Wewe samahani usituharibie siku yetu buana, huyu jama wako alikua ignorant kuhusu International relations and world politics Tz was a laughing stock to the world kwa sabb ya huyu buana.Hiki kipindi walikadilia vizuri sana kumpunguza Magufuli angekutana nacho hakika dunia ilikua inaenda kuona mabadiliko makubwa ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla alale salama Dkt. John Pombe Magufuli.