Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
SAHIHI mkuu nakubaliana na weweYah majority wana tatizo hilo ndio maana kesi za mauaji ni nyingi huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAHIHI mkuu nakubaliana na weweYah majority wana tatizo hilo ndio maana kesi za mauaji ni nyingi huko
Umenena vyema ukioa kule itabidi usisasufiri hovyohovyo wahuni watakusaidiasahihi jumlisha na wabende wako katavi pia, hawa kila mtoto ana babake na hawana tabu
🦝🦝🦝 Wana inyonga mnatumanbo mamboOhooo sisi wanaInyonga na Mpimbwe tumekumbukwa 😝😝😝
Sawa mke wanguKuwa na adabu we kinuka mkojo
Sawa na Paris je??Ipo....
Sawa na Paris je??
Ndio nini hiki umeandika??
😂😂😂😂😂😂🙌🙌Siga okwamba ntegelesye amasango ge chimumu ku Chalo kunu!
Wachaga wanaongoza kuolewa
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
- Wangoni
😂😂Sasa kama mnataja wote wa kusini, magharibi, kaskazini na kanda ya kati sasa huwa mnaoa kutoka wapi? Au mnaoa wakenya?
Duuhshemeji yangu alioa huyo mke kutoka mbeya.
Sijawahi kuona hata kusikia alichokifanya mke wake huyo kutoa mbeya .
1)Alichukua chaga za kitanda wanacholalia yeye na mumewe akatoa zile mbao akapikia chakula sababu gesi ya kupikia iliisha na mumewe hakuwepo alisafiri kikazi kwenye biashara,wakiwa na ugomvi.
2) ndo ilikuwa na ugomvi wa hapa na pale sitaki nirukie hitimisho kuwa source ni nank mana ni ndoa za vijana wadogo wote eraly 30s
3)kingine kilichonishangaza ni mke kihamishia hasira kwa wototo na kuwatoa kwenye members wanufaika wategemezi wa bima yake NHIF,mwanamke asingiziwi watoto aliowazaa,hata kama alikuwa na ugomvi ma mumewe watoto asingewakasirikia.
3)mahakama baada ya ndoa kuvunjia ina amua watoto wakae na baba shemeji na kumuona mama hafai kukaa na watoto hata yule mdogo wa chini ya miaka 7,
mke kumsikiliza mchungaji zaidi ya mume na kutumia muda mwingi kusali badala ya kuhudumia familia,mtoto mdogo mpaka shemeji mumewe akawa namuhudumia mtoto mdogo kumpa chakula maziwa ,mke yupo kabisani mpaka kurudi usiku
Wanyakyusa wana ginasiana vinashabihiana na wahaya kwa tambo na mashauziMI nawaopenda wanyakikyusa Ila nimeanza kuona wakishapata degree moja n. K wa nahisi kama wamemaliza Kila ktu Tena akiwa muajiriwa na Ana kigari chake
Dah! Ume bold kabisaKwa WAJITA ni hatari.
Wakurya ,wajita ni wale wale mambo yao,kuna kabinti kakikurya yaani kabishi na kisirani mbaya sikumaliza nako miezi miwili nikarejea usimbeni till nowAlikuwa na narcissist disorder huyo.
Malezi yana mchango mkubwa piaNami huwa najiuliza, wanaponda makabila yote. Hata huko Kenya wengi ni ndugu na mipaka mingi, watu wameoana tumekuwa kama sawa tu.
Kuna watu wengi wana tabia tofauti kabisa na makabila yanavyosemwa. Pia watu wamechanganya sana, bado hizo tabia zinatajwa!!! Hawa watu 😄😄😄😄
Wale malezi kwao ni vita tu🤣 yani utata mwanzo mwisho ndio maana end product huwa hivyo hivyo.Wakurya ,wajita ni wale wale mambo yao,kuna kabinti kakikurya yaani kabishi na kisirani mbaya sikumaliza nako miezi miwili nikarejea usimbeni till now
Nimeishi na waha hapa mjini Ni wachafu kupitiliza. Chumba kimoja wanakaa watu 10 kupika humo humo vyoo vipo jirani lakini wanakojoa kwenye makopo wanaona kawaida tu. PatheticWana yao mengine ila sio hayo uliyoandika