uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Hapana wanazoea yes ila nyumba inakosa heshimaWao huwa wanaona kawaida tu. Hadi jirani wanakuwa washazoea. 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana wanazoea yes ila nyumba inakosa heshimaWao huwa wanaona kawaida tu. Hadi jirani wanakuwa washazoea. 😀
Alafu kuna wasukuma wa bariadi, vinapiga spana za kwa bibi hatariNini kilikukuta mkuu?
Mimi kuna myantuzu huyo wa bariadi nilizaa nae firstborn kipindi hicho napiga mishe kanda ya ziwa aiseeh si mtoto wa pili kataka kunibambikia nikastuka. sasa bhana si akaenda kunichezea kimila kama kunikomoa! .acha kabisa namshukuru Mungu nilijikata mapema 5 years now na deal na firstborn wangu tu.
Wanawake wa kanda ya ziwa wanaujua uchawi.
Wadigo unawaachaje
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
- Wangoni
Pia wanaachika mapema mkuuWachagga ni "intersection" maana kila set wapo; wakitajwa:
warembo wamo
Single maza wamo
Wasio na shape wamo
Wanaua waume zao wamo
Wenye vigimbi wamo
Wasomi wamo
Wapambanaji kimaisha wamo
Waoongoza kuolewa wamo
Wanoolewa na madon wapo
Hawa watu ni nouma na ajabu watu hawaachi kuoa Wachagga! Kongole kwenu mabinti wa Kichagga
Zote ni sifa zao. Tuwape maua yao kwa kweliPia wanaachika mapema mkuu
hawa sasa ndo wakuweka ndani mazima mnatoa kizazi ngunguli kabisa hamna mtu kuonewa kizembekizembe😅awe me au ke ni ngumi mkononi yani kinanuka muda wowote ukizubaa unakula mashine kadhaa za uso akili inakaa sawa,,,dadekhMwanamke wa kijita/kikerewe mkikosana ndani yeye anatoka nje kurusha mawe na matusi. 😂😂
☝️☝️☝️Bado watu mnajadili makabila?
Huwa natazama hii kanda ya ziwa, wanawake wengi wa kikerewe ni walioachika. Kama ni binti ulipanga kumuoa mipango inakata kabisa.Hapana wanazoea yes ila nyumba inakosa heshima
Wakerewe na wajita hao usingeweza kabisa infact sijaona aliyeweza hao kibri Yao iko juu kuliko kawaidaHuwa natazama hii kanda ya ziwa, wengi ni walioachika. Kama ni binti ulipanga kumuoa mipango inakata kabisa.
Nilidate na binti kutoka wa kikerewe, mkipishana kidogo atatiririka weee.
Kama ni message anazitirisha kama mvua, hata mvua nadhani inaweza ikakata. Yaani we unakuwa unaziangalia tu kama muvi. 😂
Kaka, mwanamke wa hivi hapana kabisa! Ulishawahi kufanyiwa fujo ofisini?hawa sasa ndo wakuweka ndani mazima mnatoa kizazi ngunguli kabisa hamna mtu kuonewa kizembekizembe😅awe me au ke ni ngumi mkononi yani kinanuka muda wowote ukizubaa unakula mashine kadhaa za uso akili inakaa sawa,,,dadekh
Wanajiamini kwa kuwa yale mambo ya kuchapa maji katikati ya ziwa, na kumuagiza mamba. 😂Wakerewe na wajita hao usingeweza kabisa infact sijaona aliyeweza hao kibri Yao iko juu kuliko kawaida
Hao jamaa wanapenda ubinafsi sana na hawana kumbukumbu. Ukisaidia hao watu usitegemee kukumbukwa. Japo sio wote ila niliokutana nao wako hivyo.Mkuu mbona unanitisha nilitaka kwenda ngara kutafuta mrembo wa kihangaza kuna watu humu waliwasifia kuwa ni wife material
wamba sana hawa,,,bendera chuma mlingoti chuma🤣 hawa ndo wenyewe sasa. we ukiweka nayeye anaweka. hakuna unyonge. nlimjuaga mmoja uyo mkurya wa tarime kanda maalum na mwingine mmeru wale wa juu kule milimani uko chuganistan wako ivo. hakuna nyenyenye,,,usipomtafuta nayey anapiga kimya.Kaka, mwanamke wa hivi hapana kabisa! Ulishawahi kufanyiwa fujo ofisini?
Mwanamke mmekosana ndani yeye anakamata safari hadi ofisini kwako kuharibu mali. Ofisi yenyewe ya watu, kazi umepata kwa mchongo, yeye anakuja kuvunja na kuharibu mali za watu. 😂
Kwahiyo mkuu ukiachana na hayo ya ubinafsi vipi wametulia?Hao jamaa wanapenda ubinafsi sana na hawana kumbukumbu. Ukisaidia hao watu usitegemee kukumbukwa. Japo sio wote ila niliokutana nao wako hivyo.
😂😂 Watu wa mishe mishe. Kwenye zali wanaliamsha. Watu wa heka heka! Aisee mimi hapana wa hivo.wamba sana hawa,,,bendera chuma mlingoti chuma🤣 hawa ndo wenyewe sasa. we ukiweka nayeye anaweka. hakuna unyonge. nlimjuaga mmoja uyo mkurya wa tarime kanda maalum na mwingine mmeru wale wa juu kule milimani uko chuganistan wako ivo. hakuna nyenyenye,,,usipomtafuta nayey anapiga kimya.
😆😆😆wamba sana hao. ukijifanya unaliamsha nayeye analiamsha tifu marambili zaidi yako. usipokaa sawa zinapigwa ngumi👊🤜 kavukavu😅😂😂 Watu wa mishe mishe. Kwenye zali wanaliamsha. Watu wa heka heka! Aisee mimi hapana wa hivo.
We hujakutana na wajaluo wenye dharau za juu ninaye hapa kifupi ninalea mtoto tu jeuri ,mafanikio ya wengine anayarelate na yeye anazeekea nyumban ukimshauri achana na mishe zako hizo za kuvolunteer ualimu upige mishi ni ubishi,Hongera sana mkuu.
Mi pia ninaye mmoja hapa pembeni yangu.
Wanawake wa kijaluo huwa hawana mawenge.
Ni watulivu, wavumilivu na wanajua kutunza ndoa, familia na ndugu wanaokuhusu.