Utasikia viongozi wa serikali ya CCM ikiwaambia wananchi wahame maeneo hayo.
Majanga haya ya mvua kubwa, El Nino n.k yanalilia serikali ijipange wa kufikiria pale inapowezekana kujenga mabwawa mengi kuvuna maji haya kwa ajili ya kilimo, ufugaji pia mabwawa ya maji yatalinda miundo-mbinu kama reli, barabara, madaraja , mashamba na makaazi yasiharibiwe.
Hii ni kilio cha Asili kuwa ni fursa kuvuna maji haya yote ya mvua kwa maendeleo ya nchi. Ni wakati wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi (Climate Change) ibadilike kuwa fursa kwa kujenga mabwawa mengi.
Bwawa la kihistoria la Hombolo:
View: https://m.youtube.com/watch?v=TKwMmfccVSM
Mabwawa mengi dizaini ya yale ya mkoloni aliyojenga Mkalama Dam mwaka 1928 likafuatia Biringi Dam mwaka 1945 na Hombolo mwaka 1957 kuvuna maji ya bonde la Bahi Basin yanatakiwa yajengwe mengi zaidi kuvuna neema hii kipindi cha miaka yetu ya 2025 - 2050 na kuendelea
View: https://m.youtube.com/watch?v=CgjLPydnIeQ
Majanga haya ya mvua kubwa, El Nino n.k yanalilia serikali ijipange wa kufikiria pale inapowezekana kujenga mabwawa mengi kuvuna maji haya kwa ajili ya kilimo, ufugaji pia mabwawa ya maji yatalinda miundo-mbinu kama reli, barabara, madaraja , mashamba na makaazi yasiharibiwe.
Hii ni kilio cha Asili kuwa ni fursa kuvuna maji haya yote ya mvua kwa maendeleo ya nchi. Ni wakati wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi (Climate Change) ibadilike kuwa fursa kwa kujenga mabwawa mengi.
Bwawa la kihistoria la Hombolo:
View: https://m.youtube.com/watch?v=TKwMmfccVSM
Mabwawa mengi dizaini ya yale ya mkoloni aliyojenga Mkalama Dam mwaka 1928 likafuatia Biringi Dam mwaka 1945 na Hombolo mwaka 1957 kuvuna maji ya bonde la Bahi Basin yanatakiwa yajengwe mengi zaidi kuvuna neema hii kipindi cha miaka yetu ya 2025 - 2050 na kuendelea
View: https://m.youtube.com/watch?v=CgjLPydnIeQ