balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Vipi maeneo ya Ruaha,kidatu na soko la mbuziWewe ndio mwenyeji kabisa. Nipo hapa mjini ifakara. Maji kwa sasa yamepungua. Hayo maeneo ulotaja ndio waathirika wakubwa.
Sijawahi shuhudia maji ya hivi.