Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

Hiyo ni barabara ya Arusha Moshi maeneo ya King'ori, leo kuanzia saa Kumi alfajiri Hadi muda hii barabara imefungwa, magari hayapiti Kuna mkusanyiko mkubwa wa abiria maeneo hayo. Abiria Leo watachelewa kufika maeneo Yao, na wageni toka Arusha waliokuwa wanawahi ndege wamekutana na dhahama hiyo.
Hatari sana 🙄 !
 
Hiyo ni barabara ya Arusha Moshi maeneo ya King'ori, leo kuanzia saa Kumi alfajiri Hadi muda hii barabara imefungwa, magari hayapiti Kuna mkusanyiko mkubwa wa abiria maeneo hayo. Abiria Leo watachelewa kufika maeneo Yao, na wageni toka Arusha waliokuwa wanawahi ndege wamekutana na dhahama hiyo.
Mwenge ulishatoka Ars cku nyingi hata Kilimanjaro umeshapita uko Tanga.
 
Sijaupatia picha mto Lumemo kwa namna ulivyofurika! Maana kila maji yanapojaa kwenye huo mto, basi mafuriko lazima yaukumbe huo mji wa Ifakara.
Mto Lumemo umemwaga sio mchezo ni balaa!! Kifupi kama unatokea Kibaoni kuja mjini, kuanzia ilipo Villa Lodge kote maji yamefurika balaa.

Njoo mpaka Kona ya Jerusalem kote huko ni maji tu, kama unafahamu barabara ya kwenda PK arena nako ni maji yanapita juu ya barabara kama mto..

Sogea mbele kama unaenda Ester Petrol station huko kote ni maji.. wenyeji wanasema imewahi kutokea muda mrefu.. kifupi Ifakara imeloa sasa yote tisa huko wanaita Katindiuka ndo mziki mnene
 
Mto Lumemo umemwaga sio mchezo ni balaa!! Kifupi kama unatokea Kibaoni kuja mjini, kuanzia ilipo Villa Lodge kote maji yamefurika balaa.

Njoo mpaka Kona ya Jerusalem kote huko ni maji tu, kama unafahamu barabara ya kwenda PK arena nako ni maji yanapita juu ya barabara kama mto..

Sogea mbele kama unaenda Ester Petrol station huko kote ni maji.. wenyeji wanasema imewahi kutokea muda mrefu.. kifupi Ifakara imeloa sasa yote tisa huko wanaita Katindiuka ndo mziki mnene
Dah! Huko Katindiuka tangu enzi hizo! Mvua kidogo tu, hakupitiki.
 
Unasema iliwahi kutokea zaidi ya hii
Yeah, El nino ya 1995s mpaka 2000s mwanzoni ilikuwa kiboko na funga kazi. Zama hizo hamna mitandao ya kijamii lakini kila kona ya nchi iliipata habari yake!

Ule ukame siyo mchezo!Halafu hii ya sasa hivi ndani yake kuna masika yaani kama inafuata majira yake ya kawaida.

Nb: Hii ni masika au El nino??
 
Yeah, El nino ya 1995s mpaka 2000s mwanzoni ilikuwa kiboko na funga kazi. Zama hizo hamna mitandao ya kijamii lakini kila kona ya nchi iliipata habari yake!

Ule ukame siyo mchezo!Halafu hii ya sasa hivi ndani yake kuna masika yaani kama inafuata majira yake ya kawaida.

Nb: Hii ni masika au El nino??

Yeah, El nino ya 1995s mpaka 2000s mwanzoni ilikuwa kiboko na funga kazi. Zama hizo hamna mitandao ya kijamii lakini kila kona ya nchi iliipata habari yake!

Ule ukame siyo mchezo!Halafu hii ya sasa hivi ndani yake kuna masika yaani kama inafuata majira yake ya kawaida.

Nb: Hii ni masika au El nino??
Elnino ni hali ya hewa inayofanya kuwe na ongezeko kubwa la mvua kuliko ujazo unaorekondiwa kwa msimu. Mfano mvua za mwaka jana kipindi chote cha masika ujazo wake sio sawa na huu.

Sasa sina hakika kama hizi mvua ni za Elnino ama la.
 
Back
Top Bottom