Haya majina ya JF ifike mahala tuwe tunabadilisha

KUITWA MISS NI CHEO SIYO UMRI. PIA AKIFANIKIWA KUOA ATAPEWA CHEO ( KE ) MRS. LAKINI PIA ENDAPO ATABARIKIWA KUWA MKUBWA WA HESHIMA ATAJIITA NA KUITWA LADY. Tuendelee wana jamvi
 
" Huo sasa umbea bro.
 
Kaka yangu kipenzi mito its about time sasa uwe bahari maana hiyo mito ishakuwa mingi mnoo tukiiunganisha tunapata bahari kabisa.
 
Kaka yangu kipenzi mito its about time sasa uwe bahari maana hiyo mito ishakuwa mingi mnoo tukiiunganisha tunapata bahari kabisa.
Hahaha sijui yuko wapi kaka angu jamani. Kama namuona atakavyocheka huko
 
Last edited:


Wewe wahangaika na majina....kimbembe kipo kwenye avatar...hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…