Haya majina ya vitu kwa kiingereza wengi hawafahamu

Haya majina ya vitu kwa kiingereza wengi hawafahamu

Mzuka wanajamvi!

Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa kiingereza.

1. Manati - Catapult
2. Ukwaju- Tamarind
3. Bamia - Ocra
4. Mafenesi - Jack fruit
5. Mastafeli- Soursop
4. Kupiga danadana - Juggling
5. Apple -Tufaa
6.

Ongezea mengine
Manati = Slingshot.
 
Mzuka wanajamvi!

Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa kiingereza.

1. Manati - Catapult
2. Ukwaju- Tamarind
3. Bamia - Ocra
4. Mafenesi - Jack fruit
5. Mastafeli- Soursop
4. Kupiga danadana - Juggling
5. Apple -Tufaa
6.

Ongezea mengine
Mchicha....?
 
Mzuka wanajamvi!

Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa kiingereza.

1. Manati - Catapult
2. Ukwaju- Tamarind
3. Bamia - Ocra
4. Mafenesi - Jack fruit
5. Mastafeli- Soursop
4. Kupiga danadana - Juggling
5. Apple -Tufaa
6.

Ongezea mengine
Bamia sio OCRA ni OKRA
 
Mzuka wanajamvi!

Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa kiingereza.

1. Manati - Catapult
2. Ukwaju- Tamarind
3. Bamia - Ocra
4. Mafenesi - Jack fruit
5. Mastafeli- Soursop
4. Kupiga danadana - Juggling
5. Apple -Tufaa
6.

Ongezea mengine
adriz njoo upate elimu kwa mkaldayo hapa..
 
Mzuka wanajamvi!

Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa kiingereza.

1. Manati - Catapult
2. Ukwaju- Tamarind
3. Bamia - Ocra
4. Mafenesi - Jack fruit
5. Mastafeli- Soursop
4. Kupiga danadana - Juggling
5. Apple -Tufaa
6.

Ongezea mengine
Ndugai=Jobo
 
Back
Top Bottom