Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
mkuu Extrovert unataka kununua baiskeliSijui tunafeli wapi wanazengo ila kimsingi natamani sana kama tungeanza kuhamia huku mdogo mdogo.View attachment 2078838
Hii gari ni ya usd 8000 tu roughly kama 18.5m hivi kwa wanaonunua gari za 25-30M naona kama hii chuma inanunulika kabisa...
😂😂😂
Mana kibongole usajili wa vyombo vya moto kipimo ni cc