Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

Niwekee kidebe cha mahindi ya kuchoma nakuja kula, na mchele nitengezee mabumunda...😜😜😋😋😋😋😋

Kula ni uhai....
Mashamba yamejaa maji hatari ila kidebe utapata.
Kulana ni uhai kwakweli hujakosea 🤣
 
Mashamba yamejaa maji hatari ila kidebe utapata.
Kulana ni uhai kwakweli hujakosea 🤣


Aahahahahahahaaa

Kwa mwenendo huu kijana wa kuukumbatia uhai utaufikia uzee kama wangu kweli...!!!?????🤣🤣🤣🤣🤣

Wenzako enzi za ujana wetu tulikuwa tunajibana, bora kupoteza uhai kwa njaa kuliko kuukumbatia kwa kula na ndio maana unatuona hadi leo tunagoga na ugagula wetu....🤣🤣🤣🤣

Seeengeeerii kweli kweli wewee.....😂😂😂😂😂 nimecheka kama lafa....🤣🤣🤣🤣🤣

......eti .......ni uhai aahahahahahaaaa looh!!
 
Back
Top Bottom