Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Soma historia kijana, Wakubwa wa Ulaya huwa hawaikubali Urusi tangu enz na enz km Tz tusivyokubalika East Africa sabab ya kutotaka kucopy with others, Urusi ndo taifa pekee balani Ulaya lenye akili za Ki Asia (udikteta na utawala wa mabavu usiojali nin wananch wanataka, nguvu ya dola ipo mikononi mwa mtu mmoja, ona UK juz walikuwa wana mchallange Boris ila Bunge la Urusi halina kauli dhidi ya Putin, hiki ndo Mabeberu hawakitaki)
Hawakitaki wao kama nani katika uso wa dunia? Hizo System zao wanaozisimamia si kikundi cha washenzi wanaotaka kuendesha dunia nzima kama mali yao binafsi kwa uhuru wa bendera tu.

Wanarasimisha mambo ya kishetani kwa muda mrefu tu hadi sasa kufikia kueneza ushoga duniani. Urusi wamegoma kuwa ng'ombe kwa muda mrefu sana na hata leo wako na msimamo wao. Nchi yao ina watu wenye akili nyingi tu ambazo wamezitumia miaka yote na hadi leo wanazitumia kujiendeshea maisha yao kivyao.

Wanachotaka hao washenzi ni kuuvunja utaratibu wa Urusi ili walete democrasia yao uchwara ili waweke mamluki waiharibu Urusi. Hawataweza kamwe!
 
Mkuu, si nchi za EU tu ambazo haziwezi ku-risk kuingia vitani na Urusi, hata Amerika haina ubavu wa kuingia vitani moja kwa moja na Urusi - they know military capabilities of them Russians should they decide to unleash their formidable weapons/missiles which western nations have no capabilities of intercepting them!!
Haaahaaa..🤣🤣🤣...sawa Chief of Military intelligence wa russia na USA kwa pamoja
 
Mleta mada tofautisha kati ya EU na NATO...

EU haina jeshi la pamoja hapo ni masuala ya kiuchumi na kijamii. Member wa EU wanajitegemea kila mmoja na jeshi lake.

NATO ndio wana jeshi ambalo ni baadhi ya nchi za ulaya pamoja na marekani.

So hakuna kitisho kwa usalama wa Russia kwa Ukraine kujiunga EU.

Na kumbuka kwenye EU mmoja wa superpower alishajitoa. Muingereza.

Nakushauri FUTA huu uzi.
Mkuu hii uliyotaja ni formality tu lakini nyuma ya pazia hali ndivyo itakavyokuwa, kwani saivi mbona EU na Marekani wanaisaidia silaha Ukraine, wanaisaidia kwa umoja wao upi?? taja.,
 
Kwanza kila nchi ya Ulaya ina Nukes, isitoshe imeshagundulika zana nyingi za Mrusi ni Obsolete, hana jipya, pili Mrusi ana silaha lakini hana mbinu za Kivita, mfumo wa jeshi lake sio wa kisasa, sasa hivi Vita vinapiganwa kwa Tekinolojia, Kabla haujalaunch hiyo Silaha yake atakuwa ameshashambuliwa, Kwa taarifa yako kupitia Vita hii Amejiexpose sana.
Huku BBC wakikiri kuwa kuna tambo la S-5OO ambalo limezinduliwa hamna ndege wala missile itakatisha kwenye zone yake na hilo tambo ni la mrusi. Sasa endeleeni kujitia wazimu tu😂😂😂😂
 
Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Tanzania hatujawahi mtegemea Ukraine wala Russia kwa chakula. Nishati sawa.
 
Mkuu hii Russia anaita special operation, sio vita! Waziri wa Mambo ya nje wa Russia alipoulizwa kwanini vita imechukua muda mrefu tofauti na watu walivyohisi kama ingechukua siku 3 na hivyo kuwaona Russia kama jeshi dhaifu!

Majibu yalikuwa hivi,Russia haijataka kufanya kama kile US alichofanya huko Afghan au Yugoslav,Russia inaenda taratibu Ili kupunguza vifo vya raia wa Ukraine! Pia akasema askari wa Ukraine wamekuwa wakitega mabomu ardhini kila wanaporudishwa nyuma,hiyo imepelekea wao kwenda taratibu kusecure kwanza maeneo yenye mabomu ya kufukia ndio waadvance!

Lakini akasema Kwa bahati mbaya mabomu hayo yameua raia wa Ukraine ambao hawajaondoka kwenye war zones!

My take:Russia sio wa kumchukulia poa,US analijua Hilo ndio maana kila siku hataki escalation of the war!
Fikiri jinsi Russia anavyozishambulia silaha za west kabla hata ya kufika site! Mpaka US anaogopa kupeleka drones zake Kwa kuogopa zitakamatwa na Russia!

Ikiingia world war 3, hiyo itakuwa vita ya nukes! We Sema Ulaya Wana Nuclear,lakini Urusi pekee anamiliki nukes kuliko ulaya nzima!Us ndio anafatia Kwa umiliki wa nukes baada ya Russia!
Sio nukes tu bali ni nukes za mwendokasi ambao hata US anazishangaa.😂😂😂! Wakati una launch la kwanza kabla halijafika urusi mshalipuliwa
 
You are unquestionably a brilliant person, lakini wakati mwingine sijui analytical mind yako inaingiliwa nini!!!

Ni hivi: Military GURUS wa Ulaya na US walisha sema mara nyingi tu, kwamba jeshi la Russia alikuwa na mpago/nia ya kuteka jiji la Kiev - convoy ya jeshi la Urusi uliyo kwenda kwenye viunga vya mji wa Kiev ilipelekwa pale mahususi kama decoy ili kumfanya Zelensky ahamishe idadi kubwa ya wanajeshi wake kutoka kusini mwa Ukraine kuja kaskazini kuongeza ulizi wa ku-defend Kiev - Zelensky na washauri wake wa mataifa ya magharibi waliamini kabisa kwamba Putin amepania kuuteka mji wa Kiev-kumbe hiyo si kweli - Putin alicho fanya ni kuwachezea akili Ukraine top brass military war planers ili wapunguze nguvu za ulinzi kusini mwa Ukraine kwa kuzihamishia kaskazini kulinda mji wa Kiev na viunga vyake - Putins plan worked well,ndio maana wanajeshi wa Russia wali-withdraw banda ya lengo lao kukamilika,lakini western media wanasema eti jeshi la Ukraine ndilo lilifanikiwa kuwaondoa wanajeshi wa Russia kwa kuwashinda - hiyo si kweli,waliondoka kwa hiari yao.

As I said, Putins plan paid off eventually ndio maana wanajeshi wake wamefanikiwa kuteka sehemu kubwa ya kusini mwa Ukraine yenye wakazi wengi wenye asili ya Urusi,lengo la Putin kuingia vitani ilikuwa ni kuwakomboa raia wa kusini mwa Ukraine walio kuwa wananyanyaswa na kubaguliwa na Serikali ya Zelensky na jeshi la AZOV ambalo ni neo NAZI - narudia kukumbusha kwamba Putin hana mpango wa Kuikalia Ukraine wala kuteka Kiev,anacho taka kwanza ni kuhakikishiwa usalama wa Taifa lake pia na kuwalinda Waukraine wenye asili ya Russia ili wajitawale - ukweli huo mbona unajulikana lakini media za magharibi zinaeneza propaganda zenye lengo la ku-demonise Putin ili aonekane ni a seasoned aggressor na wewe ni part and parcel of this dirty game, kumbuka Putin anaongozwa na Mungu kupambana na Mataifa ambayo yanijifanya ni Miungu wa Dunia -wanayanyasa mataifa ambayo ni military weak,kugawa Dunia kwenye makambi ya ajabu ajabu na kuwafanya watu/mataifa yasielewane-vurugu mwanzo mwisho.

Haya ndio mambo ambayo huwa mnajiambia na kujiliwaza kana kwamba hatukua wote humu, tulishuhudia jinsi gani Urusi walifeli both tactically and strategically kwenye kujaribu kuparamia Kyev, waliingia hasara balaa, ikawa wanajeshi wao wanakufa kwenye kila jaribio, kitongoji kwa kitongoji, supply ikashindikana.

Tatizo kubwa la Urusi lilikua intelligence, walikua wameaminishwa visivyo, kamba wataingia na kuungwa mikono na watu wa Ukraine moja kwa moja na kwamba wanajeshi wa Ukraine watakata tamaa mwanzoni.
Kila walichokifanya kikawa majanga na kinyume cha matarajio yao, nakumbuka pale Kyev ndege iliyokua imebeba makomando 400 wa kikosi cha 331st Airborne Regiment kudunguliwa wakafa kwa mpigo mmoja.
 
Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Kujiunga na EU kuna taratibu zake na ni ndefu.

Haitatoke eti viongozi wa EU waamke asubuhi na kuzivunja.

Usifikiri EU inaendeshwa kama banana republic...
 
Haya ndio mambo ambayo huwa mnajiambia na kujiliwaza kana kwamba hatukua wote humu, tulishuhudia jinsi gani Urusi walifeli both tactically and strategically kwenye kujaribu kuparamia Kyev, waliingia hasara balaa, ikawa wanajeshi wao wanakufa kwenye kila jaribio, kitongoji kwa kitongoji, supply ikashindikana.

Tatizo kubwa la Urusi lilikua intelligence, walikua wameaminishwa visivyo, kamba wataingia na kuungwa mikono na watu wa Ukraine moja kwa moja na kwamba wanajeshi wa Ukraine watakata tamaa mwanzoni.
Kila walichokifanya kikawa majanga na kinyume cha matarajio yao, nakumbuka pale Kyev ndege iliyokua imebeba makomando 400 wa kikosi cha 331st Airborne Regiment kudunguliwa wakafa kwa mpigo mmoja.
Lakini baada ya walio mislead kikosi kufurushwa umeona mkong'oto unaotembezwa na chenchens na wagner?
 
Back
Top Bottom