Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

Haya madubwana yapokewa Ukraine huku maandalizi ya spring counteroffensive yakiendelea

waarabu wana dam ya kubaguana siku zote


Wacha wawe na hiyo damu, lakini anapotokea mtu akatumia hiyo loop hole kuzidisha chuki miongoni mwao tumueleweje huyo mtu ??
 
Duh we jamaa unawaza ushoga unapakuliwa nn ?


1--Kwanini unaingilia ugomvi usiokuhusu??!
2--- kama hujui Zelensky ni shoga na hilo halina ubishi.
3--- Huyo ndugu niliyemjibu ambaye wewe umejitia kuwa mtetezi wake wa hiyari kanitukana kwa kuniita "Jihadist" na amesema niende Russia kumsaidia Putin kwa kujilipua mabomu.
4--- Na mimi ndipo nikarudisha matusi yake kwamba naye aende Ukraine kumsaidia Shoga mwenziye Zelensky.
5--- Hapo kosa langu lipo wapi hadi na wewe kufika kunitukana??
6--- Zingatia haya:-(a) Usipende kuingilia ugomvi usiokuhusu, (b) Kama ni lazima kuingilia ugomvi basi yakupasa upeleleze kiini cha ugomvi ili uwe msuluhishi.
7--- Kwakuwa umenitukana ningeweza kukujibu matusi lakini nimegundua wewe ni hamnazo hivyo nimekusamehe bure. A free of charge pardon, ila siku nyingine usirudie.
 
1--Kwanini unaingilia ugomvi usiokuhusu??!
2--- kama hujui Zelensky ni shoga na hilo halina ubishi.
3--- Huyo ndugu niliyemjibu ambaye wewe umejitia kuwa mtetezi wake wa hiyari kanitukana kwa kuniita "Jihadist" na amesema niende Russia kumsaidia Putin kwa kujilipua mabomu.
4--- Na mimi ndipo nikarudisha matusi yake kwamba naye aende Ukraine kumsaidia Shoga mwenziye Zelensky.
5--- Hapo kosa langu lipo wapi hadi na wewe kufika kunitukana??
6--- Zingatia haya:-(a) Usipende kuingilia ugomvi usiokuhusu, (b) Kama ni lazima kuingilia ugomvi basi yakupasa upeleleze kiini vha ugomvi ili uwe msuluhishi.
7--- Kwakuwa umenitukana ningeweza kukujibu matusi lakini nimegundua wewe ni hamnazo hivyo nimekusamehe bure. A free of charge pardon, ila siku nyingine usirudie.
nsamehe mkuu kama mna ugomv wenu
 
Wacha wawe na hiyo damu, lakini anapotokea mtu akatumia hiyo loop hole kuzidisha chuki miongoni mwao tumueleweje huyo mtu ??
kosa bado la nyiny mnaokaribisha mtu kuwafarakanisha , pendaneni na muwe wamoja hakuna mtu atawagombanisha
 
kosa bado la nyiny mnaokaribisha mtu kuwafarakanisha , pendaneni na muwe wamoja hakuna mtu atawagombanisha


Hivi nikuulize; mbwa akimg'ata mtu ni nani atasimama mahakamani kati ya mbwa na mwenye mbwa??
 
Hivi nikuulize; mbwa akimg'ata mtu ni nani atasimama mahakamani kati ya mbwa na mwenye mbwa??
mwenye mbwa , ila mwafrika sio mbwa , bali wana utimam sawa na wazungu sema uroho wetu na ubinafs wakutaka tuonekane bora dhidi ya waafrika wenzetu ndo tunaishia kuuza utu wetu ili tupate msaada , so bado mwafrika atabeba lawama zote kwa yanayoendelea afrika
 
USA ikifa si dunia nzima itabaki hivyohivyo make hakuna nchi inayoonesha Dalili ya kuchukuq sehemu ya USA...Unless unachakata hizo data kwa macho ya kishabiki tofauti na hapo Hakuna dalili zinazoonesha kuwa USA inapambana kufa...ni ushabiki tu ndo inakusumbua.

Kama siyo ushabiki ni nguvu gani inataka kuiua USA.
Mkuu naona unauwelewa mdogo sana sikiliza walau hii tu
 

Attachments

  • VID-20230421-WA0016.mp4
    13.3 MB
Ukiwa mtu free uwezi kukubaliana na alichofanya Russia dhidi ya Ukraine kisa tu Amerika aliwahi kuifanya sehemu.
Ukijadili au kuangalia suala la Ukraine na Russia siyo sahihii kwa Russia kukalia ardhi ya Ukraine kisa tu Ukraine inataka kuside na maadui wake.
Wewe ni boga kabisa yaani mtu anaekaribisha adui Yako usimUadhibu labda unazungumzia maisha ya kusadikika ya huko mbinuni
 
Dah....
Hivi Marekani umefika au unasikia kwenye media tu?!?!!?! Uhuru gani wanao Marekani?! ...Yuko wapi Snowden?! Soma kutabu Cha The Political Economy of the Mass media: The manufacturing consent of the Mass media...waandishi ni Prof. Noam Chomsky na Edward Herman...hapo ndioo utajua Kama Marekani Kuna Uhuru au la..
Vijana wengi hawana uwezo wa kufuatilia habari.
 
Wewe ni boga kabisa yaani mtu anaekaribisha adui Yako usimUadhibu labda unazungumzia maisha ya kusadikika ya huko mbinuni
Yaani ugombane na jirani yako kisa anayo urafiki na mtu usiyeelewana nae!!! Wewe ndiye bogas kabisa.
 
Propaganda ya kitoto Sana na kutoka kwa mtu ambaye ni ziro kichwani...Objectives za SMO hazijajikita katika kuteka Kiev peke yake...Objectives ni nyingi Kama to create multipolar world, to destroy the economy of the west, to cause social and political disharmony in the west, to destroy Ukraine army and Nazis in Ukraine, to discredit the west in the eyes of the world, etc.
Hapo kwenye Ku destroy Ukraen army Mrusi kachemka
 
Hao magaidi waarabu Iraq, Syria, Libya wafe tu.... ila kwa Vietnam USA alichemsha kama ambavyo Urusi amechemsha pale Ukraine, kilichomkuta ndio kinawakuta Warusi.
Urusi kuwatwanga ukrein ni sawa sababu dunia hi ni survival for fitest.
Ukimakinika utaona UN nao ni sawa na ccm bongo haina usawa.move ya BRICS imefika NUSU bado nusu nyingine ili dunia ikae sawa...
 
Alikuwa kawachonganisha Iran na Saudia ili wapigane apate kuuza silaha zake, China kafanya juhudi kawapatanisha America kabaki na aibu kubwa na kahuzunika sana kukosa hilo soko kwa silaha zake, sasa hivi anaelekea Ukraine na kishaanza kuimarisha soko kupitia rafiki yake Shoga-Zelensky. Wala hajali ni watu kiasi gani watakufa kwa vita ambayo yawezekana asipatikane mshindi.

Ikumbukwe, na Zelensky anajua hilo fika, kwamba Russia hata piga magoti kwake na kwa NATO/US, never will it happen, kinachokuja kutokea, kwa uingizwaji wa silaha huko Ukraine kutoka Ulaya na Amerika na uingiaji wa wanajeshi mamluki kutoka Ulaya, huo ni mwanzo wa vita kuu ya lll ya dunia, Russia kisha peleka makombora ya Nuclear huko Belarus na anatarajia kumpa Kiduku makombora iwapo Korea kaskazini itapeleka silaha huko Ukraine, hapo ndipo utakapoona jinsi vita inavyotaka kusambaa.

Inatakiwa viongozi wenye busara (prominent leaders) kutoka Ulaya, Afrika, Marekani ya kusini, Asia waungane waunde majopo mawili yatakayokaa kuandaa mpango wa amani waombe kusimamisha mapigano halafu jopo moja liende Ukraine na jingine lienda Russia kupeleka mapendekezo ya amani, njia hii ndio iliyosalia kwani UN ni umoja wa kishenzi na umeshindwa kazi.

Vita vya dunia vitakuwa na athari mbaya sana kwetu sisi Wa africa ambao mahitaji yetu muhimu [mikopo, misaada, madawa, mafuta, malighafi nk] hutegemea huko nje.

Huyo MK254 kakaa kishabiki zaidi kuliko kuangalia tatizo hilo katika picha hii.
Haya na mawazo ya mwanaume uko vizur mkuu
 
Propaganda ya kitoto Sana na kutoka kwa mtu ambaye ni ziro kichwani...Objectives za SMO hazijajikita katika kuteka Kiev peke yake...Objectives ni nyingi Kama to create multipolar world, to destroy the economy of the west, to cause social and political disharmony in the west, to destroy Ukraine army and Nazis in Ukraine, to discredit the west in the eyes of the world, etc.
Swadakta
 
Urusi kuwatwanga ukrein ni sawa sababu dunia hi ni survival for fitest.
Ukimakinika utaona UN nao ni sawa na ccm bongo haina usawa.move ya BRICS imefika NUSU bado nusu nyingine ili dunia ikae sawa...

Urusi kaingia aibu kubwa sana pale Ukraine, amesababisha dunia tumebaki pabaya kwa kuwa na mbabe mmoja Marekani, tulikua vizuri pale tulidhani tuna wababe wawili.
 
Tuombe Mungu hii vita imalizike salama maana imeleta madhara makubwa sana kwa binadamu. Shida ni kwamba Mrusi siku zote hawezi kukubali kushindwa. Kumbuka kuwa anatawala ki dictator na watu wake kufa kwake siyo shida,
Shida ni kufa mtawala
 
Back
Top Bottom