Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Hapana. Kalima mama yako.Hizo chapati unazokula ngano kalima baba yako??
Njoo manyara utakuta ngano zimejaa vitita kwa vitita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Kalima mama yako.Hizo chapati unazokula ngano kalima baba yako??
Hapana. Kalima mama yako.
Njoo manyara utakuta ngano zimejaa vitita kwa vitita.
Hawakitaki wao kama nani katika uso wa dunia? Hizo System zao wanaozisimamia si kikundi cha washenzi wanaotaka kuendesha dunia nzima kama mali yao binafsi kwa uhuru wa bendera tu.Soma historia kijana, Wakubwa wa Ulaya huwa hawaikubali Urusi tangu enz na enz km Tz tusivyokubalika East Africa sabab ya kutotaka kucopy with others, Urusi ndo taifa pekee balani Ulaya lenye akili za Ki Asia (udikteta na utawala wa mabavu usiojali nin wananch wanataka, nguvu ya dola ipo mikononi mwa mtu mmoja, ona UK juz walikuwa wana mchallange Boris ila Bunge la Urusi halina kauli dhidi ya Putin, hiki ndo Mabeberu hawakitaki)
Magufuli lazma angekula jet kwenda kumsabahi mnyamakazi toka Kremlin MoscowHiki kipindi walikadilia vizuri sana kumpunguza Magufuli angekutana nacho hakika dunia ilikua inaenda kuona mabadiliko makubwa ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla alale salama Dkt. John Pombe Magufuli.
Haaahaaa..🤣🤣🤣...sawa Chief of Military intelligence wa russia na USA kwa pamojaMkuu, si nchi za EU tu ambazo haziwezi ku-risk kuingia vitani na Urusi, hata Amerika haina ubavu wa kuingia vitani moja kwa moja na Urusi - they know military capabilities of them Russians should they decide to unleash their formidable weapons/missiles which western nations have no capabilities of intercepting them!!
Kama muhuni ni yule wa "No Action Talking Only" hakika tutashuhudia mabadiliko makubwaSasa wakati wa kumpiga muhuni umefika anazidi kuingia kwenye kumi na nane za wanaume sasa kashaelekezwa machinjioni.
Mkuu hii uliyotaja ni formality tu lakini nyuma ya pazia hali ndivyo itakavyokuwa, kwani saivi mbona EU na Marekani wanaisaidia silaha Ukraine, wanaisaidia kwa umoja wao upi?? taja.,Mleta mada tofautisha kati ya EU na NATO...
EU haina jeshi la pamoja hapo ni masuala ya kiuchumi na kijamii. Member wa EU wanajitegemea kila mmoja na jeshi lake.
NATO ndio wana jeshi ambalo ni baadhi ya nchi za ulaya pamoja na marekani.
So hakuna kitisho kwa usalama wa Russia kwa Ukraine kujiunga EU.
Na kumbuka kwenye EU mmoja wa superpower alishajitoa. Muingereza.
Nakushauri FUTA huu uzi.
Huku BBC wakikiri kuwa kuna tambo la S-5OO ambalo limezinduliwa hamna ndege wala missile itakatisha kwenye zone yake na hilo tambo ni la mrusi. Sasa endeleeni kujitia wazimu tu😂😂😂😂Kwanza kila nchi ya Ulaya ina Nukes, isitoshe imeshagundulika zana nyingi za Mrusi ni Obsolete, hana jipya, pili Mrusi ana silaha lakini hana mbinu za Kivita, mfumo wa jeshi lake sio wa kisasa, sasa hivi Vita vinapiganwa kwa Tekinolojia, Kabla haujalaunch hiyo Silaha yake atakuwa ameshashambuliwa, Kwa taarifa yako kupitia Vita hii Amejiexpose sana.
Tanzania hatujawahi mtegemea Ukraine wala Russia kwa chakula. Nishati sawa.Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.
Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.
Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.
Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.
Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Sio nukes tu bali ni nukes za mwendokasi ambao hata US anazishangaa.😂😂😂! Wakati una launch la kwanza kabla halijafika urusi mshalipuliwaMkuu hii Russia anaita special operation, sio vita! Waziri wa Mambo ya nje wa Russia alipoulizwa kwanini vita imechukua muda mrefu tofauti na watu walivyohisi kama ingechukua siku 3 na hivyo kuwaona Russia kama jeshi dhaifu!
Majibu yalikuwa hivi,Russia haijataka kufanya kama kile US alichofanya huko Afghan au Yugoslav,Russia inaenda taratibu Ili kupunguza vifo vya raia wa Ukraine! Pia akasema askari wa Ukraine wamekuwa wakitega mabomu ardhini kila wanaporudishwa nyuma,hiyo imepelekea wao kwenda taratibu kusecure kwanza maeneo yenye mabomu ya kufukia ndio waadvance!
Lakini akasema Kwa bahati mbaya mabomu hayo yameua raia wa Ukraine ambao hawajaondoka kwenye war zones!
My take:Russia sio wa kumchukulia poa,US analijua Hilo ndio maana kila siku hataki escalation of the war!
Fikiri jinsi Russia anavyozishambulia silaha za west kabla hata ya kufika site! Mpaka US anaogopa kupeleka drones zake Kwa kuogopa zitakamatwa na Russia!
Ikiingia world war 3, hiyo itakuwa vita ya nukes! We Sema Ulaya Wana Nuclear,lakini Urusi pekee anamiliki nukes kuliko ulaya nzima!Us ndio anafatia Kwa umiliki wa nukes baada ya Russia!
Ubakaji wa nini?Baeleze,
Ushabiki maandazi ni ujinga, yaani mtu anaona kuwa Russia yuko sahihi wakati anachofanya ni ubakaji.
You are unquestionably a brilliant person, lakini wakati mwingine sijui analytical mind yako inaingiliwa nini!!!
Ni hivi: Military GURUS wa Ulaya na US walisha sema mara nyingi tu, kwamba jeshi la Russia alikuwa na mpago/nia ya kuteka jiji la Kiev - convoy ya jeshi la Urusi uliyo kwenda kwenye viunga vya mji wa Kiev ilipelekwa pale mahususi kama decoy ili kumfanya Zelensky ahamishe idadi kubwa ya wanajeshi wake kutoka kusini mwa Ukraine kuja kaskazini kuongeza ulizi wa ku-defend Kiev - Zelensky na washauri wake wa mataifa ya magharibi waliamini kabisa kwamba Putin amepania kuuteka mji wa Kiev-kumbe hiyo si kweli - Putin alicho fanya ni kuwachezea akili Ukraine top brass military war planers ili wapunguze nguvu za ulinzi kusini mwa Ukraine kwa kuzihamishia kaskazini kulinda mji wa Kiev na viunga vyake - Putins plan worked well,ndio maana wanajeshi wa Russia wali-withdraw banda ya lengo lao kukamilika,lakini western media wanasema eti jeshi la Ukraine ndilo lilifanikiwa kuwaondoa wanajeshi wa Russia kwa kuwashinda - hiyo si kweli,waliondoka kwa hiari yao.
As I said, Putins plan paid off eventually ndio maana wanajeshi wake wamefanikiwa kuteka sehemu kubwa ya kusini mwa Ukraine yenye wakazi wengi wenye asili ya Urusi,lengo la Putin kuingia vitani ilikuwa ni kuwakomboa raia wa kusini mwa Ukraine walio kuwa wananyanyaswa na kubaguliwa na Serikali ya Zelensky na jeshi la AZOV ambalo ni neo NAZI - narudia kukumbusha kwamba Putin hana mpango wa Kuikalia Ukraine wala kuteka Kiev,anacho taka kwanza ni kuhakikishiwa usalama wa Taifa lake pia na kuwalinda Waukraine wenye asili ya Russia ili wajitawale - ukweli huo mbona unajulikana lakini media za magharibi zinaeneza propaganda zenye lengo la ku-demonise Putin ili aonekane ni a seasoned aggressor na wewe ni part and parcel of this dirty game, kumbuka Putin anaongozwa na Mungu kupambana na Mataifa ambayo yanijifanya ni Miungu wa Dunia -wanayanyasa mataifa ambayo ni military weak,kugawa Dunia kwenye makambi ya ajabu ajabu na kuwafanya watu/mataifa yasielewane-vurugu mwanzo mwisho.
Af washirika wote wanamtamani US 😂😂😂 yani wanammezea sana mate kmmmk ajitele tu wahuni watusafishie mashoga.Kumbuka mshirika Mkubwa wa Russia ni China+ Iran+ North Korea
NATO hawezi ingiza Mguu... ataishia kubweka tu
Kujiunga na EU kuna taratibu zake na ni ndefu.Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.
Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.
Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.
Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.
Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Well, ongeza juhudi ulime ngano ulishe mmeo na wanao badala ya kulia lia.Tuna agiza ngano 51% kutoka Russia afu unakuja kubweka bweka huku
Kila kitu,Ubakaji wa nini?
Lakini baada ya walio mislead kikosi kufurushwa umeona mkong'oto unaotembezwa na chenchens na wagner?Haya ndio mambo ambayo huwa mnajiambia na kujiliwaza kana kwamba hatukua wote humu, tulishuhudia jinsi gani Urusi walifeli both tactically and strategically kwenye kujaribu kuparamia Kyev, waliingia hasara balaa, ikawa wanajeshi wao wanakufa kwenye kila jaribio, kitongoji kwa kitongoji, supply ikashindikana.
Tatizo kubwa la Urusi lilikua intelligence, walikua wameaminishwa visivyo, kamba wataingia na kuungwa mikono na watu wa Ukraine moja kwa moja na kwamba wanajeshi wa Ukraine watakata tamaa mwanzoni.
Kila walichokifanya kikawa majanga na kinyume cha matarajio yao, nakumbuka pale Kyev ndege iliyokua imebeba makomando 400 wa kikosi cha 331st Airborne Regiment kudunguliwa wakafa kwa mpigo mmoja.