Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Hi post yako haina ukweli wowote. Kwa kifupi ni upotoshaji.

Kwanza EU haina jeshi hivyo kuingia kwa Ukraine EU hakuwezi kuleta tishio la kijeshi kwa Urusi. EU ni mambo ya kiuchumi na jamii.

Pili, wenye jeshi na ambao ukijiunga nao na ukawa na vita inakuwa vita ya wote ni NATO na sio EU.

Tatu, watakachopewa Ukraine sasa ni candidacy status, yaani haki ya kujiunga kuwa mwanachama. Tokea unapata hii status mpaka kupata uanachama huchukua zaidi ya miaka 10.

Ila tu EU ndio muhimu maana inaongozana na maisha bora, uchumi bora na uhuru mkubwa kwa watu wake. Hao wanaotaka kujitenga na Ukraine leo, miaka 10 ijayo Ukraine ikiingia EU, wao wenyewe watataka kurudi Ukraine. Kwani nani anapenda njaa? Kule Russia umaskini wa watu utaendelea kwa muda mrefu sana. Udikteta ni majanga.
 
Hi post yako haina ukweli wowote. Kwa kifupi ni upotoshaji.

Kwanza EU haina jeshi hivyo kuingia kwa Ukraine EU hakuwezi kuleta tishio la kijeshi kwa Urusi. EU ni mambo ya kiuchumi na jamii.

Pili, wenye jeshi na ambao ukijiunga nao na ukawa na vita inakuwa vita ya wote ni NATO na sio EU.

Tatu, watakachopewa Ukraine sasa ni candidacy status, yaani haki ya kujiunga kuwa mwanachama. Tokea unapata hii status mpaka kupata uanachama huchukua zaidi ya miaka 10.

Ila tu EU ndio muhimu maana inaongozana na maisha bora, uchumi bora na uhuru mkubwa kwa watu wake. Hao wanaotaka kujitenga na Ukraine leo, miaka 10 ijayo Ukraine ikiingia EU, wao wenyewe watataka kurudi Ukraine. Kwani nani anapenda njaa? Kule Russia umaskini wa watu utaendelea kwa muda mrefu sana. Udikteta ni majanga.
Mkuu usilete ushabiki kama hujui yanayoendelea
 
Mrusi kashaingia kwenye Target muda tu, ninachowapendea Ulaya hua wana mpango mkakati wa muda mrefu sana alikua anatafutwa panya wa kumfunga paka kengele ambaye ni Ukraine.
Pole mpendwa, utashuhudia Ukraine ilimegwa taratibu na mwishowe watakimbia mamluki wote wa West.
 
Upo sahihi kabisa NATO wanaenda kisheria kwa Sababu hili swala ni long planned event .Lengo ni kumtoa Putin madarakani na ishu ni ya USA na bado watu wanabisha eti hii vita vita Urusi atashinda,ajabu Sana Yani kweli upambane na USA unashindaje ?Kwa hali ilivo Putin ajiandae kwenda kuzimu kwa lazima muda wake umeisha.
Kama walivyoshinda VIET KONG

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkong'oto upi, jameni kila nikikaa nilinganishe Urusi ambayo niliiskia miaka yote na hii nabakii kushangaa sana, kainchi kadogo pembeni walipaswa wawe wamekafunika na kusimika uongozi wao unaoimba wimbo wa taifa wa Urusi.
Leo wameishia kuburuzana huko kwenye tumiji twa mipakani, naomba mtu yeyote mwenye akili timamu aitazame hii picha mara kumi na kupata aibu...
Kila nikiitazama yaani nashangaa sana

where-are-ukraine-&-russia.jpg
Hujui maana ya Special Millitary Operation eeh..
 
Hivi unadhani nchi gani ya EU Iko tayari kurisk kuwa kwenye vita na Urusi?
Hilo jambo haliwezi kutokea na litapingwa na member states wengi!
Unajidanganya. Dalili ziko wazi, Nato wanataka kuingia kazini!
 
Hivi hadi leo nato bado wanaendeleza vita ya maneno😁😁
Ulaya ni bingwa wa vita tangu enzi za kale na washaachiwa vitabu jinsi ya kuwashughulikia maadui ngoja uone mtaanza kusema ooh wamemuonea
 
Hi post yako haina ukweli wowote. Kwa kifupi ni upotoshaji.

Kwanza EU haina jeshi hivyo kuingia kwa Ukraine EU hakuwezi kuleta tishio la kijeshi kwa Urusi. EU ni mambo ya kiuchumi na jamii.

Pili, wenye jeshi na ambao ukijiunga nao na ukawa na vita inakuwa vita ya wote ni NATO na sio EU.

Tatu, watakachopewa Ukraine sasa ni candidacy status, yaani haki ya kujiunga kuwa mwanachama. Tokea unapata hii status mpaka kupata uanachama huchukua zaidi ya miaka 10.

Ila tu EU ndio muhimu maana inaongozana na maisha bora, uchumi bora na uhuru mkubwa kwa watu wake. Hao wanaotaka kujitenga na Ukraine leo, miaka 10 ijayo Ukraine ikiingia EU, wao wenyewe watataka kurudi Ukraine. Kwani nani anapenda njaa? Kule Russia umaskini wa watu utaendelea kwa muda mrefu sana. Udikteta ni majanga.
Umeandika ukweli huko juu
Ila bila yashaka alokwambia kama RUSSIA kuna njaa ni Biibiisi Vowa sieni eni dw nk
RUSSIA kungekua nanjaa na hv vikwazo tungeshuhudia maandamano makubwa sanaa sanaaa
Kama UDIKTEITA umeifanya RUSSIA kua ilivyo sasa inatakiwa DUNIA nzima itawaliwe KIDIKTEITA
RUSSIA TAIFA TEULE


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajidanganya. Dalili ziko wazi, Nato wanataka kuingia kazini!
Endelea kusubri,US baba Yao amesema wazi kuwa NATO haitapigana vita na Russia huko Ukraine kwani kufanya hivyo maana yake ni World war III,kitu ambacho US hawataki kitokee!
Pili,Moja ya sifa ya nchi kujiunga NATO ni nchi hiyo kutokuwa vitani!So Ukraine Kwa Sasa hawezi kujiunga NATO,ila anaweza kuwa member pending wa EU ambaye atapata manufaa ya EU baada ya vita kuisha!
 
Haya ndio mambo ambayo huwa mnajiambia na kujiliwaza kana kwamba hatukua wote humu, tulishuhudia jinsi gani Urusi walifeli both tactically and strategically kwenye kujaribu kuparamia Kyev, waliingia hasara balaa, ikawa wanajeshi wao wanakufa kwenye kila jaribio, kitongoji kwa kitongoji, supply ikashindikana.

Tatizo kubwa la Urusi lilikua intelligence, walikua wameaminishwa visivyo, kamba wataingia na kuungwa mikono na watu wa Ukraine moja kwa moja na kwamba wanajeshi wa Ukraine watakata tamaa mwanzoni.
Kila walichokifanya kikawa majanga na kinyume cha matarajio yao, nakumbuka pale Kyev ndege iliyokua imebeba makomando 400 wa kikosi cha 331st Airborne Regiment kudunguliwa wakafa kwa mpigo mmoja.

IMG_3922.jpg
 
Alipo Urusi hakuna wa kuingia, kuna watu hawapigwi mikwara ya njaa. Hakuna kurudi nyuma jinsi wanavyo mtafuta aingie kumi na nane zao na yeye ndo anawasubiri waingie kumi na nane zake ndo maana alianzisha yeye msako.
 
He mkuu ni wewe uliandika hivi au uliamkia yale mambo yetu asubuhi, sasa Ukraine tu mwezi wa 5 huu Russia bado yuko vijiji vya pembeni mara anajitangazia kuvichukua mara anafurushwa unafikiri NATO na EU waingie fully si Russia litabaki jangwa tu

Mdogo angu kaendlee kunyonya upate akili ndo madhara ya kupewa maziwa ya kopo akili kama hizi.
 
Huwezi kujistify makosa kwa makosa,
Pia hapa tunaiongelea Ukraine against Russia, Kwa kuwa hao wameonewa ndio turuhusu na hawa waonewe? Sio fair.
In justice we stand.

Ulishawai kuandika hata uzi kupinga huo unyama uliofanywa na Mr canon akiwa na shoga zake wa NATO? Kma hukuwai acha sindano iendelee kuingia taratibu kabisaaa
 
Upo sahihi kabisa NATO wanaenda kisheria kwa Sababu hili swala ni long planned event .Lengo ni kumtoa Putin madarakani na ishu ni ya USA na bado watu wanabisha eti hii vita vita Urusi atashinda,ajabu Sana Yani kweli upambane na USA unashindaje ?Kwa hali ilivo Putin ajiandae kwenda kuzimu kwa lazima muda wake umeisha.

Hahahahahahahahahahahahaa nyie watoto kweli US kawalisha propaganda aseee!! US kapambana na Russia pale syria na Venezuela alifanya nini tena kama kawaida yake akiwa na shoga zake alifanya nini?? Zaid ya kukimbia assad na maduro bado wanadunda tu.

Unazungumzia jeshi la US lililojaa mashoga ndo wataweza mtiti na Russia?? Maaninaanerrr jichanganyeni muingie vitani na sio maneno
IMG_3937.jpg
 
Back
Top Bottom