Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Boss kashatepeta imebaki kumnafikia tu ila wanajua tajiri tayari ameishaHao tushawachoka wanaendeshwa na baba yao US. Wameshikwa MATACORE hao viongozi wote ni vibaraka wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss kashatepeta imebaki kumnafikia tu ila wanajua tajiri tayari ameishaHao tushawachoka wanaendeshwa na baba yao US. Wameshikwa MATACORE hao viongozi wote ni vibaraka wake
huna akili.Tofauti ya Ulaya na mabara mengine ni kuwa, wao wanaongozwa na taasisi/systems. Uwe mbunge, uwe rais au uwe nani ni lazima ufate kile kilichopangwa.
Hakuna wa kuja kuzuia hili, kama kwa sasa ajenda ni kupambana na putin, basi kiongozi yoyote lazima aendane na ajenda hiyo.
Viongozi wa NYETO mpaka sasa bado hawajui na hawawezi kupata solusheni ya kumchapa PUTINHao NYETO sijui NATO wanaonea nchi za uarabunu na Africa ila when comes to RUSSIA lazima mkia ufyate kama mbwa koko
Hawataweza kwa nguvu ya Mungu aliye juu. Hawaamini macho yao yani this move was well calculated kila swali lina jibu tayari 😂😂😂 NATO wamekuwa brainlessWhat a splendid comment - bravo.
Hata mimi nawashangaa some JF members ambao wanashindwa kuona beyond their noses - hawana habari/hawaoni kwamba Dunia imeanza kushuhudia the beginning of the end ya Global influence ya Uncle SAM na vassals wake in particular a very vocal UK - mataifa mengi Duniani yatajiunga na camp iliyo anzishwa sasa hivi inayo heshimu binadamu wenzao na kutendewa haki, camp ambayo hawana jadi ya kupenda penda vita. Western leader never saw it coming, nina hakika US itajaribu sana kuhujumu BRICS lakini watashindwa miserably God willing.
Search "The Revived Roman Empire"Mrumi ni nani?
Wanakutana kupanga jinsi ya kwenda kuchokonoa mzinga wa nyuki.Hahahahahah wazee hawaishi vikao kila siku ni mrusi tumfanye hivi tumfanye vile hayatimii
Kibaya zaidi Mrumi yupo Ulaya mkuuSearch "The Revived Roman Empire"
Ndio nafahamu ila ukiisoma vizuri utapata picha,ila nisichofahamu ni uhusiano wake na new world order!Kibaya zaidi Mrumi yupo Ulaya mkuu
We mkundu,matusi nayajua sana tena sana,naomba jaribu kujadili hoja kwa point,kama una mapenzi mazito na Russia ni wewe,kama nina mapenzi na Marekani na NATO ni Mimi,tupingane kwa hoja! Naomba niishie hapaMtalia sana mwaka huu manake sindano inaingia taratibu. Unazungumzia vinchi vya europe ambavyo hata dsm inavishinda kwa ukubwa, hivi unajua nyuklia moja ikitua katikati ya europe almost nchi zote zitakua affected??
Afu unajiita na wewe critical thinker kwa akili kiazi kama zako.
What a splendid comment - bravo.
Hata mimi nawashangaa some JF members ambao wanashindwa kuona beyond their noses - hawana habari/hawaoni kwamba Dunia imeanza kushuhudia the beginning of the end ya Global influence ya Uncle SAM na vassals wake in particular a very vocal UK - mataifa mengi Duniani yatajiunga na camp iliyo anzishwa sasa hivi inayo heshimu binadamu wenzao na kutendewa haki, camp ambayo hawana jadi ya kupenda penda vita. Western leader never saw it coming, nina hakika US itajaribu sana kuhujumu BRICS lakini watashindwa miserably God willing.
Kweli??? Personally I don't think so.BRICS ni sawa na AU tu, wazugaji.
Yaan nato wapo wengi ila wanaogopa kuingia vitani na nchi yaani mojaKichwa chako bado cheupe sana ndugu yangu. Kwahiyo kwa akili zako unafikiri Russia hajui wewe unajua?? Unafikiri alikurupuka kama wewe ulivokurupuka kuandika pumba hzi?? Mwaka huu mtakufa kwa BP kama mlizoea kuonea libya, iraq, safari hii mmekutana na kisiki cha mpingo.
Kama nyinyi ni wanaume pelekeni jeshu Ukraine na sio kelele.
Afu hzo kelele zenu eti Russia arushe kombora Poland hzo siasa zenu ni za kitoto kwanini nyie msirushe kombora pale moscow au simple kwanini msiingie direct??
Ni mtanzania pekee wa tandahimba anayeamini NATO itaingia vitani na Russia kamwe hakuna mwenye uthubutu
NDUGU YETU UNAJUA KUSHINDA BIDENView attachment 2270449
Marais wako wote wa US huu mziki wa Russia wameushindwa atauweza uyo babu yenu pole sana.
Na inasemekana kuna s600 ipo kuchemka jikoni ikiiva itakuja tu mezaniMkuu kwa kifupi hio S550 ni balaa kwanza inautwa SATELLITE KILLER ina uwezo wa target hadi range above 10,000 miles hii ngoma inadungua mpaka Hypersonic missiles inadungua ICBMs mpaka satellite za mmarekani kule juu.[emoji23][emoji23]
Kumbuka mpaka sasa hakuna Airdefense system iloweza kupambana na S-400 na unakumbuka kama sikosei 2018 US alisema atawapa vikwazo Russia kama atauza hio S-400[emoji1787][emoji1787]. Kumbuka Russia ana S550 na sasa hii mpya S-550 afu kuna boga anakuja kuifananisha Russia na US kwenye teknologia ni dharau kwa Russia.
Russia amemwacha US mbali sana kwenye millitary technology hana ubavu wa kucompete na Russia. Kama hypersonic NATO wote inawashinda wakati mwenzao anayo Mpaka airdefense ya kutungua hypesonic na ICBMs hawa ndo wakuingia vita na Russia?.
Wakavae kwanza daipa walizoea kupigana na wenye ak47 wapanda farasi kule kuna kuna iskander,satan2 maana matumbo yasije vurugikaHaya sasa huo umoja wa mashoga EU wamsaidie mwenzao Gaykraine anayechezea kichapo cha mbwa mwitu.
Nalog off Z
Yaan nato wapo wengi ila wanaogopa kuingia vitani na nchi yaani moja
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Ohoo wewe ndio haupo kabisa, kaa kwa kutulia!Hivi unadhani nchi gani ya EU Iko tayari kurisk kuwa kwenye vita na Urusi?
Hilo jambo haliwezi kutokea na litapingwa na member states wengi!
Na inasemekana kuna s600 ipo kuchemka jikoni ikiiva itakuja tu mezani
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Yaan nato wajitahidi tu kumsuta sana russia kupigana naye wanaogopa..maana hiyo itakuwa suicide by russian styleMtu mzma anashindaa kung’amua nchi 30 zimeungana kijeshi kisa Russia ambaye ni wanadai ni maskini. Kuingia front wanapiga kelele za vikwazo mara vikao vya Umoja wa kina mama (EU) haviishi.
Kitendo cha Russia kupambana na nchi 30 tena tajiri kwangu nampa respect huyu ndo superpower [emoji91]