Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #81
Hapa Ifakara unaingia kesho.Ishi! Hawa wako bize kuongoza msafara wa mwenge!
Bado inanyesha na maji yanapungua kwa Kasi ndogo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Ifakara unaingia kesho.Ishi! Hawa wako bize kuongoza msafara wa mwenge!
Na jirani yake malinyi kule vipi? Si kuna mabwawaHapa Ifakara unaingia kesho.
Bado inanyesha na maji yanapungua kwa Kasi ndogo sana.
Lakini hii sio picha ya mji wa ifakaraMuda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
View attachment 2973379
Hata Dubai wanahaha na kifurushi cha wiki hii!Hichi kifurushi cha wiki ni balaa.
Picha nimepiga mwenyewe nikiwa hapa Mountain Peak hotel.Lakini hii sio picha ya mji wa ifakara
Kwa hiyo serikali inaloga wananchi wake?Mimi sifatiliagi huo Moto wa washirikina.
Kwakweli ile ilikuwa funga kazi !Ila kama unakumbuka vizuri, hii bado ni cha mtoto!
Wapi hapo. ??Mvua kubwa imeanza tena kunyesha!!
Ifakara.Wapi hapo. ??
Tulime mpunga kwa wingi sasa.Muda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
View attachment 2973379
Poleni sana !Ifakara.
Tunaomba Mungu isiwe inanyesha kwenye safu ya milima ya Udzungwa!!
Maana huko ndiko chanzo cha mto Lumemo kufurika.
Wewe ndio mwenyeji kabisa. Nipo hapa mjini ifakara. Maji kwa sasa yamepungua. Hayo maeneo ulotaja ndio waathirika wakubwa.Mto Lumemo umemwaga sio mchezo ni balaa!! Kifupi kama unatokea Kibaoni kuja mjini, kuanzia ilipo Villa Lodge kote maji yamefurika balaa.
Njoo mpaka Kona ya Jerusalem kote huko ni maji tu, kama unafahamu barabara ya kwenda PK arena nako ni maji yanapita juu ya barabara kama mto..
Sogea mbele kama unaenda Ester Petrol station huko kote ni maji.. wenyeji wanasema imewahi kutokea muda mrefu.. kifupi Ifakara imeloa sasa yote tisa huko wanaita Katindiuka ndo mziki mnene
Ni Cha mtoto maana ile ulikuaga balaa nakumbukaIla kama unakumbuka vizuri, hii bado ni cha mtoto!
Nimeona news jangwani watu 30 abiria wa gari nusra wasombwe na majiHio miaka nasikia ilikua balaa hasa 98,,maana nilifikaga huko 99 ndo nikasikia wanaongelea hali ya 98
Bwana la Nyerere ndio lina sababisha mafurikoMuda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
View attachment 2973379
Acha kuwa mjinga kwa kulishwa habari za uongoBwana la Nyerere ndio lina sababisha mafuriko
Acha kuwa mjinga kwa kulishwa habari za
Mwanzo walikuwa wanasema ndo nataka wanisapoti kama wapoAcha kuwa mjinga kwa kulishwa habari za uongo