Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Vita vyote vya duniani hupangwa na kuzimu. Vinaratibia na illuminanti au elites yaani wenye akili nyingi za dunia hii. Vita huhusisha umwagikaji mkubwa wa damu, na damu ndicho chakula kikuu cha mashetani ya kuzimu. Tuko majira ambayo Bwana Yesu anakuja kuwanyakua walio wake. Laiti tungemwamini Yesu, tukaamua kumpa maisha yetu ili ajapo asituache. Dunia itaendelea kuwa sehemu mbaya ya kuishi, ladha ya dunia itaendelea kupotea.



YESU KRISTO ni BWANA na MWOKOZI
Embu acha mambo yako ya ajabu bhana wee jamaa vip asee
 
Tunaomba Mungu Ukraine apewe membership afu tuone EU watakachofanya. Nasubir kwa hamu sana.

Before operation mlisema Russia hawezi ingia Ukraine mlipiga kelele zote mara NATO wameweka mtego ambao ni ukraine aingie anase ila mwisho wa siku wamepiga kelele weee lakin hakuna Action yoyote zaid wanatuma silaha lakini hazina impact kwa Russia.

Sahv mmeanza tena kelele Ukraine aingie EU ili asaidiwe lakin nakuambia mpaka Russia anamaliza Operation yake Ukraine hata ingia EU na hakuna chochote EU watafanya wakiongozwa na shoga yao US.

Russia hajalala mkuu the way West wanapanga against Russia pia VISEVERSA is true. Never Underestimates the power of Russia. Hawa jamaa wamejipanga sana West walikurupuka sana walifikiri vikwazo vitamtoa kwenye raman Russia kumbe ndo vimekua moto kwao.

HAKUNA nchi Ulaya ya kuingia kwenye vita na Russia direct hakuna, EU wanamtegemea US na US hawezi pigana na Russia
emoji23.png
. Hapo ndo mjue kwanini mataifa 30 yanahangaika na kataifa kamoja Russia
emoji635.png
emoji23.png
emoji23.png
Mabeberu wanajua kucheza na muda sana. Mpk sasa Mrusi bado hajachukua nchi.
Kinachofanyika Ukraine atapewa silaha, hapo vita itachukua muda mrefu sana kwahiyo Mrusi hii itamuathiri kwasabb atatumia pesa nyingi sana kwenye vita.
Putin kacheza karata mbovu sana. Alikuwa ana mpango wa kuichukua Ukraine lkn ameshaikosa. Kameingia EU nini kinafuata?
Urusi anapigwa taratibu kama Libya. Gadhafi alifikiri anapigana na wanalibya kumbe na nchi za Magharibi
Aisee naomba source ya huu ujinga ulioandika hapa. Ni wapi Russia alisema anataka kuichukua Ukraine??
 
Wala siyo kweli. Putin hana uwezo huo kwasasa. Kiufupi hii vita urusi alikurupuka
Una kitu gani cha kuchukua Ukraine? Marekani atabaki kuwa Superpower country miaka 1000.
Unapigana vita ili uonekane una silaha kali sana. Putin hana akili aisee

Ila Wakenya akili zenu sijui mlipelekaga wapi asee, [emoji1316]. Tunajua wakenya ni washika buti wa US akianguka uyo Mr. Canon hamna chenu. Poleni
 
Sasa mbona wanalia hali mbaya kama Russia kapoteza hizo idadi, mtu mzima kama wewe kuendeleza propaganda ni aibu. Zelenskyy mwenyewe anakili hali mbaya.

Zelensky alianza kukiri hali mbaya tangu siku ya kwanza, kuna hata siku alisema inawezekana hii ikawa simu yake ya mwisho, sote tuliogopa sana maana tulidhani Urusi iliyokua inasifiwa miaka yote ndio yenyewe kumbe upuzi tu.
 
Kaka iko wazi kuwa urusi hajaingia kwenye vita na Ukraine, hii ni operesheni maalumu.
Urusi amewa treat Ukraine ki gentle sana.
1. Wanajeshi waliopelekwa Ukraine unaweza kuta hata kamandi 5 hazifiki.
2. Urusi kawa mkarimu hata kwa wenyeji wa ukraine, kuna video unaona kabisa wakazi wa ukreini wakiwazomea na kuwatupia madude gani yale yako kama mabomu ambayo ukreini ni maarufu nayo, lakini most of them walikuwa left unpunished. Kama kweli urusi angetaka kumaliza hii shughuli mapema nadhani ukreini sasa hivi ingekuwa na wakaz wachache sana. The operesheni is slow advancing but sure.
3. Zana anazotumia urusi ni zle za kizamani sana ukilinganisha na vifaa alivonavo, kuna wakati alitumia hypersonic missile watu mkaanza kelele nyingi
4. Urusi anauwezo wa kuifuta ukrein ndani ya siku moja ni vile tu ana huruma na wadogo zao wanaoshea vinasaba

Hizi bla bla zenu hazina mashiko, jamaa ameteswa sana na kainchi kadogo

1655796389-151.jpg
 
Hiki kipindi walikadilia vizuri sana kumpunguza Magufuli angekutana nacho hakika dunia ilikua inaenda kuona mabadiliko makubwa ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla alale salama Dkt. John Pombe Magufuli.
Kamfuate huko chato chini alikolala.
 
Ni hivi mkuu kama wangeweza kumpa misaada direct wasingefikia kufanya uamuz mgumu hiv ,ishu inayosadikika ni kuwa baada ya kujiunga na kupata status ya EU membership ,umoja wa ulaya kupitia policy yake ya ulinzi itaunda operation maalumu dhid ya kumlinda mwanachama mwezao ,ukumbuke pia member weng wa EU wako NATO hivyo wanaamini kabisa lazima Russia itarespond ,ni kama mtego maana Russia hatua yoyote ya kijeshi atakayotumia dhid ya EU inaweza ikaigusa NATO ,na hapo ndipo wanamtaka puttin ajichanganye aguse NATO member yoyote.ili wapate sababu ya kuingia direct ,maana hii vita bila kuingia direct Ukraine hataweza hata akisaidiwa vipi .
Nyie sijui mnakuwa na fikra za aina gani. Yaani Russia aivamie Moldova au Lithuenia au Estonia ndio vita ipiganwe kati ya russia na nato sababu tu warussia wamemgusa mwanachama mwenzao! Hii haiwezi kutokea. Labda aguswe German, France n alike. Sio hivyo vitakataka vinavyojiita nchi.
 
Kwanza kila nchi ya Ulaya ina Nukes, isitoshe imeshagundulika zana nyingi za Mrusi ni Obsolete, hana jipya, pili Mrusi ana silaha lakini hana mbinu za Kivita, mfumo wa jeshi lake sio wa kisasa, sasa hivi Vita vinapiganwa kwa Tekinolojia, Kabla haujalaunch hiyo Silaha yake atakuwa ameshashambuliwa, Kwa taarifa yako kupitia Vita hii Amejiexpose sana.
Ameshatumia laser weapons, hypersonic missiles n.k zote hizi ni silaha za kisasa katika ulimwengu huu. Bado wanaendelea kumsoma tu.
 
Military capability gani wakati tumeshuhudia aibu ya Mrusi pale Kyev, hovyoo sana, kainchi kadogo kamemsumbua akili.
Mrusi pona yake ni manyuklia kule ghalani hamna kingine, mpaka sasa angekua ashatiwa adabu.
Hata waarabu na dini yao watamhama, hawatanunua dhana kutoka kwake tena.
Tunaingia mwezi wa tano sasa wa operation.
 
Najua ni timu Urusi ila Putin hana akili.
Sasa hivi vita ni biashara. Unapigana vita ili uonekane una silaha nyingi za kisasa? Unapigana na Ukraine ili uchukue nini. Hasara kubwa sana hii
Marekani ataendelea kuitawala dunia miaka buku kwasabb inaongozwa na mawazo ya watu wengi. Hata akipewa uraisi mtoto mwenye umri wa 10 bado ataongoza tu.
Nchi zinazoongozwa na mawazo ya mtu mmoja ni majanga sana.
Ila Wakenya akili zenu sijui mlipelekaga wapi asee, [emoji1316]. Tunajua wakenya ni washika buti wa US akianguka uyo Mr. Canon hamna chenu. Poleni
 
Umewaza ujinga mpk unafikiri wengine wanawaza ujinga. Unafikiri lengo la Mrusi kuipiga Ukraine nini?
Huu mwezi wa 5 bado Mrusi anakomaa na Ukraine. Aibu sana
Putin ni mpumbaf sana. Watu wanapigana vita biashara. Nikitumia $ nitapata faida ya $ ngapi. Kama biashara hailipi unaachana nayo. Unaiba mafuta ili kuimarisha nchi zao kiuchumi ila yeye anapigana ili aonekane na silaha nyingi sana.
Ishi kibepari ndiyo utaona Putin alivyokuwa mjinga sana.
Aisee naomba source ya huu ujinga ulioandika hapa. Ni wapi Russia alisema anataka kuichukua Ukraine??
 
Under the Common Security and Defence Policy (CSDP), the EU takes a leading role in peacekeeping operations, conflict prevention and the strengthening of international security. It is an integral part of the EU's comprehensive approach towards crisis management, drawing on civilian and military assets. Almost 4,000 women and men help to promote peace and security where needed, providing stability and building resilience in fragile environments. Since the first CSDP missions and operations were launched back in 2003, the EU has undertaken over 37 overseas operations, using civilian and military missions and operations in several countries in Europe, Africa and Asia. As of today, there are 18 ongoing CSDP missions and operations, 11 of which are civilian, and 7 military.
Baba tofautisha military operation au civilian operation na VITA. Kinachopiganwa pale Ukraine ni VITA kwa mgongo wa military operation. EU , mmarekani mkorea mjapan hamna atakayetia mguu pale....

Vikwazo vyenyewe vinawashinda iwe vita.

Russia sio Libya
 
Ameshatumia laser weapons, hypersonic missiles n.k zote hizi ni silaha za kisasa katika ulimwengu huu. Bado wanaendelea kumsoma tu.

Then watamfanya nini? Wamepita marais wangapi vichwa panzi kuna aliyewai mgusa Russia?? Uyo babu yenu ndo ataweza mziki??

Ukweli mchungu ila endelea kuumia US hna uwezo wa kupambana na Russia. Na US hawezi ingia vitani peke yake bila shoga zake NATO. Kama kuna vita aliyowai pigana peke yake nitajie hapa
 
Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Wewe acha porojo UK lini imewahi kushinda vita? Vita sio porojo na maneno ya redioni ni vitendo na mauaji tu.
 
Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Tuna wasubiri uwanja wa vita, Urusi sio Zimbabwe
 
Then watamfanya nini? Wamepita marais wangapi vichwa panzi kuna aliyewai mgusa Russia?? Uyo babu yenu ndo ataweza mziki??

Ukweli mchungu ila endelea kuumia US hna uwezo wa kupambana na Russia. Na US hawezi ingia vitani peke yake bila shoga zake NATO. Kama kuna vita aliyowai pigana peke yake nitajie hapa
Hao bila vikao hawawezi pigana vita, utasikia US na washirika wake
 
Baba tofautisha military operation au civilian operation na VITA. Kinachopiganwa pale Ukraine ni VITA kwa mgongo wa military operation. EU , mmarekani mkorea mjapan hamna atakayetia mguu pale....

Vikwazo vyenyewe vinawashinda iwe vita.

Russia sio Libya
Nimegundua huna hoja zaid ya ushabik tuu na mahaba ya Russia
 
Back
Top Bottom