibu tupu maana tayari wamekwama Bakhmut, wameshindwa kuteka hako kamji licha ya kupoteza wanajeshi kama senene humo, sasa Ukraine wapo kwenye maandalizi ya kuirejesha ardhi yao....

The Patriot system is considered to be extremely advanced
The Patriot system is considered to be extremely advanced© Axel Heimken/dpa/picture alliance

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles. Meanwhile, Ukraine says an overnight Russian drone attack hit the southern port city of Odesa. DW has the latest.
Ukraine has received its first Patriot defense system, delivered by Germany, Ukrainian Defense Minister Oleksiy Reznikov said on Wednesday.

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles and its considered one of the most advanced defense systems developed by the US.

"Today, our beautiful Ukrainian sky becomes more secure because Patriot air defence systems have arrived in Ukraine," Reznikov wrote on Twitter, adding that Germany, the US and the Netherlands "kept their word."

The US and Germany each agreed to provide Kyiv with one of the systems. The Netherlands has also pledged to provide missiles and parts.

German press agency dpa cited a German military source as saying that Ukrainian soldiers received training by Germany and the US in a NATO country where joint drills were held.

Russian President Vladimir Putin has vowed to find an "antidote" to the air defense system.

Here are some of the other notable developments concerning Russia's war in Ukraine on Wednesday, April 19:
Yaani huwa unaandika eidha kama taahira au kama chokolostick vile
 
Propaganda ya kitoto Sana na kutoka kwa mtu ambaye ni ziro kichwani...Objectives za SMO hazijajikita katika kuteka Kiev peke yake...Objectives ni nyingi Kama to create multipolar world, to destroy the economy of the west, to cause social and political disharmony in the west, to destroy Ukraine army and Nazis in Ukraine, to discredit the west in the eyes of the world, etc.
Mkuu kwa akili ya kawaida unaamini kuwa Russia anaweza kuaribu uchumi wa Ulaya lakini uchumi wa Russia ikabaki salama?

Kwa vile unapata taarifa kutoka ulaya ila upati taarifa kutoka Russia unaweza dhani kuwa Ulaya inayumba ki uchumi kuliko Russia.
 
Ukiwa mtu free uwezi kukubaliana na alichofanya Russia dhidi ya Ukraine kisa tu Amerika aliwahi kuifanya sehemu.
Ukijadili au kuangalia suala la Ukraine na Russia siyo sahihii kwa Russia kukalia ardhi ya Ukraine kisa tu Ukraine inataka kuside na maadui wake.
Kitu ambacho hukijui,,,,Urusi hakuanzisha hii SMO.
 
Na nyinyi muwe na aibu basi khaaaa, yaani misaada mmeshaona kama ni haki yenu.

Kwani nyinyi ni walemavu wa ubongo, hamuwazi kujitegemea, muda wote mnawaza jinsia ya kupewa msaada na mzungu.


Hiyo sio misaada bali ni haki yetu, tunaiita misaada kwakuwa sisi ni Waungwana.

Jinsi walivyonyonya mali asili zetu zama za ukoloni, jinsi walivyotumikisha babu zetu, jinsi leo wanavyochota mali zetu, we huoni ??!, utajiti wao wote umetegemea mambo hayo.
 
Tuombe Mungu hii vita imalizike salama maana imeleta madhara makubwa sana kwa binadamu. Shida ni kwamba Mrusi siku zote hawezi kukubali kushindwa. Kumbuka kuwa anatawala ki dictator na watu wake kufa kwake siyo shida,
Kwa mantiki hiyo shida itakwisha pale mwenye Udikteta akifa yeye mwenyewe na itapendeza zaidi hao watu wake wanaokufa wakifanikisha kumuua. (Rejea kisa cha Idi Amin wa Uganda enzi hizo na udikteta wake ulivyoanguka).
 
Alikuwa kawachonganisha Iran na Saudia ili wapigane apate kuuza silaha zake, China kafanya juhudi kawapatanisha America kabaki na aibu kubwa na kahuzunika sana kukosa hilo soko kwa silaha zake, sasa hivi anaelekea Ukraine na kishaanza kuimarisha soko kupitia rafiki yake Shoga-Zelensky. Wala hajali ni watu kiasi gani watakufa kwa vita ambayo yawezekana asipatikane mshindi.

Ikumbukwe, na Zelensky anajua hilo fika, kwamba Russia hata piga magoti kwake na kwa NATO/US, never will it happen, kinachokuja kutokea, kwa uingizwaji wa silaha huko Ukraine kutoka Ulaya na Amerika na uingiaji wa wanajeshi mamluki kutoka Ulaya, huo ni mwanzo wa vita kuu ya lll ya dunia, Russia kisha peleka makombora ya Nuclear huko Belarus na anatarajia kumpa Kiduku makombora iwapo Korea kaskazini itapeleka silaha huko Ukraine, hapo ndipo utakapoona jinsi vita inavyotaka kusambaa.

Inatakiwa viongozi wenye busara (prominent leaders) kutoka Ulaya, Afrika, Marekani ya kusini, Asia waungane waunde majopo mawili yatakayokaa kuandaa mpango wa amani waombe kusimamisha mapigano halafu jopo moja liende Ukraine na jingine lienda Russia kupeleka mapendekezo ya amani, njia hii ndio iliyosalia kwani UN ni umoja wa kishenzi na umeshindwa kazi.

Vita vya dunia vitakuwa na athari mbaya sana kwetu sisi Wa africa ambao mahitaji yetu muhimu [mikopo, misaada, madawa, mafuta, malighafi nk] hutegemea huko nje.

Huyo MK254 kakaa kishabiki zaidi kuliko kuangalia tatizo hilo katika picha hii.
Nashangaa kwa nini nyie hamjaenda huko mkajilipue ili mkapate wale mabikra 72 walio katika nchi ya kusadikika, unapiga kelele humu tu kila siku sasa wewe ni jihadist gani sasa. Bure kabisa.
 
Urusi ilibugi sana kwa kushindwa kutekeleza malengo ya kuiteka Kyev pale mwanzo, sasa kinachofata ni aibu tupu maana tayari wamekwama Bakhmut, wameshindwa kuteka hako kamji licha ya kupoteza wanajeshi kama senene humo, sasa Ukraine wapo kwenye maandalizi ya kuirejesha ardhi yao....

The Patriot system is considered to be extremely advanced
The Patriot system is considered to be extremely advanced© Axel Heimken/dpa/picture alliance

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles. Meanwhile, Ukraine says an overnight Russian drone attack hit the southern port city of Odesa. DW has the latest.
Ukraine has received its first Patriot defense system, delivered by Germany, Ukrainian Defense Minister Oleksiy Reznikov said on Wednesday.

The Patriot system is used to combat enemy aircraft, ballistic missiles and cruise missiles and its considered one of the most advanced defense systems developed by the US.

"Today, our beautiful Ukrainian sky becomes more secure because Patriot air defence systems have arrived in Ukraine," Reznikov wrote on Twitter, adding that Germany, the US and the Netherlands "kept their word."

The US and Germany each agreed to provide Kyiv with one of the systems. The Netherlands has also pledged to provide missiles and parts.

German press agency dpa cited a German military source as saying that Ukrainian soldiers received training by Germany and the US in a NATO country where joint drills were held.

Russian President Vladimir Putin has vowed to find an "antidote" to the air defense system.

Here are some of the other notable developments concerning Russia's war in Ukraine on Wednesday, April 19:
Vp gavoo ishalipa mishahara ya watumishi wa umma hapo kwenu
 
Ooh wameleta tena tipa mpya? Yale ya mwanzo yalienda wapi au yalikuwa ya kichina?
 
Alikuwa kawachonganisha Iran na Saudia ili wapigane apate kuuza silaha zake, China kafanya juhudi kawapatanisha America kabaki na aibu kubwa na kahuzunika sana kukosa hilo soko kwa silaha zake, sasa hivi anaelekea Ukraine na kishaanza kuimarisha soko kupitia rafiki yake Shoga-Zelensky. Wala hajali ni watu kiasi gani watakufa kwa vita ambayo yawezekana asipatikane mshindi.

Ikumbukwe, na Zelensky anajua hilo fika, kwamba Russia hata piga magoti kwake na kwa NATO/US, never will it happen, kinachokuja kutokea, kwa uingizwaji wa silaha huko Ukraine kutoka Ulaya na Amerika na uingiaji wa wanajeshi mamluki kutoka Ulaya, huo ni mwanzo wa vita kuu ya lll ya dunia, Russia kisha peleka makombora ya Nuclear huko Belarus na anatarajia kumpa Kiduku makombora iwapo Korea kaskazini itapeleka silaha huko Ukraine, hapo ndipo utakapoona jinsi vita inavyotaka kusambaa.

Inatakiwa viongozi wenye busara (prominent leaders) kutoka Ulaya, Afrika, Marekani ya kusini, Asia waungane waunde majopo mawili yatakayokaa kuandaa mpango wa amani waombe kusimamisha mapigano halafu jopo moja liende Ukraine na jingine lienda Russia kupeleka mapendekezo ya amani, njia hii ndio iliyosalia kwani UN ni umoja wa kishenzi na umeshindwa kazi.

Vita vya dunia vitakuwa na athari mbaya sana kwetu sisi Wa africa ambao mahitaji yetu muhimu [mikopo, misaada, madawa, mafuta, malighafi nk] hutegemea huko nje.

Huyo MK254 kakaa kishabiki zaidi kuliko kuangalia tatizo hilo katika picha hii.
Usiwaamini sn waarabu, hawaaminiki hao
 
Mkuu kwa akili ya kawaida unaamini kuwa Russia anaweza kuaribu uchumi wa Ulaya lakini uchumi wa Russia ikabaki salama?

Kwa vile unapata taarifa kutoka ulaya ila upati taarifa kutoka Russia unaweza dhani kuwa Ulaya inayumba ki uchumi kuliko Russia.
Napata taarifa kutoka sehemu zote...nafanya analysis ..siishii kwa Russia au West tu...nafuatilia habari za China, Asia, Latin America, Japan na kadhalika...umwamba wa West, USA unatoweka taratibu....Kama ilivyodondoka Roman Empire na empire nyingine zote zilizopita Marekani nayo inadondoka.ndiyo maana inapambana kufa na kupona lakini haiwezii kupona katika wimbi hili la Sasa...
 
Ukiwa mtu free uwezi kukubaliana na alichofanya Russia dhidi ya Ukraine kisa tu Amerika aliwahi kuifanya sehemu.
Ukijadili au kuangalia suala la Ukraine na Russia siyo sahihii kwa Russia kukalia ardhi ya Ukraine kisa tu Ukraine inataka kuside na maadui wake.
Ukichunguza sana wanao ishabikia urusi ni walio ishia darasa la.4 au wale ashki majunun hata akiona kuku wawili wanapigana bila sababu anashabikia mmoja....
 
Back
Top Bottom