Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Iraq napo mlisemaga hivi hivi
Ndo nchi pekee mnazoweza kuzionea ila huko vietnam, taliba, syria, Venezuela mlichokutana nacho ni siri yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iraq napo mlisemaga hivi hivi
What a splendid comment - bravo.Pro NATO bado wanaishi kwenye zama za Mfalme Njozi 😂😂😂 wanafikiri Marekani ndio Mungu wa hii dunia.
Game isha change and there is no going back.
Waache wakina ARISTOTE wazee wa vikao waendelee kuunda vikwazo kwenye bunge lao la mchongo.
Wazee wa Brics wamesema kazi iendelee 😂 no more New World Order ikibidi dunia isiwepo tu. Tutafumuana hata Iskander na Satan.
What a splendid comment - bravo.Pro NATO bado wanaishi kwenye zama za Mfalme Njozi 😂😂😂 wanafikiri Marekani ndio Mungu wa hii dunia.
Game isha change and there is no going back.
Waache wakina ARISTOTE wazee wa vikao waendelee kuunda vikwazo kwenye bunge lao la mchongo.
Wazee wa Brics wamesema kazi iendelee 😂 no more New World Order ikibidi dunia isiwepo tu. Tutafumuana hata Iskander na Satan.
Kuna pro Russia hapo juu anasema mungu wenu Russia anaweza kuifuta Ukraine ndani ya siku moja [emoji38][emoji38][emoji38], anaifananisha mungu wenu Russia na Mungu wetu wa mbinguni mwenyewe uwezo wa kuifuta Ukraine ndani ya siku moja.Pro NATO bado wanaishi kwenye zama za Mfalme Njozi [emoji23][emoji23][emoji23] wanafikiri Marekani ndio Mungu wa hii dunia.
Game isha change and there is no going back.
Waache wakina ARISTOTE wazee wa vikao waendelee kuunda vikwazo kwenye bunge lao la mchongo.
Wazee wa Brics wamesema kazi iendelee [emoji23] no more New World Order ikibidi dunia isiwepo tu. Tutafumuana hata Iskander na Satan.
Analima shangazi yako, kwanza chapati ni kitu gani?Hizo chapati unazokula kila siku baba yako ndio analima hio ngano?
mimi ninakula viazi vitamu, mihogo,magimbi, kunde,choroko,njugu mawe, ugali wa mtama,uwele na ugali wa mhogo. Hizo chapati mnakula wewe na babako.Hizo chapati unazokula kila siku baba yako ndio analima hio ngano?
Putin alisema nchi yoyote itakayotoa msaada kwa Ukrain itapata cha moto
mwisho wa siku nchi kibao wametoa silaha kwa Ukrain means walikuwa tayari kwa lolote
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Wamejaribu mbinu zote wamekwama!Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.
Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.
Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.
Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.
Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Ndio maana wanataka kumuingiza mUkrein kwenye umoja wao as VIP halafu ndio kazi ianzeSasa huyo Ukraine ameshamfunga paka kengere?? Hao panya wengine (EU + NATO) wanasubiri hadi kengere itoke tena??
Ji
Jidanganye sasa! Mwambie arushe hata kombora moja tu pale Poland ambae ni member state wa NATO aone. Unazani hii kitu imeanza kupangwa leo? Unazani kwa nn Urusi haikutaka mama Clinton awe rais? Unajua kwa nn Urusi hataki NATO iendelee kujipanua kuelekea East? Ni mtanzania pekee na sio mrusi mwenyew anayeweza kuamini kuwa Urusi inaweza kupigana vita na jumuiya ya NATO na ikashinda. Uwe unaangalia hata takwimu za kibajeti za ulinzi angalau zitakupa mwanga pa kuanzia....! Hicho unachokiamini kuhusu Putin ndo walivyoamini watu kuhusu uwezo wa Saddam Hussein na ndicho wanachoamini watu kuhusu Korea Kaskazini huu ndo utaratibu wa nchi za kidikteta kutumia nguvu kubwaaaa kuhadaa umma wa nchi zao na dunia kwa ujumla kwamba wana uwezo uliopitiliza wa nguvu za kijeshi. Hata kinachoendelea pale Ukraine leo Urusi hakupenda ila hana budi kujitetea na kujilinda ili kuzuia kuzunguka na NATO kila upande. NARUDIA NI MTANZANIA PEKEE NDIYE ANAYEAMINI KUWA URUSI INAWEZA KUPIGANA NA JUMUIYA YA NATO NA URUSI IKASHINDA NA PUTIN AKAENDELEA KUWA MADARAKANI. Over
Eti wewe una taarifa za kijasusi kuliko hao Russia wenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Ramani ya Ukraine haitakuwa Ile ya kabla ya uvamizi!
Pro NATO bado wanaishi kwenye zama za Mfalme Njozi [emoji23][emoji23][emoji23] wanafikiri Marekani ndio Mungu wa hii dunia.
Game isha change and there is no going back.
Waache wakina ARISTOTE wazee wa vikao waendelee kuunda vikwazo kwenye bunge lao la mchongo.
Wazee wa Brics wamesema kazi iendelee [emoji23] no more New World Order ikibidi dunia isiwepo tu. Tutafumuana hata Iskander na Satan.
Wewe ni mwehu wahead!!Hata akipigwa poland hapo hakuna member wa nato atakayekuwa tayari kupigana na russia.....wanaogopa firework za motherland
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
NATO wavunja kikao baada ya ndege za urusi kuruka kwenye anga zake NATO.Kichwa chako bado cheupe sana ndugu yangu. Kwahiyo kwa akili zako unafikiri Russia hajui wewe unajua?? Unafikiri alikurupuka kama wewe ulivokurupuka kuandika pumba hzi?? Mwaka huu mtakufa kwa BP kama mlizoea kuonea libya, iraq, safari hii mmekutana na kisiki cha mpingo.
Kama nyinyi ni wanaume pelekeni jeshu Ukraine na sio kelele.
Afu hzo kelele zenu eti Russia arushe kombora Poland hzo siasa zenu ni za kitoto kwanini nyie msirushe kombora pale moscow au simple kwanini msiingie direct??
Ni mtanzania pekee wa tandahimba anayeamini NATO itaingia vitani na Russia kamwe hakuna mwenye uthubutu
NDUGU YETU UNAJUA KUSHINDA BIDENView attachment 2270449
Marais wako wote wa US huu mziki wa Russia wameushindwa atauweza uyo babu yenu pole sana.
Ila zidhani kama watafanikiwa kumwezesha Ukraine ashinde ni ngumu sana kiufup wakae chini wayamalize maana wote wnaingia hasara tuuWamejaribu mbinu zote wamekwama!
wamebaki kupiga umbra tu
NATO wavunja kikao baada ya ndege za urusi kuruka kwenye anga zake NATO.
NATO wavunja kikao baada ya ndege za urusi kuruka kwenye anga zake NATO.
Hahahahahah wazee hawaishi vikao kila siku ni mrusi tumfanye hivi tumfanye vile hayatimiiEti ARISTOTE imebidi nicheke nimepita hapa Palmvillage nimeliona bango lake kubwa ARISTOTE[emoji23][emoji23]
Hahahahahah wazee hawaishi vikao kila siku ni mrusi tumfanye hivi tumfanye vile hayatimii