Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Not only war but to eliminate him once and for all. Kiufupi dunia itasimama.
 
Mkuu hebu tafakari Tangazo la urusi kwamba Rafiki Yeyote wa Adui yangu ni adui yangu na Atakaye Msaidia Atakiona cha mtema kuni!
Huoni nchi za AU wamepuuza mkwala wa Putin na kuisaidia Ukreine?!
Huoni Mapuuza hayo ya AU ni Utayari kwa lolote??

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Wapeleke wanajeshi ndio tujue wanamsaidia!Ila Kwa biashara ya Silaha,ni jambo la kawaida kwenye vita!US na washirika wake wanamtia hasara Ukraine,mzigo wa madeni baada ya vita itakuwa balaa!
 
Putina anaelewa kwamba Ukraine nayo ina haki ya kuwa na msimamo wake?!
Anaelewa sana,na yeye nchi yake Ina msimamo wake!Na msimamo wake ni Huo kuwa hataki harufu ya NATO!
Vita imetokea baada ya misimamo ya nchi hizo mbili kuwa na mgongano wa kimaslahi!
 
Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Ngoja tuone
 
Mzee kama EU wamechoka kuishi au wameichoka dunia bhs wajidanganye kuingia vitani na Russia nahis watoto wetu kwenye history watakua wanafundishwa kulikua na bara linaitwa ulaya”

Hakuna nchi Ulaya inayoweza pigana na Russia direct hata US mwenyewe hana huo ubavu. Mnajua wengi mmedanganywa na propaganda za west kuhusu majeshi yao ila kiuhalisia ni kawaida sana.

Wengi wenu humu mmeanza kuijua Russia wakati wa kipindi hiki cha mgogoro na Ukraine.

VITA PEKEE EU WANAYOWEZA NI VIKWAZO.
He mkuu ni wewe uliandika hivi au uliamkia yale mambo yetu asubuhi, sasa Ukraine tu mwezi wa 5 huu Russia bado yuko vijiji vya pembeni mara anajitangazia kuvichukua mara anafurushwa unafikiri NATO na EU waingie fully si Russia litabaki jangwa tu
 
Alichofanya US nchini Libya,Iraq, Afghanistan na kwengineko ilikuwa anagawa zawadi kule eeh?
Huwezi kujistify makosa kwa makosa,
Pia hapa tunaiongelea Ukraine against Russia, Kwa kuwa hao wameonewa ndio turuhusu na hawa waonewe? Sio fair.
In justice we stand.
 
Ni hivi mkuu kama wangeweza kumpa misaada direct wasingefikia kufanya uamuz mgumu hiv ,ishu inayosadikika ni kuwa baada ya kujiunga na kupata status ya EU membership ,umoja wa ulaya kupitia policy yake ya ulinzi itaunda operation maalumu dhid ya kumlinda mwanachama mwezao ,ukumbuke pia member weng wa EU wako NATO hivyo wanaamini kabisa lazima Russia itarespond ,ni kama mtego maana Russia hatua yoyote ya kijeshi atakayotumia dhid ya EU inaweza ikaigusa NATO ,na hapo ndipo wanamtaka puttin ajichanganye aguse NATO member yoyote.ili wapate sababu ya kuingia direct ,maana hii vita bila kuingia direct Ukraine hataweza hata akisaidiwa vipi .
Hataweza tena
Hakuna ataethubute kupigana na RUSSO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Tunaomba chanzo cha taarifa tafadhali
 
Baeleze,
Ushabiki maandazi ni ujinga, yaani mtu anaona kuwa Russia yuko sahihi wakati anachofanya ni ubakaji.
RUSSO ipo SAHIHI
Kama haipo SAHIHI inatakiwa NATO wakamstopishe kama walivyofanya kwa LIBYA IRAQ nk
Kama haipo SAHIHI inatakiwa EU sio wapunguze yaani waache kabisa kufanya biashara na RUSSO
RUSSIA TAIFA TEULE
JamiiForums235736117.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita vyote vya duniani hupangwa na kuzimu. Vinaratibia na illuminanti au elites yaani wenye akili nyingi za dunia hii. Vita huhusisha umwagikaji mkubwa wa damu, na damu ndicho chakula kikuu cha mashetani ya kuzimu. Tuko majira ambayo Bwana Yesu anakuja kuwanyakua walio wake. Laiti tungemwamini Yesu, tukaamua kumpa maisha yetu ili ajapo asituache. Dunia itaendelea kuwa sehemu mbaya ya kuishi, ladha ya dunia itaendelea kupotea.



YESU KRISTO ni BWANA na MWOKOZI
 
Mkuu hii uliyotaja ni formality tu lakini nyuma ya pazia hali ndivyo itakavyokuwa, kwani saivi mbona EU na Marekani wanaisaidia silaha Ukraine, wanaisaidia kwa umoja wao upi?? taja.,
Muache upotoshaji
UKRAINE anasaidiwa na silaha nakila anaeona anaweza
US mwanachama wa EU
JAPAN mwanachama wa EU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Upo sahihi kabisa NATO wanaenda kisheria kwa Sababu hili swala ni long planned event .Lengo ni kumtoa Putin madarakani na ishu ni ya USA na bado watu wanabisha eti hii vita vita Urusi atashinda,ajabu Sana Yani kweli upambane na USA unashindaje ?Kwa hali ilivo Putin ajiandae kwenda kuzimu kwa lazima muda wake umeisha.
 
Lakini baada ya walio mislead kikosi kufurushwa umeona mkong'oto unaotembezwa na chenchens na wagner?

Mkong'oto upi, jameni kila nikikaa nilinganishe Urusi ambayo niliiskia miaka yote na hii nabakii kushangaa sana, kainchi kadogo pembeni walipaswa wawe wamekafunika na kusimika uongozi wao unaoimba wimbo wa taifa wa Urusi.
Leo wameishia kuburuzana huko kwenye tumiji twa mipakani, naomba mtu yeyote mwenye akili timamu aitazame hii picha mara kumi na kupata aibu...
Kila nikiitazama yaani nashangaa sana

where-are-ukraine-&-russia.jpg
 
Hao NYETO sijui NATO wanaonea nchi za uarabunu na Africa ila when comes to RUSSIA lazima mkia ufyate kama mbwa koko
Ila wabongo ni viazi yaani NATO ndio unawaita NYETO sio , aubkwa vile umezoea kujisugua Kwa kupigwa NYETO bafuni basi kila kitu unawaza NYETO Tu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38] sasa magufuli angewafanya nini weatern kama 60% ya bajeti wao ndio wana fund, magufuli alikuwa anawatisha nyinyi wananchi wake lakini siyo western
Mkuu Kuna watu ni WA kuhurumia maana ni kama Wana msongo wa mawazo ,fikilia Kuna watu waliamini eti nchi yetu ni donakantri na Bado wakashangilia kama mazuzu,Pole yao .
 
Back
Top Bottom