kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Nakuelewa sana motivational speaker mlinda uhai mkongwe. Mtu wa maana sana weweAahahahahahahaaa
Kwa mwenendo huu kijana wa kuukumbatia uhai utaufikia uzee kama wangu kweli...!!!?????🤣🤣🤣🤣🤣
Wenzako enzi za ujana wetu tulikuwa tunajibana, bora kupoteza uhai kwa njaa kuliko kuukumbatia kwa kula na ndio maana unatuona hadi leo tunagoga na ugagula wetu....🤣🤣🤣🤣
Seeengeeerii kweli kweli wewee.....😂😂😂😂😂 nimecheka kama lafa....🤣🤣🤣🤣🤣
......eti .......ni uhai aahahahahahaaaa looh!!