Nakuelewa sana motivational speaker mlinda uhai mkongwe. Mtu wa maana sana weweAahahahahahahaaa
Kwa mwenendo huu kijana wa kuukumbatia uhai utaufikia uzee kama wangu kweli...!!!?????🤣🤣🤣🤣🤣
Wenzako enzi za ujana wetu tulikuwa tunajibana, bora kupoteza uhai kwa njaa kuliko kuukumbatia kwa kula na ndio maana unatuona hadi leo tunagoga na ugagula wetu....🤣🤣🤣🤣
Seeengeeerii kweli kweli wewee.....😂😂😂😂😂 nimecheka kama lafa....🤣🤣🤣🤣🤣
......eti .......ni uhai aahahahahahaaaa looh!!
Nakuelewa sana motivational speaker mlinda uhai mkongwe. Mtu wa maana sana wewe
Aaawwwwww Kaaabuuuuu.....☺☺☺☺
Am blushing 😊☺😍.
Salamu tele hapo ulipo.
Ila nitake radhi banaaa, mie sio motivesheno spika...
Aaawwwwww Kaaabuuuuu.....☺☺☺☺
Am blushing 😊☺😍.
Salamu tele hapo ulipo.
Ila nitake radhi banaaa, mie sio motivesheno spika....😜😜.
Salama uzima tele, na kwa nini unafunga PMAaawwwwww Kaaabuuuuu.....☺☺☺☺
Am blushing 😊☺😍.
Salamu tele hapo ulipo.
Ila nitake radhi banaaa, mie sio motivesheno spika....😜😜.
Mna hhakika sio gharika inaanza mdogomdogo kuimeza dunia?
Salama uzima tele, na kwa nini unafunga PM
Mna hhakika sio gharika inaanza mdogomdogo kuimeza dunia?
Dubai tz na maeneo memgine inamwagika tu
Kama yeye ndie aliye amua ukimwomba wafanya kazi bureKuomba Mungu isiwe hivyo.
Una taarifa kuwa usiku wa kuamikia leo Lumemo imetapika? Haya sasa pengine yanaweza kuzidi yaliyopita kwa sababu mto haukupungua maji na sasa yameongezeka tena. Hali sio hali ni balaaMuda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
View attachment 2973379
Najua.Una taarifa kuwa usiku wa kuamikia leo Lumemo imetapika? Haya sasa pengine yanaweza kuzidi yaliyopita kwa sababu mto haukupungua maji na sasa yameongezeka tena. Hali sio hali ni balaa
Mkuu hatari hii mvua toka juzi inapiga, juzi nilikuwa Mang'ula mvua ilianza kunyesha na ilikuwa kubwa. Narudi Ifakara napo nakuta mvua na ilikesha, jana tumeshinda nayo its obvious mto lazima ufurikeNajua.
Yaani ni tafrani na haya ya leo Yana spidi kubwa kuliko yale ya siku ile.
Na tatizo mvua bado inanyesha ingawa imepungua kidogo.
Hebu weka ka videoUna taarifa kuwa usiku wa kuamikia leo Lumemo imetapika? Haya sasa pengine yanaweza kuzidi yaliyopita kwa sababu mto haukupungua maji na sasa yameongezeka tena. Hali sio hali ni balaa
Nashukuru watu Leo wametoka na mabegi yao ya nguo.Mkuu hatari hii mvua toka juzi inapiga, juzi nilikuwa Mang'ula mvua ilianza kunyesha na ilikuwa kubwa. Narudi Ifakara napo nakuta mvua na ilikesha, jana tumeshinda nayo its obvious mto lazima ufurike
TMA nao wanasema itanyesha hadi tar11 hii ni balaa sasa.
Sijafika eneo la tukio nikifanikiwa kufika ntawekaHebu weka ka video
Aisee kwa Mfamiko kulikuwa na trekta? Kwamba trekta ndo linaokoa watu!! Anyway soon ntatoka kuelekea mjini. Vipi pale kwenye yard ya Mose panapitika? Last time kulikuwa na jam ya kufa mtuNashukuru watu Leo wametoka na mabegi yao ya nguo.
Pale mbele kwa mfamiko Kuna trekta nusura liue lililokuwa limewabeba. Tatizo leo mvua inanyesha kwa ivo pa kujificha imekuwa taabu.
Watu wamejazana Asante Lodge No.1.
Allen Kilewella kama unaweza wapostie wadau video mie bado sijatoka nyumbaniNashukuru watu Leo wametoka na mabegi yao ya nguo.
Pale mbele kwa mfamiko Kuna trekta nusura liue lililokuwa limewabeba. Tatizo leo mvua inanyesha kwa ivo pa kujificha imekuwa taabu.
Watu wamejazana Asante Lodge No.1.
Sio muda.Allen Kilewella kama unaweza wapostie wadau video mie bado sijatoka nyumbani