Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba mama mkwe anataka cash flow iwe constant. Daah! Kuna umuhimu kuoa kabila mnalofanana; angalauMama mkwe anamwambia binti yake alieko kwny ndoa almost 3 years, 'bora angeolewa na mchaga mwenzie kuliko kabila alilochagua'. Kisa jmaaa mambo magumu anapambana ingawa kipindi cha nyuma mambo yalikua mazuri. Sahivi apeche alolo hta wakwe hawamtaki jamaa.........hizi stori sikia tu kwa watu yasikukute
Bhaa! Kumbe extraordinaryKwa upande wa wamakonde huwa mnawaonea tu kwa kutojua.
Mtu yoyote anayetoka kusini huwa anahesabika ni mmakonde.
Ila kule kuna wamwera, wayao, wamakua nk ambao ni namba chafu kuliko wamakonde
rukwa wapewe dhambi zote za tz waende Burundi chap 😄Wajita, wahaya, waha, wahangaza na kabila Moja ipo Rukwa nimeisahau, ni makabila ya ajabu sana
Hapa NDOA lazima aione tamuWachaga watoe hapo
Hakuna binadamu anaweza kubadilika kama hajaitaji kubadirika ,ni 10% tu ya watu wa asili hubadilika baada yakuwa subjected ktk mazingira tofuti na hata ikiwa hivyo Ecológical mutual exclusive principle inahusika.Ni imani za kipuuzi zilizo pitwa na wakati , hakuna kitu inaitwa asili, binadamu ni mtu wa kubadilika
Hawa wanaotamka wazi wazi nataka kuwa single maza?Wachaga watoe hapo
Hakuna single Maza anawish kuwa Ivo hao ni mapepo tu...tunaongelea a really SMHawa wanaotamka wazi wazi nataka kuwa single maza?
Hakuna cha mapepo,others wanafunga na kuomba sanaaa,wanajifanya watakatifu kumbe ndio ma vampireHakuna single Maza anawish kuwa Ivo hao ni mapepo tu...tunaongelea a really SM
Baadhi ya makabila inaweza kuwa ni mchanganyiko wa mambo ya kijamii, kitamaduni, na kiuchumi ambayo yanabadilika kulingana na mazingira ya jamii husika.
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
- Wangoni
nilishaacha kuchunguza kabila la kuoa, nitaoa kabila lolote nitakayempendaHuo muda wa kuchunguza makabila unautoa wapi ? Ishu hiyo ni janga la taifa ...
Ushuhuda ni mkubwa sanaBila wamekua na wamburu hii list ni batili
Mama mkwe kala sana hela za jamaa enzi hzo jamaa parking imejaa kwelikweli....pochi nene, sahiv naona mwamba anaonekana kama mdoli tu....nachopenda mwamba ni smart, anakwambia zitarudi na zaidi ila amepata somo la maisha yake. Kwahyo aluta continua🫡Kwamba mama mkwe anataka cash flow iwe constant. Daah! Kuna umuhimu kuoa kabila mnalofanana; angalau
Kinachonisikitisha ni kwamba Mzazi anatamani mtoto aolewe, tena aolewe na mtu mwenye uwezo lakini linapokuja suala la kukosa cash Mzazi huyo huyo anajifanya hajui kuna wakati inatokea kuyumba kiuchumi.Mama mkwe kala sana hela za jamaa enzi hzo jamaa parking imejaa kwelikweli....pochi nene, sahiv naona mwamba anaonekana kama mdoli tu....nachopenda mwamba ni smart, anakwambia zitarudi na zaidi ila amepata somo la maisha yake. Kwahyo aluta continua🫡
Hahahahaa, mkuki kwa nguruwe ok, ila kwa binadamu pilipili.Yanapotajwa makabila ya wenzenu mna like, yakitajwa ya kwenu mnakua mbogo.
Akikaa sawa watamchekea tena. Kazi sana haya maisha. Ila ndo vile akili kumkichwaKinachonisikitisha ni kwamba Mzazi anatamani mtoto aolewe, tena aolewe na mtu mwenye uwezo lakini linapokuja suala la kukosa cash Mzazi huyo huyo anajifanya hajui kuna wakati inatokea kuyumba kiuchumi.