Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Mkuu hebu tafakari Tangazo la urusi kwamba Rafiki Yeyote wa Adui yangu ni adui yangu na Atakaye Msaidia Atakiona cha mtema kuni!
Huoni nchi za AU wamepuuza mkwala wa Putin na kuisaidia Ukreine?!
Huoni Mapuuza hayo ya AU ni Utayari kwa lolote??

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Mpaka Sasa hujapata hata like Moja jitafakari.
 
Hiki kipindi walikadilia vizuri sana kumpunguza Magufuli angekutana nacho hakika dunia ilikua inaenda kuona mabadiliko makubwa ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla alale salama Dkt. John Pombe Magufuli.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38] sasa magufuli angewafanya nini weatern kama 60% ya bajeti wao ndio wana fund, magufuli alikuwa anawatisha nyinyi wananchi wake lakini siyo western
 
Ni hivi mkuu kama wangeweza kumpa misaada direct wasingefikia kufanya uamuz mgumu hiv ,ishu inayosadikika ni kuwa baada ya kujiunga na kupata status ya EU membership ,umoja wa ulaya kupitia policy yake ya ulinzi itaunda operation maalumu dhid ya kumlinda mwanachama mwezao ,ukumbuke pia member weng wa EU wako NATO hivyo wanaamini kabisa lazima Russia itarespond ,ni kama mtego maana Russia hatua yoyote ya kijeshi atakayotumia dhid ya EU inaweza ikaigusa NATO ,na hapo ndipo wanamtaka puttin ajichanganye aguse NATO member yoyote.ili wapate sababu ya kuingia direct ,maana hii vita bila kuingia direct Ukraine hataweza hata akisaidiwa vipi .

Tunaomba Mungu Ukraine apewe membership afu tuone EU watakachofanya. Nasubir kwa hamu sana.

Before operation mlisema Russia hawezi ingia Ukraine mlipiga kelele zote mara NATO wameweka mtego ambao ni ukraine aingie anase ila mwisho wa siku wamepiga kelele weee lakin hakuna Action yoyote zaid wanatuma silaha lakini hazina impact kwa Russia.

Sahv mmeanza tena kelele Ukraine aingie EU ili asaidiwe lakin nakuambia mpaka Russia anamaliza Operation yake Ukraine hata ingia EU na hakuna chochote EU watafanya wakiongozwa na shoga yao US.

Russia hajalala mkuu the way West wanapanga against Russia pia VISEVERSA is true. Never Underestimates the power of Russia. Hawa jamaa wamejipanga sana West walikurupuka sana walifikiri vikwazo vitamtoa kwenye raman Russia kumbe ndo vimekua moto kwao.

HAKUNA nchi Ulaya ya kuingia kwenye vita na Russia direct hakuna, EU wanamtegemea US na US hawezi pigana na Russia [emoji23]. Hapo ndo mjue kwanini mataifa 30 yanahangaika na kataifa kamoja Russia [emoji635] [emoji23][emoji23]
 
Military capability gani wakati tumeshuhudia aibu ya Mrusi pale Kyev, hovyoo sana, kainchi kadogo kamemsumbua akili.
Mrusi pona yake ni manyuklia kule ghalani hamna kingine, mpaka sasa angekua ashatiwa adabu.
Hata waarabu na dini yao watamhama, hawatanunua dhana kutoka kwake tena.
Baeleze,
Ushabiki maandazi ni ujinga, yaani mtu anaona kuwa Russia yuko sahihi wakati anachofanya ni ubakaji.
 
Mkuu twende pole pole tuliza jazba soma kipengele cha mwisho
Ulianzishwa mwaka 1991 juu ya msingi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya.

Shabaha kuu zilikuwa kujenga uchumi wa pamoja, kuboresha maisha ya watu wa Ulaya na kuzuia vita kati ya nchi za Ulaya.
Pia umoja wa ulaya wanao uwezo wa kutoa msaada wa kijeshi ,japokua hawana muungano wa kijeshi ila linapokuja swala la kutoa msaada huunda jeshi la pamoja kutoa msaada hapo chini nimekupa mfano wa umoja wa ulaya katika kutoa msaada wa kijeshi

Umoja wa Ulaya unafanya mchakato wa kuanzisha jeshi la kuaminika nchini Mali, ambako waasi wenye itikadi kali ya Kiislamu wamelidhibiti eneo la kaskazini baada ya mapinduzi ya kijeshi nchini humo.
Mali wamekaribisha Mrusi na kuondoa takataka
 
Ni hivi mkuu kama wangeweza kumpa misaada direct wasingefikia kufanya uamuz mgumu hiv ,ishu inayosadikika ni kuwa baada ya kujiunga na kupata status ya EU membership ,umoja wa ulaya kupitia policy yake ya ulinzi itaunda operation maalumu dhid ya kumlinda mwanachama mwezao ,ukumbuke pia member weng wa EU wako NATO hivyo wanaamini kabisa lazima Russia itarespond ,ni kama mtego maana Russia hatua yoyote ya kijeshi atakayotumia dhid ya EU inaweza ikaigusa NATO ,na hapo ndipo wanamtaka puttin ajichanganye aguse NATO member yoyote.ili wapate sababu ya kuingia direct ,maana hii vita bila kuingia direct Ukraine hataweza hata akisaidiwa vipi .

Endeleen kudanganyana ila nakuambia hakuna chawa yoyote mpaka Uyo superpower wenu wa mchongo Mr Canon hawezi kuthubutu kamwe.

EU hawawezi kwenda vitani bila US na hapo NATO lazima ihusike na nakwambia usifikiri NATO kama ataingia vitan Russia hawezi kuwa peke yake kuna NK, Iran, China, India, member wa CSTO wote lazma waje watoe sapoti hapo itakua WW3.
 
Mkuu hebu tafakari Tangazo la urusi kwamba Rafiki Yeyote wa Adui yangu ni adui yangu na Atakaye Msaidia Atakiona cha mtema kuni!
Huoni nchi za AU wamepuuza mkwala wa Putin na kuisaidia Ukreine?!
Huoni Mapuuza hayo ya AU ni Utayari kwa lolote??

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app

African Union??? (AU) mpaka unachanganya mafile jinsi mahaba yalivokujaa
 
Mkuu hebu tafakari Tangazo la urusi kwamba Rafiki Yeyote wa Adui yangu ni adui yangu na Atakaye Msaidia Atakiona cha mtema kuni!
Huoni nchi za AU wamepuuza mkwala wa Putin na kuisaidia Ukreine?!
Huoni Mapuuza hayo ya AU ni Utayari kwa lolote??

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app

Nikuulize swali wamepeleka jeshi au silaha??
 
Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Mtu mzima hatishiwi nyau
 
Hiki kipindi walikadilia vizuri sana kumpunguza Magufuli angekutana nacho hakika dunia ilikua inaenda kuona mabadiliko makubwa ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla alale salama Dkt. John Pombe Magufuli.
Jewe hakufika level hiyo
 
Back
Top Bottom